technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 11,975
- 48,843
- Thread starter
- #81
Haaah mi siko limbo mkuuWe utakuwa na steam kichwani, sema miezi michache tukuelewe ila sio mda mchache
Haaah mi siko limbo mkuuWe utakuwa na steam kichwani, sema miezi michache tukuelewe ila sio mda mchache
Time will tellSio rahisi, mnachokiona kiko tofauti mh.ndicho anachotaka, msishangae kaambiwa alishughulikie hilo.
unataka kujifanya Marehemu Sheikh Yahya na utabiri wa kubahatisha! Mbona hukutabiri kwa KITWANGA KUINGIA BUNGENI AMELEWA HATIMAYE KUTIMULIWA?Miezi 3 ndo muda mfupi ujao?
Huenda ni mpango maalumu.!Hizi nyuzi zinazomhusu Makonda kuondolewa jiji ni bahati mbaya au mpango maalum.?
Bure kabisaEti JPM atapewa wenyekiti wa CCM na kuwaambia wanafiki waondoke- huo ndio utabiri? Useless
Hahahahahaaaaa. ASP