Shadow7
JF-Expert Member
- Sep 28, 2020
- 13,780
- 20,175
😂 😂 😂Hakuna tatizo, kama unapata mashaka na tabia za wanao wajengee banda masela nje wawe wanazamisha pisi za mtaani kwa uhuru.
Nakumbuka kipindi kile tulikuwa tunamshauri sana mzee ajenge banda nje tukiwa na malengo nalo binafsi.