Kuna ubaya mwanamke akikuzidi kiuchumi?

Kuna ubaya mwanamke akikuzidi kiuchumi?

Usiombe mwanamke akuzidi utajutraaa hata kama sio leo hata kesho kutwa utajutraa tu ila sio wote!!!!
 
Jamii yetu inaona hicho ni kitu cha ajabu sana. Mwanaume anakuwa unadharauliwa na ndugu wa mke sana. Usiombe aisee hii kitu kabisa yaani hata mkeo akiwa poowa ndugu zake watakuona unamtegemea kila kitu.
 
wanawake wengi wenye pesa huangukia kwa maryoo
mambo ya kuzidiwa elimu na mwanamke ni tatizo
na la kuzidiwa pesa ndio kubwa kabisaaaa
 
Jamii yetu inaona hicho ni kitu cha ajabu sana. Mwanaume anakuwa unadharauliwa na ndugu wa mke sana. Usiombe aisee hii kitu kabisa yaani hata mkeo akiwa poowa ndugu zake watakuona unamtegemea kila kitu.

Haitakiwi kabisa na ni fedheha hata tukibisha, haitakiwi wife akuzidi kipato. Si tulimuona Gadner alivyokuwa anapelekeshwa na Jay dee hadi akaamua kujitaliki mwenyewe.
 

Achilia mbali nyondo za wanawake wenye vipato,jamii huwachukulia wanaume wao kama mariooz kitu ambacho siyo poa unless akuzidi kidogo Sana kiasi kwamba outsiders wasijue.

Kwa mwanaume anayejitambua hiyo ni challenge ya yeye kupigana zaidi.
 
Inabidi hapo kila kitu kibadilike. Mwanaume utamtii mke na mke utampenda mme. Na mke ataishi na mmewe kwa akiri... dadadeki
 
Fedha kwa yenyewe haina neno, Inavaa tabia za ndani za mwenye nazo. iwe mwanaume au mwanamke fedha inakuwa nzuri au mbaya kulingana na mtu mwenyewe anavyoichukulia pesa.

1. Kuna watu ambao upendo wa dhati ndio umewaleta pamoja.... hawa hata wawe na mabilioni either way.. wako poa.
2. Kuna baadhi ya wanawake wameolewa kwa kutokana na uwezo wa kifesha wa Mwanaume.. hawa hubadilika kadiri anavyoendelea kujikwamua ikatokea akamzidi mume kipato...
3. Wanaume ambao wanaoa kwa kutegemea kipato cha Mwanamke... Hapo mwanaume lazima awe under terms and conditions.... Which is very bad ''Hekima ya masikini haisikilizwi''
4. Wanaooana kawaida tu, mmoja anakufanikiwa zaidi ya mwenzake.. Huyu kwa kushika hela nyingi asipokuwa makini zitamsumbua na kuharibu mahusiano
5. Bahati ya kufanikiwa... kuna watu kila wafanyacho lazima wafanikiwe na wengine kila wafanyacho kitayumba tu kama sio leo ni kesho.. ikiwa mwanamke ndio ana hio bahati halafu ana kiburi cha mafanikio hapo lazima iwepo shida.
n.k nk.

The biggest challenge to both of us is to determine who is enslaving who. Is money your servant of your master? both options are within reach... lets deliberately enslave money. Period
 
Haitakiwi kabisa na ni fedheha hata tukibisha, haitakiwi wife akuzidi kipato. Si tulimuona Gadner alivyokuwa anapelekeshwa na Jay dee hadi akaamua kujitaliki mwenyewe.

Sio huyo tuu, marehemu mpakanjia na mkewe ivo ivo
 
Inabidi hapo kila kitu kibadilike. Mwanaume utamtii mke na mke utampenda mme. Na mke ataishi na mmewe kwa akiri... dadadeki

Hatar kubwa sana. Kubadili mpango wa Mungu
 
Fedha kwa yenyewe haina neno, Inavaa tabia za ndani za mwenye nazo. iwe mwanaume au mwanamke fedha inakuwa nzuri au mbaya kulingana na mtu mwenyewe anavyoichukulia pesa.

1. Kuna watu ambao upendo wa dhati ndio umewaleta pamoja.... hawa hata wawe na mabilioni either way.. wako poa.
2. Kuna baadhi ya wanawake wameolewa kwa kutokana na uwezo wa kifesha wa Mwanaume.. hawa hubadilika kadiri anavyoendelea kujikwamua ikatokea akamzidi mume kipato...
3. Wanaume ambao wanaoa kwa kutegemea kipato cha Mwanamke... Hapo mwanaume lazima awe under terms and conditions.... Which is very bad ''Hekima ya masikini haisikilizwi''
4. Wanaooana kawaida tu, mmoja anakufanikiwa zaidi ya mwenzake.. Huyu kwa kushika hela nyingi asipokuwa makini zitamsumbua na kuharibu mahusiano
5. Bahati ya kufanikiwa... kuna watu kila wafanyacho lazima wafanikiwe na wengine kila wafanyacho kitayumba tu kama sio leo ni kesho.. ikiwa mwanamke ndio ana hio bahati halafu ana kiburi cha mafanikio hapo lazima iwepo shida.
n.k nk.

The biggest challenge to both of us is to determine who is enslaving who. Is money your servant of your master? both options are within reach... lets deliberately enslave money. Period

Big up sana kwa udadafuzi mwema
 
Habari wana JamiiForums.

Natumai Jumatatu imeanza vyema tukiwa wenye siha njema.
Kama sivyo nawaombea Mungu wote wasio katika ubora wao basi wairejee hali yao ya kawaida.

Nina moja tu la kutaka tushirikishane mawazo:
" Ni sahihi mume kuzidiwa pato na mkewe?"
Kuna faida au madhara gani iwapo mke atamzidi pato mumewe?

Karibuni tujadili kwa staha bila masihara mengi wala kutoka kwenye mada.

Hapo kwenye red. Kwa nini unawaza kuwa sio sahihi mkeo kukuzidi kipato? At the first place inaonyesha wewe ni wale watu wa kuwakandamiza wanawake, if i can read your mind. Tatizo linaanzia kichwani kwako.
 
Haiko ivo. Umesoma vibaya. Sikatai mwanamke kuwa na kipato. Ila awe na kipato chini ya changu ili kuondoa mishauo na kuleta heshima.
Mwanamke hufurah kuona mmewe anazikusanya kwa wingi. What if yeye akiwa anazipata nyingi zaidi ya mumewe? Hii ndio mada.

Kumbuka baba ni kichwa cha familia, na kiongoz ni lzm awe na nguvu. Nguvu inaletwa na pesa, elimu na cheo. Hekima ya masikini haisikilizwi.
 
Asiyenacho siku zote hujiona kaonewa, alienacho siku zote yupo busy kufikiria kitaongezeka vipi kisiishe.

Uko sahihi. Unadhani mkenya na mmalawi wakitushauri watz tutamsikiliza nani zaidi?
 
Hiyo labda barani ulopa lakini huku Africa, ukizidiwa pato na mke andika umeumia. Utakuwa mtumwa we ndo utakuwa mpikaji na kutenga chakula mezani! Hawa wanawake wa kiafrika mwanaume unatakiwa ukaze buti tu umzidi kipato. Ndo mana hata wanawake ambao wamesoma sana na wako juu kiuchumi most of mens wanawaogopa kuwaoa. Ukichunguza kwa undani wanaume wanaogopa kuzidiwa kipato na wanawake kwenye maisha yao,
 
most of women akishamzidi mwanaume kipato, huwa wanaanza madharau/nyodo. ila sio wote, wapo wachache wenye maadili hu-maintain respect regardless of earning variation ktk mahusiano

Kwa wanawake wetu hawa wa JF, facebook, IG na twitter hapo ni tatizo. Ipo siku tu utaona her true color.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom