everlenk
JF-Expert Member
- Oct 5, 2012
- 11,628
- 15,037
We everlenk wala huna tabu. Jezi ya Man U tu unaridhika, au sio?
Hahhahaha ulijuaje ila itabidi uilete ile kali ambayo si ya hapa ili kila nikiivaa watu waniulize umetoa wapi ? Baada ya hapo mimi ndo naanza kuwaagizia kuwaletea napiga pesa,chalii wangu pesa mbele mapenzi baadaye.... au uninunulie bonge la flat screen tunafungua kibanda umiza chetu hahahhahaha......
Last edited by a moderator: