Nimeona wacheza Judo wakiwadhibiti watu wa martial arts zingine bila hata kustrike
Inategemea sasa kwa mfano Brazilian Jiu-Jitsu na Jiu-Jitsu halisi ya Japan wanaweza cheza vizuri sana na mtu wa judo au Russian Sambo kwasababu hizo zinajumuisha sana takedowns na ground fighting hata mtu wa MMA.
Ila unapokuja kwenye swala la full contact martial arts kuna michezo kama Muay Boran achana na hii mpya Muay Thai ambayo ni ya kisasa kabisa kuna Muay Boran ambayo inatokea pande tofauti ikijulikana kama Muay Chaiya, Muay lopburi, Muay Korat, Muay Thasao hiyo mara nyingi huweza kulinganishwa na karate hasa kyokushin karate ya Mwanzilishi Matsutatsu Oyama.
Hapo bado hatujazungumzia martial arts za china (Kung Fu, wushu, jeet ku do n.k), Philippines (Eskrima), Korea (Tae kwon do), Brazil (Capoiera), Guatemala (tem'v ka), France (French Savate), Western Boxing n.k
Katika Martial arts kimsingi hakuna saana ipi bora ila zipo deadly japo kimsingi hutegemeana sana na wapiganaji wanaokutana yupi ni bora katika sanaa yake kuimudu sanaa nyingine.
Ndiyo maana hata military martial arts zinachanganywa baadhi ya sanaa ili upate kitu kimoja ambacho ni kipana kwasababu hawa watu hawafundishwi mashindano bali ni kuua na mara nyingi wanatumia hizi arts zimekamilika kila angle..
(Boxing, krav maga, karate, judo, Jiu-Jitsu)