The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,320
- 117,658
Bora ata baiskel
Swala au phonex ?
Bora ata baiskel
Swala au phonex ?
uuuuuuh what an honor to be served by the great Aladin hihihi. Baby make sure you don't kill me with your surprises by honoring my wishes and thoughtsOf course I know your taste, I was just testing you. Have I ever mentioned that I'm related to Aladin? well, now you know. So anything, even what you wish in your thoughts, will be delivered, Ma'.
Sawa ila huyo binti angepaswa tu aipokee thn jamaa alipomtext na kumcall angeenda then amwambie hakupenda hiyo zawadi hivyo ambadilishie...alikosa hekima huyo binti.
Alitaka Gari Wakati Zawadi Ni Zawadi
Kwanini ambadilishie? zawadi ni.zawadi, hata kama hapendi angeweza kukodiaha hiyo cherehani akapata hela au hata kuuza akanunua anayotaka yeye. Lakini kitendo cha kupewa zawadi ukanuna ndo sielewi maana hicho ni cha bure na haikuwa lazima àkupe.
uuuuuuh what an honor to be served by the great Aladin hihihi. Baby make sure you don't kill me with your surprises by honoring my wishes and thoughts
Nina girlfriend wangu ambaye tumedumu miezi kadhaa na tumepanga kuoana pindi uchaguzi utakapomalizika!
Amehitimu chuo cha biashara tangu mwaka Jana na mpaka sasa hajafanikiwa kupata ajira!
Nafahamika kwa wazazi wake nae anajulikana kwetu.
Sasa jana alisherehekea siku yake ya kuzaliwa
sherehe ilifanyika nyumbani kwao mida ya saa 1 jioni.
Wiki moja kabla ya sherehe hiyo nilikuwa safarini nikamuahidi kumnunulia zawadi nzuri kwa ajili ya birthday yake.
Sasa hiyo jana alikuwa na shauku ya kutaka kujua nimemletea zawadi gani !
Mda ulipowadia nilienda taratibu kumkumbatia kipenzi changu na kumzawadia cherehani mpya aina ya butterfly pamoja na kuahidi mbele ya umati kuwa nitatoa gharama zote za mafunzo ya kozi ya miezi mitatu ya ushonaji ili baada ya kumaliza mafunzo aweze kujiajiri.
Lakini cha ajabu mpenzi wangu alionyesha hakufurahishwa na zawadi hiyo!
Jana usiku kanisms kwamba "umenichukuliaje mimi lakn?"
Nikampigia akasema eti alitegemea ningemnunulia zawadi ya maana kumbe hovyo!
Leo nimemtumia ujumbe tuonane hakunijibu nimejaribu kumpigia mda wote hapokei simu yangu!
Naomba mnishauri eti hiyo zawadi ina ubaya gani au ningemnunulia nini ikiwa sina uwezo wa kununua gari?!
Kwi!kwi!kwi!jaman?ni bora ungemnunulia ua angefurah kuliko hilo licherehan ungetaka ushaur kwanza jaman.mana kumnunulia hyo umemkatia tamaa kama hatoajiriwa?
Ndio maana naheshimu sana zawadi ya pesa, khaa!!!!!!!!!! mambo gani hayo sasa?
Mmmmhhh!!!!usharithishwa na wewe