Je, heshima ni bora kuliko kutii?

Je, heshima ni bora kuliko kutii?

Shamuse_bey

JF-Expert Member
Joined
Jun 15, 2026
Posts
467
Reaction score
596
Wanasema: bora kumuheshimu kila mtu mana huwezi jua kesho yako. Lakini hapo hapo kwenye swala la kutii, ni kukubaliana na kila maagizo unayopewa bila kwenda kinyume. Sasa ni kweli heshima ni bora kuliko kutii?
 
Sawa ila jua kua heshima haina kikomo yani huwa unamweshimu tu yeyote yule, ila kutii kunamipaka sikila mtu unaweza mtii kwa kila atalokutaka ufanye.
 
Back
Top Bottom