ndiyo

Ndiyo was a non-profit organisation based out of Cambridge, United Kingdom, which aimed to promote networked computing that is "simple, affordable, open." Ndiyo, pronounced nn-dee-yo, is the Swahili word for "yes". The company developed an ultra-thin client called the nivo (network in, video out) based on Ubuntu Linux and other open-source software, for use especially in developing countries. The data sent to the clients over the network was pixel data, using a similar approach to Virtual Network Computing (VNC).
The project worked on the basis of multiple workstations running from a single PC. Quentin Stafford-Fraser, founder of the organisation, told The Economist "We can make computing more affordable by sharing it". The system allows a basic PC running linux to be shared by many users.
The Ndiyo Nivo was similar in concept to Sun Microsystems' Sun Ray virtual display thin client, but at sub-$100 and using only 2W, it was lower-cost and used much less power, making it more suitable for these kinds of situations.
In addition to its use by organisations within the United Kingdom, Ndiyo-based systems were deployed in internet cafes in Bangladesh and South Africa, and in Tanzanian Schools.
The Nivo technology went on to become the basis of DisplayLink, a company founded by members of the team.

View More On Wikipedia.org
  1. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Utafiti: Gen Z ndiyo Kizazi kikubwa zaidi Duniani, Kikiwa na Watu bilioni 2.04

    Kizazi cha Gen Z sasa ndicho kizazi kikubwa zaidi duniani, kikiwa na wastani wa watu bilioni 2.04 — sawa na 24.8% ya idadi ya watu wote duniani. Kinafuatiwa na Millennials wenye watu bilioni 1.87 (22.6%), huku Gen Alpha ikiwa na watu bilioni 1.74 (21.1%). Kwa pamoja, vizazi hivi vitatu vina...
  2. mrxtz2026

    JamiiForums Tanzania Uhuru wa Mahakama Haulindwi kwa Maneno, Bali kwa Muundo: Kwanini Kauli ya kikatiba kwamba "Mahakama ni huru", bila muundo bora ni Udhaifu mkubwa..?

    Karibu kila Katiba duniani inasema "Mahakama ni huru." Ni sentensi rahisi kuandika, lakini historia imeonyesha mara nyingi kwamba sentensi hiyo peke yake haitoshi. Uhuru wa kweli wa Mahakama haupimwi kwa maneno ya utangulizi, unapimwa kwa maswali magumu zaidi: nani anateua Majaji, kwa muda gani...
  3. Texas Tiger

    JamiiForums Tanzania TSh 6M kwa mwezi ndiyo level ya kuishi maisha comfortable Dar au Arusha bila kila mwezi kuwa na financial stress.

    Yes sir. Ili uishi comfortable life hapa Tz hususani Dar, Arusha inabidi uwe una earn Tzs6M kila kweli consistently. Fikiria hivi. You are in your early 30s, unaishi na wife au girlfriend. 1. Assume unaishi Dar bado hujajenga. Rent for 2 bedroom apartment inaanzia Tzs1.5M maeneo prime...
  4. Lycaon pictus

    JamiiForums Tanzania Sema watanzania ni rahisi sana kudanganyika. Sasa Kanali wa NATO ndiyo nini?

    Watu wako Kanali wa NATO Kanali wa NATO! Unaweza kudhani wanatania kumbe ndiyo wameishaamini hivyo. NATO ina Kanali na jeshi tokea lini? Sijui ni Gen Z hawa ambao hawakusikiliza Dochivele ndiyo weupe hivi kichwani? Anyway, salama iwe na Polepole.
  5. R

    JamiiForums Tanzania Mnyika ni kiboko, ndiyo maana alikuwa Tanzania One! Soma alivyombabadua Katuga

    Katibu Mkuu wa Chadema anaendelea kutoa ushahidi wake. Mahakama imerejea muda huu saa tisa kasoro alasiri. Majaji wameingia tayari na Ajuaye Zengeli anasema wako tayari. Katibu Mkuu wa CHADEMA John Mnyika anapanda kizimbani. Anasimama KATUGA anasema atakuwa na maswali machache labda kama...
  6. K

    JamiiForums Tanzania Hebu Tazama. Hii Ndiyo 'Cream' ya Uongozi wa Taifa Hili.

    Inawezekana wengi wetu (waTanzania), kama nilivyokuwa mimi hatuwajui watu ambao ndio viongozi wa nchi hii kupitia chini ya CCM. Hawa ndio wanapofanya kikao na kufanya maamuzi, taifa zima linazizima; kwa sababu maamuzi yaondiyo kila kitu kwa mwelekeo wa taifa hili. Labda 'niqualify' tu kwamba ni...
  7. K

    JamiiForums Tanzania Hebu Tazama. Hii Ndiyo 'Cream' ya Uongozi wa Taifa Hili.

    Inawezekana wengi wetu (waTanzania), kama nilivyokuwa mimi hatuwajui watu ambao ndio viongozi wa nchi hii kupitia chini ya CCM. Hawa ndio wanapofanya kikao na kufanya maamuzi, taifa zima linazizima; kwa sababu maamuzi yaondiyo kila kitu kwa mwelekeo wa taifa hili. Labda 'niqualify' tu kwamba ni...
  8. H r n

    JamiiForums Tanzania My friend, Hao si rafiki zako—ni kazi tu ndiyo inayokuunganisha nao!

    Mambo vipi wakuu! Kazini unaweza kukutana na watu unaocheka nao, mnakunywa chai pamoja, mnaongea mambo ya maisha na hata kusaidiana kwenye changamoto. Lakini usisahau kwamba mazingira hayo yamewakutanisha kwa sababu ya kazi. Si kila anayekaa karibu na wewe kazini ni rafiki yako wa kweli...
  9. Stuxnet

    JamiiForums Tanzania Facebook: Je huu ndiyo u-Yuda Iscariote wa Nchimbi?

    Kutoka chanzo cha Facebook;- 👉YA NCHIMBI IPO HIVI - Nimetrace data kuanzia Q692-92 na Zile za Ts629/002/7722/003 za mwezi wa 4 na 8 zote zinaonesha kwanza kabisa ! 👉Mifumo wake wa simu ilikuwa traced , na kosa zaidi alikuwa anawasiliana na x , na y, na z wa Chadema sasa mchezo upo hivi...
  10. Crocodiletooth

    JamiiForums Tanzania Sisi waafrika ndiyo tuwe wapiga kura na siyo viongozi wetu watuamulie!?,au mwasemaje?

    What do you,thought?..labda maisha yatakuwa sawa na bora kwa kila mwafrika...
  11. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania Kete za Mapenzi: Hakikisha Mkeo au mwanamke wako anawekeza kiuchumi kwenye mahusiano yenu. Hii ni mbinu ya uhakika.

    KETE ZA MAPENZI: HAKIKISHA MKEO AU MWANAMKE WAKO ANAWEKEZA KIUCHUMI KWENYE MAHUSIANO YENU. HII NI MBINU YA UHAKIKA. Anaandika, Robert Heriel Mtibeli. Unajua Pesa inauma kuliko mapenzi? Hili wengi hawalijui. Hasa wale watoto wadogo au wenye upeo mdogo. Sehemu yoyote ambayo hukuweka pesa...
  12. Heinz Consulting

    JamiiForums Tanzania "Constituency" Yako Ndiyo Siri Kuu ya Mafanikio ya Shirika Lako

    Shirika lolote lisilo la kiserikali (NGO au Nonprofit), kufanikiwa katika utafutaji wa rasilimali fedha (fundraising) mara nyingi hutokana na kuomba fedha kwa watu sahihi. Kimsingi, fundraising yenye tija inahitaji uelewa wa kina na wa kimkakati wa "constituency" yako au kundi la watu wenye nia...
  13. Lycaon pictus

    JamiiForums Tanzania Kuna martial art bora kuliko Judo?

    Nimeona wanamartial arts wengi wanapigwa na wacheza judo. Je judo ndiyo martial art bora zaidi?
  14. kavulata

    JamiiForums Tanzania Huu ndiyo upinzani watanzania waliouzoea na kuutaka

    Pa kukosoa kusoa sana na kupongeza pongeza sana maana nchi yetu ni hiihii wote. Umeme haubagui uwake nyumba gani wala nyumba ya nani. https://youtu.be/3iuacrmxUAs?si=x4MeKWCexU8UFxfF
  15. youngkato

    JamiiForums Tanzania Unataka kuanzisha Driving School? Haya ndio mambo ya kuzingatia ili ujenge biashara yenye wateja na faida

    Fikiria kijana anayemaliza shule, anapata kazi inayohitaji awe na driving licence, au mfanyabiashara anayehitaji dereva mwenye uwezo mzuri wa kuendesha gari. Kitu cha kwanza anachotafuta ni Driving School yenye uaminifu, walimu wazuri, magari salama na inayoweza kumsaidia kujifunza kuendesha...
  16. Isenye

    JamiiForums Tanzania Hii ndiyo mitaa kwenye mikoa mbalimbali inayoongoza kwa kuwa na walevi wengi wa pombe

    Kimara- DSM Uyole-Mbeya Ccm-Iringa mjini Kiboriloni-Moshi Himo-Moshi Nyegezi-Mwanza Manzese-DSM Tegeta-,Dsm Tabata-DSm Kwa mrombo-Arusha Matejoo-Arusha Majengo-Moshi Sanawari-Arusha Mabibo-Dsm Buguruni-DSm Mbagara-Dsm Mwananyamala-DSm Sinza-Dsm Mbezi Magufuli-Dsm Kigogo-Dsm
  17. mrxtz2026

    JamiiForums Tanzania Ardhi yako ni yako hata bila Hati? Rasimu hii inasema ndiyo, na inaweka Ukuta dhidi ya Unyang'anyi

    Kila mkoa nchini Tanzania una hadithi yake ya ardhi. Kijiji kinachoambiwa kihame kwa ajili ya uwekezaji. Familia inayonyang'anywa ardhi ya mababu kwa sababu haina hati. Mwekezaji wa kigeni anayepewa maeneo makubwa huku wenyeji wakisukumwa pembeni. Swali linalorudia kila mara ni hili: je ardhi ni...
  18. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mashimo bado yapo, lakini njia za baiskeli zinajengwa—Je, haya ndiyo maendeleo?

    Ukarabati unaoendelea kwenye Barabara ya Kasarani–Mwiki umeibua maoni tofauti kutoka kwa wakazi, huku wengi wakitaka serikali kuweka kipaumbele katika kutengeneza barabara yenyewe kabla ya kuwekeza katika miundombinu mingine. Wakazi wanasema licha ya kazi za ujenzi kuendelea, changamoto kuu...
  19. bless on

    JamiiForums Tanzania Usiyoyajua Unapokuwa Mwanaume

    Maisha ya mwanamume si mepesi, na kadiri unavyokua ndivyo unavyogundua kuwa ulimwengu haujali unavyojisikia unajali unachoweza kuleta mezani. Upendo Wako Unategemea Unachotoa Kama mwanamume, hakuna upendo wa bure chini ya jua. Watoto, wanawake, na hata wanyama wa kufuga ndio wanaopendwa bila...
  20. K

    JamiiForums Tanzania Huu ndiyo Ujumbe wangu kwa Dotto Magari.

    Ujumbe wangu kwangu Dotto Magari, haya majaribu unayopitia ya kuhusishwa Kwamba umeathirika na Virusi vya UKIMWI ni mpango wa MUNGU ambao amekuandalia katika Maisha yako Kwamba ipo siku haya yatatokea. Mimi nikushauri Mdogo wangu usikate tamaa ugali wako na familia yako hakuna atakayelisha...
Back
Top Bottom