ni mwaka Jana December nilimpeleka Mzee wangu pale..akiwa na tatizo la pressure na kisukari..akalazwa pale.wakamfanyia vipimo vya ct scan xray na ultra sound...majibu yakatoka Kuwa Mzee ana Kansa na tayari imeshaozesha mapafu,maini,utumbo mwembamba...nikajiuliza mbona dalili za kansa hana na anatembea na kula vizuri na pia kuongea!!tukabishana iweje viungo vote muhimu view vimeoza na Mzee haoneshi dalili za kuwa na Kansa...nikamuuliza Dr nkemerwa kairuki cjui ndo mtoto wa hay at kairuki juu ya hyo Kansa...ckujibiwa vzur baadae..wakat Niko pale naongea na Dr nkemerwa Kuna Dr mwingine wa kike alimwambia Mzee Kuwa una Kansa na imeozesha INI na mapafu...mzee pressure ikashuka na hatimae akarudi nyumbani kwa baba muumba.......mpaka Leo cna hamu na Hosp ile..