Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,144
Lowassa kuwataka wanachama wa CHADEMA wanaopenda utamaduni wa zamani wa chama kuondoka na kumuachia chama chake.
Something is cooking sio bure makada hwa kuja na mazito hivo tena repeatedly more than twiceHizi nyuzi zinazomhusu Makonda kuondolewa jiji ni bahati mbaya au mpango maalum.?
Wana sheria nifahamisheni, nini maana ya uchochezi kisheria?Uchochezi kwa maana ya lugha, basi sioni tofauti ya utabiri wa hapo juu na ule utabiri iuliochapishwa gazetini na kupelekea Gazeti kufungiwa na wahusika akina Tundu Lissu na Jabir Idrissa kufunguliwa kesi ya uchochezi.Wana bodi kama ilivyo kawaida yangu kufanya udakuzi wa hali ya juu na kutabiri yajayo kuna mambo matatu yatatokea within next 3-12 month ndani ya selikali ya Rais Magufuli!!
1: Kuondolewa kwa mtu maarufu hapa town na kuhamishiwa kwingine!!!
2: Rais kupewa uenyekiti wa CCM na kuwaambia waziwazi wanafiki wajiondoe ndani ya CCM!!
3: Kuanza kujitokeza kwa wabunge wengine wa upinzani wanaomsapoti Rais waziwazi kama alivyofanya Joshua Nasari na Peter Musigwa!!
Rais yupo makini sana kwenye swala la utendaji kama aliweza kumtumbua waziwazi bwana Kitwanga ije iwe kwa hawa vidagaa?
Time will tell!!!
Na wewe kurudi rasmi kwa mumeo uliye mtoroka4. Mbowe kurudisha hela alizoripotiwa akitorosha nje ya nchi siku chache baada ya kuuza chama.
Na lizaboni kufukuzwa rasmi kutoka lumumbaHahahahahaaaaa. ASP
Twende mahakamani!!!Wana sheria nifahamisheni, nini maana ya uchochezi kisheria?Uchochezi kwa maana ya lugha, basi sioni tofauti ya utabiri wa hapo juu na ule utabiri iuliochapishwa gazetini na kupelekea Gazeti kufungiwa na wahusika akina Tundu Lissu na Jabir Idrissa kufunguliwa kesi ya uchochezi.
Kuendelea kuzoea kunywa uji wa chumvitabiri na hatima ya taifa letu itakuwaje..?
Ndoto nini?Loki ndoto nini??
Watanzania kuhoji uhalali na bei halisi ya kivuko cha mv dsmLowassa kuwataka wanachama wa CHADEMA wanaopenda utamaduni wa zamani wa chama kuondoka na kumuachia chama chake.
Nina mashaka sana na elimu yako ullipatia wapiHakuna cha mapinduzi wala nini subir atawazibiti tu!!!
Upo sawasawa4. Mbowe kurudisha hela alizoripotiwa akitorosha nje ya nchi siku chache baada ya kuuza chama.
Wanzuki bado ipo tena sasa imeboreshwaNilijua 'WANZUKI' zilipigwa marufuku kumbe bado
Sasa mnaukumu utabiri wangu subilini utokee au usitokee ndo mje kuniukumu!!Ha Ha Ha Ha Ha Ha Ha Ha Ha . Waswahili bhana !!!!!!!!
Chini ya mti !!!Nina mashaka sana na elimu yako ullipatia wapi
Chini ya mti !!!Nina mashaka sana na elimu yako ullipatia wapi
Kama unafikiri Paul Makonda ataondolewa Dar unajidanganya!Wana bodi kama ilivyo kawaida yangu kufanya udakuzi wa hali ya juu na kutabiri yajayo kuna mambo matatu yatatokea within next 3-12 month ndani ya selikali ya Rais Magufuli!!
1: Kuondolewa kwa mtu maarufu hapa town na kuhamishiwa kwingine!!!
2: Rais kupewa uenyekiti wa CCM na kuwaambia waziwazi wanafiki wajiondoe ndani ya CCM!!
3: Kuanza kujitokeza kwa wabunge wengine wa upinzani wanaomsapoti Rais waziwazi kama alivyofanya Joshua Nasari na Peter Musigwa!!
Rais yupo makini sana kwenye swala la utendaji kama aliweza kumtumbua waziwazi bwana Kitwanga ije iwe kwa hawa vidagaa?
Time will tell!!!