Nsumba-ntale
Member
- May 24, 2026
- 5
- 48
Inavyoonekana, ni kama vile CCM kuna ombwe la ki Uongozi.
Asha-rose Migiro hatoshi na hana sifa za kuendelea kuwa Katibu Mkuu hata kwa siku moja mbele! Ni Katibu Mkuu asiye na ushawishi wala hasikilizwi na yeyote. Yupo kimya kama vile alilazimishwa awe hapo alipo.
Mbaya zaidi, pesa za Chama zinatumiwa na wajanja waliopo Serikalini kwa maelekezo. Ki ujumla, Chama hakina pesa na ndiyo maana hata mishahara ya Watendaji na Watumishi ndani ya Chama, mishahara hawalipwi.
Fukuto ni kubwa na la haja! Ni suala la mda tu fito zitagawanwa.
Asha-rose Migiro hatoshi na hana sifa za kuendelea kuwa Katibu Mkuu hata kwa siku moja mbele! Ni Katibu Mkuu asiye na ushawishi wala hasikilizwi na yeyote. Yupo kimya kama vile alilazimishwa awe hapo alipo.
Mbaya zaidi, pesa za Chama zinatumiwa na wajanja waliopo Serikalini kwa maelekezo. Ki ujumla, Chama hakina pesa na ndiyo maana hata mishahara ya Watendaji na Watumishi ndani ya Chama, mishahara hawalipwi.
Fukuto ni kubwa na la haja! Ni suala la mda tu fito zitagawanwa.