Kesi ya Lissu: CHADEMA wana viongozi bora kuliko CCM

Kesi ya Lissu: CHADEMA wana viongozi bora kuliko CCM

Allen Kilewella

JF-Expert Member
Joined
Sep 30, 2011
Posts
25,837
Reaction score
50,541
Nimeangalia mahojiano ya Tundu Lissu na John Mnyika kwenye kesi ya Uhaini inayomkabili Lissu, nikajiuliza vipi hao wanaohojiana ndiyo wangekuwa ni viongozi waandamizi wa CCM?

Hii kesi inaonesha ni kwa kiasi gani CHADEMA ina viongozi bora na weledi kuliko viongozi waliopo CCM.
 
Lissu ameacha nembo ya sheria katika mahakama atakumbukwa vizazi na vizazi na reforms za kimahakama zitatokea kwenye hii kesi.

Si umeona sheria ya mashahidi wa kwenye vibanda vya mbwa kama Yericko Nyerere ilianzishwa kupitia hii kesi basi mbeleni itafutwa baada ya kuona imegonga mwamba kupitia kesi hii ambayo ndio kosa kubwa katika nchi.
 
Si umeona sheria ya mashahidi wa kwenye vibanda vya mbwa kama ilianzishwa kupitia hii kesi basi mbeleni itafutwa baada ya kuona imegonga mwamba kupitia kesi hii ambayo ndio kosa kubwa katika nchi.
Halafu Katuga amemuuliza kwa nini hakupinga😀😃😄

Na kwenye ushahidi wao Lissu alikuwa anasisitiza majina na kila utambulisho wao kufutwa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom