tembo

Tikki Tikki Tembo is a 1968 picture book written by Arlene Mosel and illustrated by Blair Lent. The book tells the story of a Chinese boy with a long name who fell into a well. It is a sort of origin myth about why Chinese names are so short today. The book is controversial because it appears to retell a Japanese story and because it does not portray Chinese culture accurately.

View More On Wikipedia.org
  1. Afisa Mteule Drj 2

    Hivi kumbe tembo ni msumbufu

    Anasimamisha magari Kana kwamba ni trafiki anataka kulikagua gari ataingiza limkonga lake dirishani na kuanza kupapasapapasa humo kwenye gari chochote cha kula atakachokutana nacho ni halali yake atakipora,ataacha usumbufu wake atakapopenda yeye anaweza simamisha gari zaidi ya dakika 10...
  2. U

    Nguvu za Mungu kwa Daudi kumshinda Goliati kwa jiwe la kombeo

    Kwenye vita za zamani kulikuwa kuna utaratibu kabla vita haijaanza inabidi kila upande ukae umbali wa takribani mita 400 (viwanja vinne vya mpira), hivyo kulikuwa na eneo kubwa la wazi kati yao, kila upande ulipeleka mpignaji wao mahiri katikati ya hilo eneo la wazi kupigana ANA KWA ANA mpaka...
  3. Jaji Mfawidhi

    UDART Jangwani ni mradi wa Mtu, kelele za chura hazizui Tembo kunywa maji!

    Eneo la Jangwani ilipo Karakana ya Mwendokasi imekuwa ikipigiwa kelele muda mrefu na wadau wa mazingira kuwa ujenzi wake haukuzingiatia tathmini iliyofanywa na NEMC wala haukuzingatia sheria za mazingira. Baadhi ya sheria zinazotajwa kukiukwa katika ujenzi wa karakana hiyo ni Sheria ya...
  4. JanguKamaJangu

    Nigeria yateketeza Pembe za Ndovu zilizokamatwa zenye thamani ya Tsh. Bilioni 28

    Serikali ya Nigeria imeharibu Tani 2.5 za Meno ya Tembo zenye thamani ya zaidi ya Dola Milioni 11.2 (Tsh. Bilioni 28) ikiwa ni sehemu ya harakati za kulinda idadi ya Tembo inayopungua dhidi ya Walanguzi wa Wanyamapori waliokithiri. Ndani ya kipindi cha miongo mitatu iliyopita, idadi ya Tembo...
  5. Stephano Mgendanyi

    Tembo Nickel yapewa siku 30 kulipa fidia kwa wananchi wanaoguswa na mradi

    Tarehe 14/11/2023 maelekezo hayo yametolewa kwenye Hafla ya Uzinduzi wa Kuanza zoezi la ulipaji fidia Waguswa wa mradi huo ambapo wananchi wa vijiji vitano vya Kata ya Bugarama na Muganza wataanza kulipwa fidia zao hivi karibuni. Hafla hiyo ilihudhuriwa na Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo...
  6. Suley2019

    Mbungu Pius Chaya ahoji mkakati wa serikali kupambana na Tembo

    Mbunge wa jimbo la Manyoni Mashariki Dk. Pius Chaya ameihoji serikali je, ni mkakati kuhakikisha inapambana na tembo ambao wamekuwa kikwanzo kwa wakulima wa korosho jimboni hapo? Amesema katika jimbo hilo kuna kilimo cha korosho block farm lakini tembo hao wamekuwa wakiwasumbua sana...
  7. Kurunzi

    Kamanda Muroto kutoka RPC mpaka Security Project Manager, Tembo Nickel

    Life linamambo mengi. Huyu Afande Muroto alikuwa RPC wa Dodoma at Magu time now karudi kuwa Project Security Manager- Tembo Nickel.💪🏼
  8. Hansinho20021

    Naomba kujuzwa bei ya mbegu ya mahindiya Tembo Seedco

    Mbegu hii ya seedco ya Mahindi inayo komaa kwa muda mrefu, Naomba kujua Bei yake kwa wakulima wanayo jua
  9. R

    Kuna kampeni ya kuua Tembo na wanyama pori inaanzishwa taratibu kwa kauli mbiu " Tembo/wanyama siyo bora kuliko binadamu"

    Ndugu zangu watanzania tuwe makini na wanasiasa hasa kipindi cha uchaguzi. Tuliona namna wanasiasa wa kanda ya ziwa walivyopambana kushangilia uvuvi haramu wakidai ziwa ni mali yao na wapo tayari libaiki kama swimming pool . Kauli hizi walizitoa wakitaka watu wavue bila kudhibitiwa na...
  10. Roving Journalist

    ACT Wazalendo: Serikali iwafute machozi wananchi dhidi ya kadhia ya Tembo nchini

    Chama cha ACT Wazalendo hakiliridhishwi na kasi ya Serikali katika kushughulikia matukio ya tembo kuvamia makazi, kuharibu mali (mazao) na kutishia usalama wa wananchi nchini. Tangu mwaka 2021 vilio vya wananchi wanaoishi pembezoni au maeneo yanayozunguka hifadhi au mbuga za wanyama kama vile...
  11. R

    Huyu Tembo anafikiria nini? Na kwanini anafanya hivi?

    Angalia! Kwa hiyo akikifukuza ukapandakwenye mti hujafanikiwa kuokoa maisha! https://twitter.com/i/status/1710915455978803430
  12. Roving Journalist

    Mbeya: Ashikiliwa kwa tuhuma za kupatikana na nyara za Meno ya Tembo yenye uzito wa kilogramu 7.5

    Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya kwa kipindi cha kuanzia Septemba mosi hadi 12, limefanya oparesheni na Misako yenye tija katika maeneo mbalimbali ya mkoa wa Mbeya na kupata mafanikio ikiwa ni pamoja na kukamata watuhumiwa 29 wakiwemo wa kupatikana na nyara za serikali (Meno ya Tembo), kufanya...
  13. Pfizer

    Pwani: Mtoto wa Tembo alivyonasa Kibindu, Halmashauri ya Chalinze

    Mnamo tarehe 11/09/2023 majira ya saa 2:22 asubuhi Ofisi ya Pori la Akiba Wamimbiki ilipokea taarifa toka kwa mwananchi aitwaye Manase Thomas Baha wa Kijiji cha Kwamsanja, Kata ya Kibindu, Halmashauri ya Chalinze. Taarifa ilisema kuna mtoto wa tembo amenasa kwenye shimo lenye tope na maji katika...
  14. D

    Meno ya Ndovu na Pembe za Tembo ipi sahihi?

    Mara nyingi nasikia Pembe za Ndovu na meno ya Tembo na sio vice versa je tofauti yake ni nini? Naombeni mnisaidie kwa hili.
  15. BARD AI

    Jangili ahukumiwa Jela miaka 20 na Faini ya Tsh. Bilioni 1 kwa kukutwa na Pembe za Tembo

    Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imemhukumu Jumanne Hamis kwenda jela miaka 20 na kulipa faini ya zaidi ya Sh1 bilioni, baada ya kutiwa hatiani kwa kosa la kukutwa na vipande nane vya meno ya tembo. Pia mahakama hiyo imemuachia huru mshtakiwa Joseph Jeremiah baada ya upande WA mashtaka kishindwa...
  16. R

    Ansbert Ngurumo: Swala na Tembo waanze kushituka na kukimbia

    Tembo alimuona swala akikimbia kwa mbio kubwa. Akamuuliza, swala mbona mbio hivyo? Swala akasema kijijini kwetu polisi wanakamata kila Mbuzi anayeonekana. Tembo akema wewe acha ujinga, kwani wewe ni mbuzi? Mbuzi akasema kwa mfumo wa sheria ninao uona kijijini, itanichukua miaka 20 kuwashawishi...
  17. Sildenafil Citrate

    Iringa: Akamatwa na meno 7 ya tembo katika nyumba ya kulala wageni

    Jeshi la Polisi Mkoani Iringa limemkamata Jacob Mhanga (54) Mkazi wa kijiji cha Utiga Mkoani Njombe akiwa na meno saba ya Tembo katika nyumba ya kulala wageni. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Iringa Allan Bukumbi amesema Mtuhumiwa huyo alikutwa katika nyumba ya kulala wageni katika kijiji cha...
  18. GENTAMYCINE

    Zijue Mbinu kadhaa za Kupambana na Tembo Waharibifu wa Mazao Mashambani

    1. Zungushia Shamba lako na Kamba ya Katani kisha ipakae Pilipili Kali 2. Panga Matofali moja moja Kuzungukia Shamba lako lote 3. Tafuta Spika Ndogo Nne kisha zipange kila Kona ya Shamba lako kisha weka nyimbo zenye midundo ya Ngoma tupu 4. Ukiweza mtafute Mtu mwenye Pikipiki mbovu yenye...
  19. B

    Vijana wanaookota mipira uwanjani waswahili husema usiige kunya kwa tembo. TFF chukueni hatua tunakoelekea ni kubaya zaidi

    Siku zote mtu kufanya jambo lisilo la kwako na kulifanya kuwa la kwako lazima utaangukia pua tu. Tangu mechi ya Jana kati ya Taifa Stars na Niger kuna kitendo kilifanywa na hawa Vijana wanaookota mipira uwanjani, walirusha mara kadhaa mipira uwanjani kwa mkupuo. Watanzania wengi walishangilia...
  20. M

    Babati: Gurtu Sirro ahukumiwa miaka 20 jela kwa kuuza meno ya tembo

    Hukumu hiyo ilitolewa na hakimu mkazi Mfawidhi wa mahakama hiyo, Victor Kimario. Kimario, akisoma hukumu hiyo ya uhujumu uchumi ya mwaka 2023, alisema mshtakiwa alitenda kosa hilo Januari 17 katika Kijiji cha Matufa, wilayani Babati. Alisema mshtakiwa alikutwa amebeba meno matatu ya tembo...
Back
Top Bottom