Kama inawezekana kitenganishe mana wanaweza kutembeleana usiku
Unaijua balehe au unaisikia?Sasa kama imefikia wazazi wanahofia ndugu wa damu kupandana kama wanyama...dunia imekwisha.
Labda we mleta mada nae kwa nini umeuliza au nae ulikuwa unawapanda dada zako? Hii dunia hii
Unaijua balehe au unaisikia?
Nyumba yetu ilijengwa kama mkuu anavyoomba, chumba cha dada zangu na changu vilipakana, nilipata shida sana wakati nabalehe kwa kuwatamani dada zangu. Bahati nzuri MUNGU akanisaidia nikajiongeza, kulikua na banda la uani nikahamia huko. Masista zangu kama walinisoma, wakawa wanajifanya wanaleta marafiki zao ghetto niwasaidie kusolve hesabu, nikawa naponea hapo.
Ushauri kwa mtoa post, kama umependezewa na hiyo ramani na unataka kuijenga kama ilivyo, jenga tu, ila weka na vyumba/chumba cha dharura.
Acha uchawii ..amna ambae aja balehe kusema haijui .una anzaje kutamani dada akoUnaijua balehe au unaisikia?
Nyumba yetu ilijengwa kama mkuu anavyoomba, chumba cha dada zangu na changu vilipakana, nilipata shida sana wakati nabalehe kwa kuwatamani dada zangu. Bahati nzuri MUNGU akanisaidia nikajiongeza, kulikua na banda la uani nikahamia huko. Masista zangu kama walinisoma, wakawa wanajifanya wanaleta marafiki zao ghetto niwasaidie kusolve hesabu, nikawa naponea hapo.
Ushauri kwa mtoa post, kama umependezewa na hiyo ramani na unataka kuijenga kama ilivyo, jenga tu, ila weka na vyumba/chumba cha dharura.
Mama ni kitu kingine, siyo cha kucheza nacho. Unaweza kuvaa chupi kichwani hivihivi, kisa kumuwazia vibaya mama.Nina dada zangu pia na ushetani wa aina hiyo haujawahi kukatiza karibu yangu.
Kwamba usingekuwa na dada upo tu na Mama yako? Ungehamishia majeshi kwa bi mzazi au?
Acheni kuendekeza upuuzi!!
Balehe zinatofautiana mkuu, kuna wengine balehe zinakuja kwa nguvu.Acha uchawii ..amna ambae aja balehe kusema haijui .una anzaje kutamani dada ako
Adi mimi nme shtuka
Unaijua balehe au unaisikia?
Nyumba yetu ilijengwa kama mkuu anavyoomba, chumba cha dada zangu na changu vilipakana, nilipata shida sana wakati nabalehe kwa kuwatamani dada zangu. Bahati nzuri MUNGU akanisaidia nikajiongeza, kulikua na banda la uani nikahamia huko. Masista zangu kama walinisoma, wakawa wanajifanya wanaleta marafiki zao ghetto niwasaidie kusolve hesabu, nikawa naponea hapo.
Ushauri kwa mtoa post, kama umependezewa na hiyo ramani na unataka kuijenga kama ilivyo, jenga tu, ila weka na vyumba/chumba cha dharura.
Ulikuwa na balehe ya mbuziMama ni kitu kingine, siyo cha kucheza nacho. Unaweza kuvaa chupi kichwani hivihivi, kisa kumuwazia vibaya mama.
Mkuu, kuna balehe nyingine hazivumiliki unajishangaa unawawazia mabaya ndugu zako wa kike unaoishi karibu nao, balehe yangu haimuwa mchezo, kitu kikisimama kilikua kinagusa kitovuni.
Huyo ndugu yako inategemea yukoje , kama mkipiga pastport ww na dada yako mtu hawez tofautisha huwez mtamanUpo serious?ulikuwa unawatamani ndugu zako wa DAMU???????????aiseeeeeee hiyo balehe yako ilikuwa sio ya kawaida...
Acha kuwaza ujinga, jenga nyumba wewe ......Raman nilonayo nimeipenda ila hii sehemu ya vyumba vya female na male ndio bado naomba ushauri kama hakuna shida au niongee na mchoraji abadilishe.