Daaaah! We ni kiboko! Kwa elimu aliyonayo cherehani haina mashiko!! Kama ungelikaa nae ukamuuliza ni zawadi gani alihitaji, au kwakuangalia plan zake na fikra zake ungetambua ni kipi kingemfaa!!
Kweli elimu yote ile akaitundike kabatini na aanze kushona nguo?!?
Kwa upande wangu nimekudharau sana we mwanaume..
zawadi uliyompa ina tafasiri tofauti binafsi hata ningekuwa mimi ungekuwa ndo mwisho wa mahusiano.. tumia akili tu ya kawaida mtu amemaliza chuo cha biashara, ndio hajapata kazi!, cherehani ndo umeona ndo suluhisho la kupata kazi.. hyo cherehani hukupaswa kumpa siku ya sherehe yake, ungepaswa kumpa kama mngeelewana mkiwa wawili na akaridhia kwa moyo kama ingemfaa, siyo kumdhalilisha mbele za watu na elimu yake unampa cherehani. alafu still una mawazo ya kujenga vyoo ati awe anatoza hela vyooni. pumbafu kabisa wewe, siku ya birthday siyo siku ya kudhalilishana.. bora ungemletea maua, pipi bigbom, pete, kadi.. sasa cherehani? your not syrious my brother.. jinga kabisa..
Daaaah! We ni kiboko! Kwa elimu aliyonayo cherehani haina mashiko!! Kama ungelikaa nae ukamuuliza ni zawadi gani alihitaji, au kwakuangalia plan zake na fikra zake ungetambua ni kipi kingemfaa!!
Kweli elimu yote ile akaitundike kabatini na aanze kushona nguo?!?
Umemletea cherehani maana yake nn?? aanze kujifunza kushona na alichosomea akiiache au?? alishawah kukuambia kuwa anapenda kazi km hiyo au we ulimuotea tu? Unajua vitu vngne mckurupuke tu kubeba kuletea watu zenu. Angalia na hobby zake, mtu unamletea kitu tofaut na hobby yake unathan atakufurahia? lazma atakuuliza tu umenionaje!
Kila Mmoja Na Interest Yake, Mwingine Unaweza Kuta Anampenda Kweli Na Yy Upendelea Zawad Anazozpenda Yy, Unapomletea Asiyoipenda Ni Itakua Ni Kma Unajaribu Kulazmisha Apende Asichopenda Hapo Ndipo Ukwazika Maana Wengine Sio Wanafiki, Wakikwazika Utajua Tuu, Hata Mimi Mbna Ukinipa Zawad Nisiyoipenda, Nitakuonyesha Tuu Waz Wazi Sijaipenda!! Kwa Mfano, Kuna Binti Wiki Zimepita Aliniletea Viatu, Kiukweli Sikuvipenda Na Alipoondoka Nikavitupa Stoo Kwa Hasira Maana Niliona Kma " Anazingua" Hiv Kwa Kuniletea Viatu Ambavyo Niliona Sio Type Yangu. Vile Vile Zawadi Ni Swala La Kugusa Hisia Za Mtu, So Unapaswa Kucheza Na Hisia Za Mtu, Ukikosea Unaharibu!!! Ww Braza Hapo Ulikosea Na Sijui Uliwaza Nn?? Cherehan Si Zawadi Mbaya, Lakini Je Unaempelekea Unadhan Anao Uhitaji Wa Cherahani????[emoji144] [emoji144] ???Huyo sio wife material
Nimesema hivo kwa sababu kama kweli anakupenda kwa dhati.hata ungempelekea mchanga Wa pwani angefurahia .
Zawadi ni chochote we pokea tu.
Kimbia fasta mzee waibiwa.ukilegea utakaa uchi nzi watakung'ong'a.
Unajua Mipango Yake Kichwani??ninachokiangalia hapa ni namna ya kumsaidia aweze kujiajiri!
sasa kumnunulia cherehani ni kosa?
au ningemnunulia mzani wa kupimia uzito
awe anazunguka nao mitaani?
vinginevyo asubiri mwakani nikipata hela nianzishe mradi wa choo cha kulipia halafu awe anasimamia huo mradi.
siku zote biashara mnazozidharau ndio watu wanatajirikia!
Upo Sahihi Mkuu, Jamaa Hata Mimi Namshangaa Uwezo Wake Wa Kufikiri.Zawadi nyingine zinafanya mtu akuone uwezo wako wa kufikiri ni mdogo
Wewe poyoyo sana mm nina Dada yangu ana kamarstes yake ya Accnt anafanya NAOT kanunua chereani ipo ndani sa hivi anajifunza chereani. Elimu sio kigezo ndugu yangu zaidi ni kujiongeza kutafuta pesa. Acha dharau. Huyo mdada msamehe bure ndo ujue mapema unamke wa namna gani.Ni zawad nzuri ipo siku atasema asante.
ninachokiangalia hapa ni namna ya kumsaidia aweze kujiajiri!
sasa kumnunulia cherehani ni kosa?
au ningemnunulia mzani wa kupimia uzito
awe anazunguka nao mitaani?
vinginevyo asubiri mwakani nikipata hela nianzishe mradi wa choo cha kulipia halafu awe anasimamia huo mradi.
siku zote biashara mnazozidharau ndio watu wanatajirikia!
ninachokiangalia hapa ni namna ya kumsaidia aweze kujiajiri!
sasa kumnunulia cherehani ni kosa?
au ningemnunulia mzani wa kupimia uzito
awe anazunguka nao mitaani?
vinginevyo asubiri mwakani nikipata hela nianzishe mradi wa choo cha kulipia halafu awe anasimamia huo mradi.
siku zote biashara mnazozidharau ndio watu wanatajirikia!