Punguza uanaume wako ndani, mpe kipaumbele kwenye maamuzi ya familia, mheshimu, uwe na kifua kipana cha kustahimili mambo etc.
Hata hivyo baadhi ya wake zetu ni waelewa japo ni watatu kwa kumi, na inategemea pia enzi zako ukiwa nacho, ulikuwa una mtreat vipi, yeye na familia.
All in all , kuyumba kiuchumi kwa mwanaume ndani ya familia ni disaster. Tumuombe Mungu sana, maana hiyo kona shetani anaipenda sana.
Hata hivyo baadhi ya wake zetu ni waelewa japo ni watatu kwa kumi, na inategemea pia enzi zako ukiwa nacho, ulikuwa una mtreat vipi, yeye na familia.
All in all , kuyumba kiuchumi kwa mwanaume ndani ya familia ni disaster. Tumuombe Mungu sana, maana hiyo kona shetani anaipenda sana.