Kuna ombwe juu ya chanzo chetu na ulimwengu!

Kuna ombwe juu ya chanzo chetu na ulimwengu!

shida sio hiyo mkuu shida ni life style!, wapo watu manguli sana wakuwaza kushinda hata hao unaowaona ma genius!, isipokuwa watu hawapo focus na vitu kama hivyo, hivyo wanajikuta wachache wanaoweza kuwaza vitu kama hivyo na kufocus wanafaulu!.
jifikirie mtu anazaliwa system anayokitana nayo ni kuabudu nakuaminishwa maswala ya Mungu wa kwenye vitabu na hapohapo bado anakutana na aina ya maisha ambayo yanamtaka aishi kwa kutafuta fedha nakuwaza mambo yakwawaida tu ya kila siku!.

Angalia hata vyakula tunavyokula ni junk food kila siku kwasababu ya biashara na ndoto za watu zakujipatia fedha!, wala si kula chakula huku ukimakinika nini unatakiwa ule kuongeza nini chenye manufaa kwenye mwili wako!.
Kama ni safari basi bado ni ndefu mno!, kuna vitu unatakiwa uvitoe kichwani mwa watu na hapo utakutana na vita kubwa mno yani binadamu mpaka aje kufikia ustaarabu wa angalau asilimia 50 basi kazi ni kubwa mno!..😅
we mpaka leo watu wanaishi kwa kumpigania Mungu yani kiumbe kilichoumba ulimwengu na kina kila aina ya uwezo nguvu n.k ati kikitukanwa we unakipigania...!! halafu wewe ukivamiwa tu hata na kibaka hakikupiganii unakabwa na unatoa vitu bila tabu!.. sasa hii akili uje uibadili ifikie uelewa na ustaarabu wa walau asilimia 50 basi utakuwa umepiga hatua kubwa mno!. kifupi safari bado ni ndefu maana wanao wa brain wash watu hawataki kuwaachia maana wanapata faida na hao waliokuwa brain washed hawataki kuwaza nje ya box watoke humo!.
Hichi ulichoongea nacho kina ukweli.

Binafsi huwa nikiangalia dunia na mifumo yake huwa nashindwa kuelewa kwanini binadamu tuna akili kuliko wanyama ila hazitusaidii kuwa tofauti na wanyama linapokuja suala la mfumo wa kutuwezesha kufahamu maisha ni nini.

Tumejiwekea mipaka na matabaka ya kufikiri kwa jina la uchumi, tukajibana kimaeneo na kuyapa majina kuwa hii ni nchi na tukabuni mtindo wa kuishi tukauita siasa na kutengenezea mifumo ya ulinzi dhidi ya binadamu.

Screenshot_20250827-004602_Facebook.jpg
 
Ndio hivyo mkuu, Dunia iko na mambo mengi ya kustaajabisha...

Shida ya tafiti pia zinategemea ulimwengu utoe majibu na ikitokea umegoma kutoa majibu basi hiyo tafiti haitakua na ukomo na mwishowe itaishia njiani.

Kwasababu ukiangalia tafiti nyingi ambazo zimeleta majibu ni zile ambazo Zina mfanano na kale au zile ambazo ziko na tabia fulani za kujirudia rudia katika mpangilio fulani ambao unaeleweka kinyume na hapo huwa ni ngumu kupata majibu na hapa ndio huwa Mimi nasema ulimwengu umegoma kutoa majibu.

Kwahiyo ukitulia vizuri unaweza kusema ulimwengu umejiwekea mipaka yake ambayo hairuhusu mtu yeyote kuifikia na zile sehemu ambazo tunaweza kuzifikia ni kwakua ulimwengu wenyewe uliamua hivyo.

Ndio maana hata hizi revolutions zinazotoa huwa hazitokei tu bali zinatokea kwa nyakati, now tupo kwenye hii zama ya AI ambazo hizi kimsingi ni product ya programming languages ambazo ukirudi nyuma kufuatilia namna hizi language zilitokea unaweza kujikuta unapata infinity loop nyingine.

Kuna kitu hakipo sawa...
Natamani ningekuwa na uwezo wakuishi miaka 1000 ijayo nione mabadiliko ya uelewa wa binadamu katika nyanja zote na je mazingira yanayomzunguka binadamu yatambadilikia au lah!, ila ni ngumu sana kwa hilo kuwezekana kwasasa! maana mfumo wa ulimwengu kwa viumbe hai si kuishi milele ila ni kuishi kwa kutoa new offspring huku ukitumia past ya viumbe waliopita ku adapt mazingira!..
Ni sawa na uweze kumfufua mtu alieishi mika 1000 iliyopita umlete sasahivi ni aidha anaweza kufa haraka sana maana huenda akakutana na magonjwa makali japo kwetu sisi yakawa ya kawaida ambayo gene yake haijamuwekea kinga!, au uwezo wake wa akili ukashindwa ku survive kutokana na mambo mengi kubadilika mno kuanzia matumizi ya technology, tiba, vyakula n.k

Binafsi sidhani kama kuna limit juu ya uwezo wetu na ulimwengu ila ninachokiona ni kuwa tunaenenda taratibu tu, ulimwengu hauna shida ya kutufunulia elimu na ujuzi swala lipo ni kuutumia hapo ndipo inapoweza kuwa tabu na ikitokea tukawa na maarifa yote basi jua ustaarabu nao utakuwa wa hali ya juu!.
hebu fikiri binadamu akija kuweza kuichezea space na kuiharibu!, sasa akifikia hayo maarifa hata ustaarabu wake hautakuwa wakawaida maana hilo ni bomu kushinda hata la nyuklia...😅
 
Hichi ulichoongea nacho kina ukweli.

Binafsi huwa nikiangalia dunia na mifumo yake huwa nashindwa kuelewa kwanini binadamu tuna akili kuliko wanyama ila hazitusaidii kuwa tofauti na wanyama linapokuja suala la mfumo wa kutuwezesha kufahamu maisha ni nini.

Tumejiwekea mipaka na matabaka ya kufikiri kwa jina la uchumi, tukajibana kimaeneo na kuyapa majina kuwa hii ni nchi na tukabuni mtindo wa kuishi tukauita siasa na kutengenezea mifumo ya ulinzi dhidi ya binadamu.

View attachment 3455461
Mabadiliko makubwa yatakuja kutokea siku tukipata janga kubwa la moja kwa moja ambalo litatishia uhai wetu kutokana na life style yetu!. ila bila hivyo hakuna badiliko utaona kwasasa!.
 
Natamani ningekuwa na uwezo wakuishi miaka 1000 ijayo
Hichi ndicho nilichosema hapo nyuma kuwa binadamu akifahamu namna ya kudhibiti kifo mambo mengi yatagundulika. Imagine wewe, Mtanzania ambaye hujafanya ugunduzi wowote unayo hii curioisty, vipi kwa zile big brains zilizogundua kuwa dunia ni duara na kuna space? Leo zingekuwa na mtazamo upi iwapo zingekuwa hai?
 
Mabadiliko makubwa yatakuja kutokea siku tukipata janga kubwa la moja kwa moja ambalo litatishia uhai wetu kutokana na life style yetu!. ila bila hivyo hakuna badiliko utaona kwasasa!.
Kweli mkuu, hata ikitokea tukapata tishio la viumbe hai kutoka sayari nyingine mambo mengi yanaweza kubadilika.
 
Natamani ningekuwa na uwezo wakuishi miaka 1000 ijayo nione mabadiliko ya uelewa wa binadamu katika nyanja zote na je mazingira yanayomzunguka binadamu yatambadilikia au lah!, ila ni ngumu sana kwa hilo kuwezekana kwasasa! maana mfumo wa ulimwengu kwa viumbe hai si kuishi milele ila ni kuishi kwa kutoa new offspring huku ukitumia past ya viumbe waliopita ku adapt mazingira!..
Ni sawa na uweze kumfufua mtu alieishi mika 1000 iliyopita umlete sasahivi ni aidha anaweza kufa haraka sana maana huenda akakutana na magonjwa makali japo kwetu sisi yakawa ya kawaida ambayo gene yake haijamuwekea kinga!, au uwezo wake wa akili ukashindwa ku survive kutokana na mambo mengi kubadilika mno kuanzia matumizi ya technology, tiba, vyakula n.k

Binafsi sidhani kama kuna limit juu ya uwezo wetu na ulimwengu ila ninachokiona ni kuwa tunaenenda taratibu tu, ulimwengu hauna shida ya kutufunulia elimu na ujuzi swala lipo ni kuutumia hapo ndipo inapoweza kuwa tabu na ikitokea tukawa na maarifa yote basi jua ustaarabu nao utakuwa wa hali ya juu!.
hebu fikiri binadamu akija kuweza kuichezea space na kuiharibu!, sasa akifikia hayo maarifa hata ustaarabu wake hautakuwa wakawaida maana hilo ni bomu kushinda hata la nyuklia...😅
Kuna swali moja Brian cox aliuliza, je hivi kama binadamu akiendelea zaadi akawa na elimu ya kila kitu, je hii itaondoa sifa yake ya kuwa mwanadamu maana sifa ya mwanadamu ni kuwa na curiosty ya kujua vitu, hivyo kama akishajua kila kitu anakuwa bored na maisha
 
Kuna swali moja Brian cox aliuliza, je hivi kama binadamu akiendelea zaadi akawa na elimu ya kila kitu, je hii itaondoa sifa yake ya kuwa mwanadamu maana sifa ya mwanadamu ni kuwa na curiosty ya kujua vitu, hivyo kama akishajua kila kitu anakuwa bored na maisha
Haha! hii huwa inanifanya niwaze kuwa sisi ni mashine na curiosity ni kitu kinachotufanya tuendelee kufanya kazi ili kile kinachofaidika nasisi kiendelee kufaidika tu!. ni mawazo tu!.
Binadamu hata akifikia hitimisho huenda bado kukawa na namna ikamfanya aendelee kupenda kuishi naweza kusema ni kama kula ama kufanya tendo la ndoa nahisi inaweza kuwa hivyo lakini pia binadamu sio kiumbe mvivu mvivu binadamu ni mbunifu hakosi lakufanya...😂
 
Natamani ningekuwa na uwezo wakuishi miaka 1000 ijayo nione mabadiliko ya uelewa wa binadamu katika nyanja zote na je mazingira yanayomzunguka binadamu yatambadilikia au lah!, ila ni ngumu sana kwa hilo kuwezekana kwasasa! maana mfumo wa ulimwengu kwa viumbe hai si kuishi milele ila ni kuishi kwa kutoa new offspring huku ukitumia past ya viumbe waliopita ku adapt mazingira!..
Ni sawa na uweze kumfufua mtu alieishi mika 1000 iliyopita umlete sasahivi ni aidha anaweza kufa haraka sana maana huenda akakutana na magonjwa makali japo kwetu sisi yakawa ya kawaida ambayo gene yake haijamuwekea kinga!, au uwezo wake wa akili ukashindwa ku survive kutokana na mambo mengi kubadilika mno kuanzia matumizi ya technology, tiba, vyakula n.k

Binafsi sidhani kama kuna limit juu ya uwezo wetu na ulimwengu ila ninachokiona ni kuwa tunaenenda taratibu tu, ulimwengu hauna shida ya kutufunulia elimu na ujuzi swala lipo ni kuutumia hapo ndipo inapoweza kuwa tabu na ikitokea tukawa na maarifa yote basi jua ustaarabu nao utakuwa wa hali ya juu!.
hebu fikiri binadamu akija kuweza kuichezea space na kuiharibu!, sasa akifikia hayo maarifa hata ustaarabu wake hautakuwa wakawaida maana hilo ni bomu kushinda hata la nyuklia...😅
Elon anawatengenezea cheap zitakazofanya kuishi milele😅😅😅.

What if ustaarabu kadri unavyokua ndivyo tunavyozidi kujikaanga wenyewe😅😅
 
Elon anawatengenezea cheap zitakazofanya kuishi milele😅😅😅.

What if ustaarabu kadri unavyokua ndivyo tunavyozidi kujikaanga wenyewe😅😅
Mh! ustaarabu hukuwa sambamba na elimu itakuwa tabu elimu ikikuwa halafu ustaarabu ni sifuri hapo shida ndo itakuwepo na ukishakuwa na elimu basi ustaarabu muhimu alasivyo itakuwa haina maana ya elimu kama hakuna ustaarabu!..
 
Haha! hii huwa inanifanya niwaze kuwa sisi ni mashine na curiosity ni kitu kinachotufanya tuendelee kufanya kazi ili kile kinachofaidika nasisi kiendelee kufaidika tu!. ni mawazo tu!.
Binadamu hata akifikia hitimisho huenda bado kukawa na namna ikamfanya aendelee kupenda kuishi naweza kusema ni kama kula ama kufanya tendo la ndoa nahisi inaweza kuwa hivyo lakini pia binadamu sio kiumbe mvivu mvivu binadamu ni mbunifu hakosi lakufanya...😂
Kwa hyo unahisi kila binadamu anavyopata elimu ubongo unaongezeka nguvu hivyo anabuni mbinu nyingi za kufanya kitu, kwa mantiki hyo unasema elimu haina mwisho kabisa au tutafanya cycle ya elimu kwamba wakishajua kila aina ya kufanya kitu wataanza kurudia mbinu za kale kwa wale wasiojua, mfano dunia ya Ai ikizidi itafanya watu wakumbuke Analog na itaendelea hivyo hivyo pia
 
Kwa hyo unahisi kila binadamu anavyopata elimu ubongo unaongezeka nguvu hivyo anabuni mbinu nyingi za kufanya kitu, kwa mantiki hyo unasema elimu haina mwisho kabisa au tutafanya cycle ya elimu kwamba wakishajua kila aina ya kufanya kitu wataanza kurudia mbinu za kale kwa wale wasiojua, mfano dunia ya Ai ikizidi itafanya watu wakumbuke Analog na itaendelea hivyo hivyo pia
Anaweza asirudie vya zamani anaweza akabuni mambo makubwa zaidi maisha ni sayansi na ni sanaa pia!, hizi ni fikra zangu tu sijui ulimwengu utampa nini binadamu kama akifikia hatima ya maarifa so hazi bado ni nadharia tu!
 
Kwenye sayansi hakuna tatizo lolote kusema "SIJUI/HATUJUI/BADO HAIJULIKANI"
Kabisa hicho ndio nachopenda kuhusu sayansi ila sayansi inaweza kuwa na unafiki pia, mfano wanasema kuna energy ambayo hawawezi kuiona wala kuipima ila wanajua ipo na wakaipa na jina la dark energy wanasema ilikuwepo kabla hata ya big bang ila ukiangalia hizo sifa ukisema hyo energy inaweza kuwa ndio creator wanasema hakuna kitu, Ironic si ndio😅
 
Kabisa hicho ndio nachopenda kuhusu sayansi ila sayansi inaweza kuwa na unafiki pia, mfano wanasema kuna energy ambayo hawawezi kuiona wala kuipima ila wanajua ipo na wakaipa na jina la dark energy wanasema ilikuwepo kabla hata ya big bang ila ukiangalia hizo sifa ukisema hyo energy inaweza kuwa ndio creator wanasema hakuna kitu, Ironic si ndio😅
Kwa sababu sayansi haina uelewa na maelezo ya kutosha kuhusu dark energy huo sio uthibitisho wa dark energy kuwa creator, Sayansi huita mtazamo wako kama fallacy ya "God of the gaps".
 
Kwa sababu sayansi haina uelewa na maelezo ya kutosha kuhusu dark energy huo sio uthibitisho wa dark energy kuwa creator, Sayansi huita mtazamo wako "God of the gaps".
Nakubali hawana uelewa wa kina kuhusu dark energy ila hawajotoa possibility ya uwepo wake, wapo nusu nusu kwamba inaweza kuwepo au isiwepo ila kwa nini kwenye Creator hawaachi possibility kwamba huenda kukawa na nguvu inayohusika na ulimwengu, sisemi mambo wanayosema kwenye dini amna nasema ile nguvu ambavyo inahusika na ulimwengu
 
Nakubali hawana uelewa wa kina kuhusu dark energy ila hawajotoa possibility ya uwepo wake, wapo nusu nusu kwamba inaweza kuwepo au isiwepo ila kwa nini kwenye Creator hawaachi possibility kwamba huenda kukawa na nguvu inayohusika na ulimwengu, sisemi mambo wanayosema kwenye dini amna nasema ile nguvu ambavyo inahusika na ulimwengu
Hawajaondoa possibility ya dark energy kwa sababu wanaona ulimwengu unatanuka na kwa mifumo ya kisayansi ili kitu kitanuke kinahitaji nishati ya kusukuma au kuvuta, kwa upande wa muumbaji wanaona ukikubali muumbaji yupo linazuka swali lingine lisiloisha la nani kamuumba huyo muumbaji unayemuamini wewe.
 
Mawazo yako yanakwambia mungu amekaa sehemu, amekaa huko mbinguni .. Mungu ni imagination character tu, ambae amekuwa programmed kutoka kwa watu walio kumezesha.
Usi picture mungu wa kwenye vitabu vya dini, picture energy illiyoanzisha ulimwengu, siyo lazima kitu kiwe na characteristics za kiumbe ndio kiwe conscious kama particle zinauwezo wa ku behave tofauti kwa nini kusiwe na energy inayoweza ku behave tofauti
 
Back
Top Bottom