binti kay
Member
- Aug 4, 2015
- 70
- 19
Hahaa eti zawadi ya mbele ya umati wa watu ni cherehani
ha haa....unanikumbusha enzi za Mwalimu Nyerere kwa kweli dah
cherehani cha singer....na ungeongeza na chachacha za kuvaa kabisa
Sijutii kuwa umu ndani walahi mechekaje ety chachacha