Prof Griff
JF-Expert Member
- Aug 29, 2008
- 6,762
- 5,276
Mkuu mtaje daktari ili tumuepuke.
Nina case tatu kuhusu Kairuki
1. Ni mtoto kuachwa wazi baada ya kizaliwa na baridi ikamuathiri sana. Huyu alikufa few days after
2. Mtoto kizaliwa kuachwa wazi kiuzembe nae akapata matatizo bahati nzuri walimkwida misindano akaponea tunduni
3 . Unsuccessful operation ya titi iliyofanywa kwa uzembe. In fact hawakupaswa kufanya operation basing on the patient's age na case yenyewe. Ndio ilizidisha tatizo kwani hata uvimbe walio sema wanautoa hawakuutoa. Mgonjwa alihamia TMJ sijapata update za hali yake.
Wa kuu TMJ napo vipi?
TMJ is just as bad. Peleka mgonjwa Regency Hospital haraka.