pappilon
JF-Expert Member
- Jan 27, 2015
- 3,192
- 3,577
Hii si ndo ile hospitali mmliki alikuwa anawalamba wagonjwa?
...mmiliki alikuwa anawalamba wagonjwa....akishawalamba wanapona au....kulamba ilikuwa tiba au sehemu ya tiba ....????
Hii si ndo ile hospitali mmliki alikuwa anawalamba wagonjwa?
sina imani hii habari...
Tomaso
Naomba nikupinge mkuu, mama mjamzito anapopata kifafa cha mimba njia ya kubwa ya kumfanya asipoteze uhai ni mtt kuzaliwa. So mama akiwa kwenye iyo hali lzm afanyiwe operation sababu anakua hawezi kupush...nikiwa kama mhanga wa kifafa cha mimba waliwai kunifanyia operation nikawa salama mimi na mtoto
Mgonjwa wangu mtoto alishafia tumboni, lakini wao wakanificha na kuforce operation nikakataa, nikamhamishia muhimbili ambako walikataa kumfanyia operation kwa kigezo cha kumtia mama ubovu wakati mtoto keshafariki, alipewa dawa za uchungu na akajifungua kawaida na akapona wenzangu waliokubali operation walipoteza wapendwa wao
Mtoto akishafia tumboni njia bora ni vaginal delivery ila kama mtoto ni mkubwa au amekaa vibaya operation inaweza fanyika pia
Hii nillipata toka kwa jamaa yangu aliyekuwa akifundisha pale chuoni; wanafunzi wakifeli sana somo lako unawekwa chini na uongozi wa chuo ili mambo yaende sawa na wanafunzi wafaulu. Nikajiuliza, sasa kama wanafunzi wa udaktari wanafanyiwa mishe ili wafaulu mitihani yao, kutakuwa na usalama kweli kwa wagonjwa watakaokuwa wanawatibu pindi watakapokuwa madaktari?
Nadhani mchanganyiko huu wa biashara (kwa asilimia kubwa) na huduma (kwa asilimia ndogo) si mzuri katika sekta ya afya nchini.