Mayu
JF-Expert Member
- May 11, 2010
- 8,630
- 14,291
Binadamu ni kiumbe mdadisi...... There's nothing wrong about it mkuu. Hata mimi nadadisi pia.Inaonekana umekata tamaa ya kufikiria zaidi,.. ila ombwe lipo na sababu ya ombwe kuwepo si athari ya Dini wala Sayansi bali ni akili zetu,... Akili zetu zinapenda kudadisi hakuna namna utaizuia akili ya binadamu kujiuliza maswali juu ya ulimwengu kwa ujumla,.. hata maendeleo ya kiteknolojia unayoyaona ni matokeo ya akili ya binadamu,.. Binadamu sio sawa na Panzi, Kuku na viumbe wengine kama ulivyosema.
Na kwenye udadisi wetu tumevumbua vitu vingi sana vinavyo tusaidia kutimiza jukumu letu mama la kupambana kuishi kadiri tuwezavyo