Hali ya kuwa na nyodo pindi kipato kinapokuwa kizuri huwakumba jinsia zote, na athari zake sio tu kwamba zipo ndani ya ndoa, bali hata nje kwa ndugu na marafiki kutegemea na muhusika mwenyewe...
Ila maumivu huwa makali zaidi ndani ya ndoa coz mpo pamoja...na iwapo mwenye kipato ni mke basi mwanaume anafeel maumivu kwa urahisi zaidi kutokana na nature kumtaka yeye ndiye kuwa dereva....hata kwenye jamii nyingi za wanyama madume ndio hutembezeana vichapo na mshindi a.k.a shujaa ndiye anazawadiwa NDOA, na hata enzi hizo mfano kwenye jamii ya wamasai mwanaume angepata mke baada tu ya kuonyesha ushujaa kwa kupambana na kumuua Simba, sasa ukowapi ushujaa iwapo mke ndiye atakuwa ameshika usukani ? ni sawa yeye ndiye kaua Simba.
Maisha gani mwanaume unaletewa dili la kiwanja cha bei nzuri, unakosa uamuzi mpaka uwasiliane na wife, akijibu "jamani si nilikwambia nasevu Mike (mdogo wake) anaenda kusoma cookery US next year ?...dili imekufa, utaishia kujisemea kimoyomoyo (acc ingekuwa inasoma nisingeacha)...hata kama utabahatika kupata Mke asiye na makuu, lakini kiasili ya ubinadamu lazima wewe mwenyewe utajisikia mnyonge tu bila hata mke huyo kufanya lolote.
sema wengi wetu tumezoea kulelewa na wanaume despite una kazi ama laa...sa linapokuja suala la wewe kumzidi kipato ndo tunaona majanga na ndomana hata wanaume nao wanakuwa hawajiamimi unaeza fanya/sema kitu akakichukulia ndivosivo nakuona unamdharau au unamsimanga...all in all mkeo anaeza kuzidi kipato na mkaishi vizuri tu..na wengine anaeza kuzidi ikawa majanga human beings are very complex
Hali ya kuwa na nyodo pindi kipato kinapokuwa kizuri huwakumba jinsia zote, na athari zake sio tu kwamba zipo ndani ya ndoa, bali hata nje kwa ndugu na marafiki kutegemea na muhusika mwenyewe...
Ila maumivu huwa makali zaidi ndani ya ndoa coz mpo pamoja...na iwapo mwenye kipato ni mke basi mwanaume anafeel maumivu kwa urahisi zaidi kutokana na nature kumtaka yeye ndiye kuwa dereva....hata kwenye jamii nyingi za wanyama madume ndio hutembezeana vichapo na mshindi a.k.a shujaa ndiye anazawadiwa NDOA, na hata enzi hizo mfano kwenye jamii ya wamasai mwanaume angepata mke baada tu ya kuonyesha ushujaa kwa kupambana na kumuua Simba, sasa ukowapi ushujaa iwapo mke ndiye atakuwa ameshika usukani ? ni sawa yeye ndiye kaua Simba.
Maisha gani mwanaume unaletewa dili la kiwanja cha bei nzuri, unakosa uamuzi mpaka uwasiliane na wife, akijibu "jamani si nilikwambia nasevu Mike (mdogo wake) anaenda kusoma cookery US next year ?...dili imekufa, utaishia kujisemea kimoyomoyo (acc ingekuwa inasoma nisingeacha)...hata kama utabahatika kupata Mke asiye na makuu, lakini kiasili ya ubinadamu lazima wewe mwenyewe utajisikia mnyonge tu bila hata mke huyo kufanya lolote.
Mmmmhhh! basi zisake hela sio kukaa kijiweni kutwa nzima kuangalia sketi zikipita. Bila hivyo lazima nikuzidi kipato maana nikilala nawaza kusaka hela tu. All in all kwenye hili wanaume hawajiamini kabisa, ila kama mnapendana hakuna tatizo. Ubaya unakuja pale mama anachukua majukumu yote ya home mwanaume anashindia kijiweni akiomba hela akinyimwa anaanza kulalamika eti kiburi coz ya vijihera yako.
Kuokoka hapa duniani ni ndoto....na umeokoka...smfh!!!!