Kuna nini kinaendelea CCM?

Kuna nini kinaendelea CCM?

Nsumba-ntale

Member
Joined
May 24, 2026
Posts
5
Reaction score
48
Inavyoonekana, ni kama vile CCM kuna ombwe la ki Uongozi.

Asha-rose Migiro hatoshi na hana sifa za kuendelea kuwa Katibu Mkuu hata kwa siku moja mbele! Ni Katibu Mkuu asiye na ushawishi wala hasikilizwi na yeyote. Yupo kimya kama vile alilazimishwa awe hapo alipo.

Mbaya zaidi, pesa za Chama zinatumiwa na wajanja waliopo Serikalini kwa maelekezo. Ki ujumla, Chama hakina pesa na ndiyo maana hata mishahara ya Watendaji na Watumishi ndani ya Chama, mishahara hawalipwi.

Fukuto ni kubwa na la haja! Ni suala la mda tu fito zitagawanwa.
 
Inavyoonekana, ni kama vile CCM kuna ombwe la ki Uongozi.

Asha-rose Migiro hatoshi na hana sifa za kuendelea kuwa Katibu Mkuu hata kwa siku moja mbele! Ni Katibu Mkuu asiye na ushawishi wala hasikilizwi na yeyote. Yupo kimya kama vile alilazimishwa awe hapo alipo.

Mbaya zaidi, pesa za Chama zinatumiwa na wajanja waliopo Serikalini kwa maelekezo. Ki ujumla, Chama hakina pesa na ndiyo maana hata mishahara ya Watendaji na Watumishi ndani ya Chama, mishahara hawalipwi.

Fukuto ni kubwa na la haja! Ni suala la mda tu fito zitagawanwa.
Nasubiri kuona moshi mweusi unafuka ndani ya chama hiki dhalimu kabisa.
 
Inavyoonekana, ni kama vile CCM kuna ombwe la ki Uongozi.

Asha-rose Migiro hatoshi na hana sifa za kuendelea kuwa Katibu Mkuu hata kwa siku moja mbele! Ni Katibu Mkuu asiye na ushawishi wala hasikilizwi na yeyote. Yupo kimya kama vile alilazimishwa awe hapo alipo.

Mbaya zaidi, pesa za Chama zinatumiwa na wajanja waliopo Serikalini kwa maelekezo. Ki ujumla, Chama hakina pesa na ndiyo maana hata mishahara ya Watendaji na Watumishi ndani ya Chama, mishahara hawalipwi.

Fukuto ni kubwa na la haja! Ni suala la mda tu fito zitagawanwa.
Tulikuwepo sisi watetezi kinda kinda wa CCM mitandaoni.
Lakini baada ya Okt29 chama kinanuka uvundo mzito.
Nafikiri hata kina Asha Rose wanajionea heri kukaa kimya kuliko kutetea uozo uliopo.
 
Inavyoonekana, ni kama vile CCM kuna ombwe la ki Uongozi.

Asha-rose Migiro hatoshi na hana sifa za kuendelea kuwa Katibu Mkuu hata kwa siku moja mbele! Ni Katibu Mkuu asiye na ushawishi wala hasikilizwi na yeyote. Yupo kimya kama vile alilazimishwa awe hapo alipo.

Mbaya zaidi, pesa za Chama zinatumiwa na wajanja waliopo Serikalini kwa maelekezo. Ki ujumla, Chama hakina pesa na ndiyo maana hata mishahara ya Watendaji na Watumishi ndani ya Chama, mishahara hawalipwi.

Fukuto ni kubwa na la haja! Ni suala la mda tu fito zitagawanwa.
Nani anayetakiwa kuwepo walau kwa siku moja?
Tulikuwepo sisi watetezi kinda kinda wa CCM.mitandaoni.
Lakini baada ya Okt29 chama kinanuka uvundo mcito.
Nsfikiri hata kina Asha Rose wanajionea heri kukaa kimya kuliko kutetea uozo uliopo.
Huu ndio ukweli.
 
Inavyoonekana, ni kama vile CCM kuna ombwe la ki Uongozi.

Asha-rose Migiro hatoshi na hana sifa za kuendelea kuwa Katibu Mkuu hata kwa siku moja mbele! Ni Katibu Mkuu asiye na ushawishi wala hasikilizwi na yeyote. Yupo kimya kama vile alilazimishwa awe hapo alipo.

Mbaya zaidi, pesa za Chama zinatumiwa na wajanja waliopo Serikalini kwa maelekezo. Ki ujumla, Chama hakina pesa na ndiyo maana hata mishahara ya Watendaji na Watumishi ndani ya Chama, mishahara hawalipwi.

Fukuto ni kubwa na la haja! Ni suala la mda tu fito zitagawanwa.
Mimi nawaombea kwa Mungu wafilisike kabisa ili nchi yetu ipone
 
Inavyoonekana, ni kama vile CCM kuna ombwe la ki Uongozi.

Asha-rose Migiro hatoshi na hana sifa za kuendelea kuwa Katibu Mkuu hata kwa siku moja mbele! Ni Katibu Mkuu asiye na ushawishi wala hasikilizwi na yeyote. Yupo kimya kama vile alilazimishwa awe hapo alipo.

Mbaya zaidi, pesa za Chama zinatumiwa na wajanja waliopo Serikalini kwa maelekezo. Ki ujumla, Chama hakina pesa na ndiyo maana hata mishahara ya Watendaji na Watumishi ndani ya Chama, mishahara hawalipwi.

Fukuto ni kubwa na la haja! Ni suala la mda tu fito zitagawanwa.
relax gentleman, na bado 🤣
 
Inavyoonekana, ni kama vile CCM kuna ombwe la ki Uongozi.

Asha-rose Migiro hatoshi na hana sifa za kuendelea kuwa Katibu Mkuu hata kwa siku moja mbele! Ni Katibu Mkuu asiye na ushawishi wala hasikilizwi na yeyote. Yupo kimya kama vile alilazimishwa awe hapo alipo.

Mbaya zaidi, pesa za Chama zinatumiwa na wajanja waliopo Serikalini kwa maelekezo. Ki ujumla, Chama hakina pesa na ndiyo maana hata mishahara ya Watendaji na Watumishi ndani ya Chama, mishahara hawalipwi.

Fukuto ni kubwa na la haja! Ni suala la mda tu fito zitagawanwa.
Screenshot_20260404-111943~2.png
 
Inavyoonekana, ni kama vile CCM kuna ombwe la ki Uongozi.

Asha-rose Migiro hatoshi na hana sifa za kuendelea kuwa Katibu Mkuu hata kwa siku moja mbele! Ni Katibu Mkuu asiye na ushawishi wala hasikilizwi na yeyote. Yupo kimya kama vile alilazimishwa awe hapo alipo.

Mbaya zaidi, pesa za Chama zinatumiwa na wajanja waliopo Serikalini kwa maelekezo. Ki ujumla, Chama hakina pesa na ndiyo maana hata mishahara ya Watendaji na Watumishi ndani ya Chama, mishahara hawalipwi.

Fukuto ni kubwa na la haja! Ni suala la mda tu fito zitagawanwa.
CV yake na yaliyotokea Oct.29 vinakinzana!

Sidhani kama anamsukumo wa kukipigania chama.
 
Inavyoonekana, ni kama vile CCM kuna ombwe la ki Uongozi.

Asha-rose Migiro hatoshi na hana sifa za kuendelea kuwa Katibu Mkuu hata kwa siku moja mbele! Ni Katibu Mkuu asiye na ushawishi wala hasikilizwi na yeyote. Yupo kimya kama vile alilazimishwa awe hapo alipo.

Mbaya zaidi, pesa za Chama zinatumiwa na wajanja waliopo Serikalini kwa maelekezo. Ki ujumla, Chama hakina pesa na ndiyo maana hata mishahara ya Watendaji na Watumishi ndani ya Chama, mishahara hawalipwi.

Fukuto ni kubwa na la haja! Ni suala la mda tu fito zitagawanwa.
Na iwe hivyo🙏
 
Back
Top Bottom