Kuna kampeni ya kuua Tembo na wanyama pori inaanzishwa taratibu kwa kauli mbiu " Tembo/wanyama siyo bora kuliko binadamu"

Resilience

JF-Expert Member
Jan 4, 2023
879
4,124
Ndugu zangu watanzania tuwe makini na wanasiasa hasa kipindi cha uchaguzi. Tuliona namna wanasiasa wa kanda ya ziwa walivyopambana kushangilia uvuvi haramu wakidai ziwa ni mali yao na wapo tayari libaiki kama swimming pool . Kauli hizi walizitoa wakitaka watu wavue bila kudhibitiwa na wamefanikiwa. Lake Tanganyika, Nyasa na Victoria hakuna tena udhibiti madhubuti. Hapa kuna watu walilipwa na wameendelea kulipwa kujifanya wanawalinda wananchi kumbe wanalinda malengo yao ya kuuza nyavu, kunufaika na mazao yaziwani nk

Baada ya wanasiasa kufanikiwa huko sasa wamehamia kwenye vita dhidi ya tembo na wanyapori. Kampeni kubwa inayoendelea ni kusema wanyama siyo bora kuliko wanadamu. Hao wanaosema haya wamesoma na wana akili timamu kabisa lakini wananufaika na uhalifu wanakupigia kelele. Tumemsikia kiongozi mmoja wa ACT huko Kusini akizungumza na wananchi, tumesikia bungeni, tumesikia Serengeti na maeneo mengine.

Hawa wote wanatafuta namna yakubariki mauaji ya wanyamapori. Niwaombe wananchi tusidanganywe na wasaka madaraka tuangalie kwa jicho pana hoja zao. Tusipojipanga vyema wao na familia zao watauza hizi rasilimali na watakwenda kujenga au kununua makazi Ulaya. Tuwapige vita wanashangilia uvuvi haramu na wanaoshangilia mauaji ya wanyamapori. Watoto wetu watahitaji samaki huko tuendako kuliko tunavyohitaji sana. Watoto wetu watahitaji kutembelea mbuga za wanyama na kuona big 5 zaidi yetu. Huu ni urithi wetu tusiuze
 
Ukiona hivo ujue tembo wamekuwa wengi duniani hapa kuna aformula inaendesha hizi mambo miaka mitano ya tembo kuzaliana kisha miaka mitano ya tembo kupunguzwa ila hili hawatakuja kulisema hadharani so usiogope
 
Ndugu zangu watanzania tuwe makini na wanasiasa hasa kipindi cha uchaguzi. Tuliona namna wanasiasa wa kanda ya ziwa walivyopambana kushangilia uvuvi haramu wakidai ziwa ni mali yao na wapo tayari libaiki kama swimming pool . Kauli hizi walizitoa wakitaka watu wavue bila kudhibitiwa na wamefanikiwa. Lake Tanganyika, Nyasa na Victoria hakuna tena udhibiti madhubuti. Hapa kuna watu walilipwa na wameendelea kulipwa kujifanya wanawalinda wananchi kumbe wanalinda malengo yao ya kuuza nyavu, kunufaika na mazao yaziwani nk

Baada ya wanasiasa kufanikiwa huko sasa wamehamia kwenye vita dhidi ya tembo na wanyapori. Kampeni kubwa inayoendelea ni kusema wanyama siyo bora kuliko wanadamu. Hao wanaosema haya wamesoma na wana akili timamu kabisa lakini wananufaika na uhalifu wanakupigia kelele. Tumemsikia kiongozi mmoja wa ACT huko Kusini akizungumza na wananchi, tumesikia bungeni, tumesikia Serengeti na maeneo mengine.

Hawa wote wanatafuta namna yakubariki mauaji ya wanyamapori. Niwaombe wananchi tusidanganywe na wasaka madaraka tuangalie kwa jicho pana hoja zao. Tusipojipanga vyema wao na familia zao watauza hizi rasilimali na watakwenda kujenga au kununua makazi Ulaya. Tuwapige vita wanashangilia uvuvi haramu na wanaoshangilia mauaji ya wanyamapori. Watoto wetu watahitaji samaki huko tuendako kuliko tunavyohitaji sana. Watoto wetu watahitaji kutembelea mbuga za wanyama na kuona big 5 zaidi yetu. Huu ni urithi wetu tusiuze
Na makamu mwenyekiti wetu ataachia ngazi soon ili ajikite kwenye ile fani yake pendwa kuliokoa taifa na hawa wanyama walioamua kuasi.
 
Nchi 3 zenye tembo wengi duniani;
1) Botswana, ina tembo 130,000
2) Zimbabwe, ina tembo 100,000
3) Tanzania, ina tembo 81,000

Kwahiyo story za kuwa Kuna ongezeko la tembo Tanzania au duniani kwa ujumla ni blah blah blah za kujustify uhalifu kama anavyosema mleta mada.

Ukisikiliza “tatizo la tembo” linavyo zungumzwa, unaweza kudhani Kuna tembo milioni moja Tanzania pekee, wakati idadi ya tembo dunia nzima haifiki hata laki 5.
Huyu mama mpaka anaondoka hii nchi itakuwa imebaki mifupa mitupu
 
Ndugu zangu watanzania tuwe makini na wanasiasa hasa kipindi cha uchaguzi. Tuliona namna wanasiasa wa kanda ya ziwa walivyopambana kushangilia uvuvi haramu wakidai ziwa ni mali yao na wapo tayari libaiki kama swimming pool . Kauli hizi walizitoa wakitaka watu wavue bila kudhibitiwa na wamefanikiwa. Lake Tanganyika, Nyasa na Victoria hakuna tena udhibiti madhubuti. Hapa kuna watu walilipwa na wameendelea kulipwa kujifanya wanawalinda wananchi kumbe wanalinda malengo yao ya kuuza nyavu, kunufaika na mazao yaziwani nk

Baada ya wanasiasa kufanikiwa huko sasa wamehamia kwenye vita dhidi ya tembo na wanyapori. Kampeni kubwa inayoendelea ni kusema wanyama siyo bora kuliko wanadamu. Hao wanaosema haya wamesoma na wana akili timamu kabisa lakini wananufaika na uhalifu wanakupigia kelele. Tumemsikia kiongozi mmoja wa ACT huko Kusini akizungumza na wananchi, tumesikia bungeni, tumesikia Serengeti na maeneo mengine.

Hawa wote wanatafuta namna yakubariki mauaji ya wanyamapori. Niwaombe wananchi tusidanganywe na wasaka madaraka tuangalie kwa jicho pana hoja zao. Tusipojipanga vyema wao na familia zao watauza hizi rasilimali na watakwenda kujenga au kununua makazi Ulaya. Tuwapige vita wanashangilia uvuvi haramu na wanaoshangilia mauaji ya wanyamapori. Watoto wetu watahitaji samaki huko tuendako kuliko tunavyohitaji sana. Watoto wetu watahitaji kutembelea mbuga za wanyama na kuona big 5 zaidi yetu. Huu ni urithi wetu tusiuze
Tembo ni wengi sana wanasababisha njaa wakulima wanashindwa kulima hasa maeneo yaliyo karibu na Mbuga naunga mkono hoja
 
Ndugu zangu watanzania tuwe makini na wanasiasa hasa kipindi cha uchaguzi. Tuliona namna wanasiasa wa kanda ya ziwa walivyopambana kushangilia uvuvi haramu wakidai ziwa ni mali yao na wapo tayari libaiki kama swimming pool . Kauli hizi walizitoa wakitaka watu wavue bila kudhibitiwa na wamefanikiwa. Lake Tanganyika, Nyasa na Victoria hakuna tena udhibiti madhubuti. Hapa kuna watu walilipwa na wameendelea kulipwa kujifanya wanawalinda wananchi kumbe wanalinda malengo yao ya kuuza nyavu, kunufaika na mazao yaziwani nk

Baada ya wanasiasa kufanikiwa huko sasa wamehamia kwenye vita dhidi ya tembo na wanyapori. Kampeni kubwa inayoendelea ni kusema wanyama siyo bora kuliko wanadamu. Hao wanaosema haya wamesoma na wana akili timamu kabisa lakini wananufaika na uhalifu wanakupigia kelele. Tumemsikia kiongozi mmoja wa ACT huko Kusini akizungumza na wananchi, tumesikia bungeni, tumesikia Serengeti na maeneo mengine.

Hawa wote wanatafuta namna yakubariki mauaji ya wanyamapori. Niwaombe wananchi tusidanganywe na wasaka madaraka tuangalie kwa jicho pana hoja zao. Tusipojipanga vyema wao na familia zao watauza hizi rasilimali na watakwenda kujenga au kununua makazi Ulaya. Tuwapige vita wanashangilia uvuvi haramu na wanaoshangilia mauaji ya wanyamapori. Watoto wetu watahitaji samaki huko tuendako kuliko tunavyohitaji sana. Watoto wetu watahitaji kutembelea mbuga za wanyama na kuona big 5 zaidi yetu. Huu ni urithi wetu tusiuze
Aione kwenye faili Makamu Mwenyekiti wa CCM!

Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
 
Kumbe ndiyo maana yule dingi anataka kuachia ngazi kwenye chama asimamie dili lake kikamilifu
 
Back
Top Bottom