Tikki Tikki Tembo is a 1968 picture book written by Arlene Mosel and illustrated by Blair Lent. The book tells the story of a Chinese boy with a long name who fell into a well. It is a sort of origin myth about why Chinese names are so short today. The book is controversial because it appears to retell a Japanese story and because it does not portray Chinese culture accurately.
Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya limetangaza kuwakamata watuhumiwa 16 kati yao Wanaume ni 15 na Mwanamke ni mmoja.
NYARA ZA SERIKALI
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya, ACP Benjamin Kuzaga amesema kwa kushirikiana na askari wa TANAPA wanawashikilia watuhumiwa watatu [majina yanahifadhiwa kwa sababu...
Mkazi wa Kijiji cha Kiperesa wilayani Kiteto mkoani Manyara, Issa Shabni (32) amenusurika kifo na kulazwa hospitali ya Wilaya ya Kiteto baada ya kupigwa na tembo walioonekana wakirandaranda kijijini kwao.
Tembo hao wakionekana karibu na makazi yao wakila mahindi kisha watu kuwasogelea kutaka...
Wadau hamjamboni nyote?
Najua baadhi yenu mtaleta hoja kinzani lakini ukweli Tembo aina hiyo pichani walio wapole na wanaoishi na binadamu huwezi wapata Africa
Karibu tujadili
Mwanakijiji wa Kitongoji cha Ipota, Kijiji cha Ikuba, Wilaya ya Mlele, Mkoa wa Katavi, Shija Ntumbili anashikiliwa na Jeshi la Polisi kwa tuhuma za kukamatwa na meno ya Tembo mawili.
Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Katavi, Ally Hamad Makame amewaambia Wandishi wa Habari kuwa mtuhumiwa huyo...
Kwa vile CHADEMA wapo Mara, ingefaa kama wangekwenda kulizuru kaburi la Mwalimu. Kwa sababu inafaa kama watu wanafanya shughuli za kisiasa Mara wapite kumsabahi Mwalimu. Inafaa watu wanaotaka kuongea na Watanzania,waende kwanza kumsabahi Mwalimu. Inafaa watu wanaotaka kuongea na Foreigners...
Jeshi la Polisi Mkoa wa Iringa kwa kushirikiana na Askari wa Uhifadhi kutoka hifadhi ya Taifa Ruaha wanamshikilia Cyprian Kasula miaka 42, mkulima na mkazi wa kijiji cha Kipera kwa tuhuma za kukutwa na kichwa cha Tembo kikiwa na meno yote mawili katika Hifadhi ya Taifa ya Ruaha.
Akizungumza na...
Siku za karibuni katika mtandao wa Whatsapp na Twitter imekuwa ikisambaa picha iliyounganishwa ikionesha hukumu za matukio mawili yanayohusisha watuhumiwa waliokamatwa na nyara za serikali (Meno ya tembo).
Ya kwanza ni taarifa ya Disemba 16 2019 inayomhusu Bi Haika Mgao na inasomeka:
"Mahakama...
Nimeona hii habari mtandaoni imenishangaza kama sio kosa la kiuandishi.Raia wa China amekutwa na kosa la kuua jumla ya tembo 511 wenye dhamani ya bilioni 7 amehukumiwa jela miezi mitano au kulipa faini ya laki tatu.
Kwa upande mwingine Mtanzania aliyekutwa na meno yenye dhamani ya milioni...
Mbali na Tembo pia kuna Wanyamapori wengine wamekufa kati ya Februari hadi Oktoba 2022, ikiwa ni rekodi mbaya ndani ya miaka 40 iliyopita katika tasnia ya Utalii Nchini humo.
Licha ya kuwa mvua zimeanza lakini Idara ya Hali ya Hewa ya Kenya imetabiri kuwa mvua zitakuwa ni chini ya wastani kwa...
Tembo 170 watapigwa mnada nchini Namibia kwa kile kilichobainishwa kuwa ni adha ya kuongezeka kwa ukame huku kukishuhudiwa ongezeko kubwa la tembo nchini humo.
Hii sio mara ya kwanza Namibia inauza wanyama kwa mnada, ambapo msimu wa kiangazi inaelezwa kuwa kunatokea mgogoro kati ya wanyama na...
Mamlaka ya ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania(TAWA) wafafanua kuhusu ongezeko la Tembo baada ya kunukuliwa vibaya. Ongezeko la Tembo halihatarishi maisha ya Watu na Mali. Uwindaji hufanywa kwa mjibu wa Sheria na Sera ya Wanyamapori ya 2007.
Zaidi, soma...
Jana nimefungua facebook nikaona mkurugenzi mmoja wa wanyama pori ametoa wazo kuwa serikali itoe kibali tembo wanaoharibu mazao kwa sasa wauwawe.
Mimi kama mzalendo sikubaliani na wazo hili kwa sababu tutakuwa tunatatua tatizo moja tunaunda lingine.Tutajenga mawazo mabaya kwa majangili kuwa...
Imeelezwa kuwa ongezeko la Wanyamapori Nchini limekuwa chachu ya kuwa na ongezeko la ushawishi wa ujangiri, uvamizi wa maeneo ya Wananchi ambapo humesababisha uhasama kati ya mamlaka za Serikali na Wananchi.
Kaimu Kamishna wa Uhifadhi wa Mamlaka ya Usimamizi wa Wananyamapori Tanzania (TAWA)...
Kaimu Kamishna wa Uhifadhi wa Mamlaka ya Usimamizi wa Wananyamapori Tanzania (TAWA), Mabula Misungwi Nyanda amesema matukio ya vifo vya Tembo yamepungua kwa asilimia kubwa Nchini.
Mabula Misungwi Nyanda
Nyanda amesema kuimarika kwa ulinzi kulikochangiwa na kuongezeka kwa vitendea kazi...
Yapata majira ya jioni siku ambayo bibi yangu alirejea toka kazini akiwa na malalamiko sana na akiwa mwenye kuwaza mambo mengi yanayosumbua akilini mwake pasipo kupata ufumbuzi. Ndipo niliamua kumuita bibi yangu nakuanza kumuuliza kitu gani hasa kinamsibu 'Bibi shikamo, pole na mihangaiko ya...
Waziri Mkuu Achangisha Bilioni 1.2 Serengeti Girls, Tembo Warriors, Asifu Ubunifu wa Wizara ya Michezo
Na John Mapepele.
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Kassim Majaliwa Majaliwa leo Agosti 24, 2022 amechangisha zaidi ya bilioni 1.2 kwa ajili ya kuchangia timu za Serengeti...
Wakuu!!!
Akyanani...ata salamu haiji, naenda straight kwenye format ya leo. Kama unataka anzisha familia ya wife zaidi ya mmoja....wanaume naomba jamani kama wewe ni ule ukipewa kachumbari na mwanamke utie muhogo afu unapoteza fahamu za kiume....yani unasimp....unakuwa tena huna maamuzi na kila...
CAMP AND FACILITIES ADMINISTRATOR-NGARA
Position Summary:
Tembo Nickel is seeking to recruit a Camp and Facilities Administrator to join the Tembo Nickel Project Team.
This is a Fixed Term contract of 1 Year and the successful candidate will report to the Camp and Facilities Lead.
Duty...
ENVIRONMENTAL LEAD (2)-NGARA & KAHAMA
Position Summary:
Tembo Nickel is seeking to recruit an Environmental Lead to join the Tembo Nickel Project Team. This is a senior role reporting to the Country Manager and the successful candidate is expected to lead Management of the Environmental...
MAINTENANCE SUPERVISOR-NGARA
Position Summary:
Tembo Nickel is seeking to recruit a Maintenance Supervisor to join the Tembo Nickel Project Team. We are looking to employ a maintenance supervisor with an outstanding knowledge of building trades, cleaning procedures and maintenance. A maintenance...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.