Kuna martial art bora kuliko Judo?

Kuna martial art bora kuliko Judo?

Sambo ni habari nyingine, ushahidi upo UFC ambako group la kina Khabib na Islam wanaonyesha uwezo mkubwa sana.... yaaani mpaka mtu mwenye black belt ya judo hawa wazee wa sambo wanasema wanaomba wampime kama kweli ni black belt.. nomer mzeee Islam Mackchef akikukamata ni kama python vile hutoki...
these Russian Mthfckf
 
Msingi mkuu wa Judo ni Kuzusu (kumkosesha mpinzani urari/balance). Mpinzani akileta nguvu ya kukushambulia, Judo inatumia mjongeo na nguvu hiyo hiyo kumrusha chini vibaya.

Nafikiri wachangiaji wengi wamechangia ikiwa hawana taarifa au Hawajafanya research Juu ya mchezo Wa 🥋 Judo.
Hiyo ya kutumia nguvu ya mpinzani siyo Jujitsu?
 
Sambo ni habari nyingine, ushahidi upo UFC ambako group la kina Khabib na Islam wanaonyesha uwezo mkubwa sana.... yaaani mpaka mtu mwenye black belt ya judo hawa wazee wa sambo wanasema wanaomba wampime kama kweli ni black belt.. nomer mzeee Islam Mackchef akikukamata ni kama python vile hutoki...
these Russian Mthfckf
Jamaa wa Dagestan hao!? Mashabiki wa UFC wanasema wanawaboa.
 
Jamaa wa Dagestan hao!? Mashabiki wa UFC wanasema wanawaboa.
inategemea na angle unayotazama.. kama unatazama kwa kujifurahisha sawa wanaboa.. lakini ukija kwenye real life situation anayeshinda ni Sambo.

na kaa ukijua ngumi nyingi .. hata za mtaani kama zisipoamuliwa mapema huanza wapiganaji wakiwa wamesimama kisha mshindi kupatikana aliyeweza kumkontrol meenzake kwenye ground floor.
 
Ile ya ip-man ni wushu nafikiri japo ni movie Donnie yen anatembeza vikombe hatari, na ni real life master kama Jet Lee, Chuck Norris, Michael Jai white hawa wanajua michezo sio kuigiza tu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom