Kuna jambo litatokea ndani ya muda mfupi ujao!!!

Kuna jambo litatokea ndani ya muda mfupi ujao!!!

Niliposoma tittle Muda Mfupi ujao nikadhani ni ndani ya SAA 12zijazo....kumbe miezi..!!!!!zaidi ya yote hakuna utabiri wowote hapa..
 
Wana bodi kama ilivyo kawaida yangu kufanya udakuzi wa hali ya juu na kutabiri yajayo kuna mambo matatu yatatokea within next 3-12 month ndani ya selikali ya Rais Magufuli!!

1: Kuondolewa kwa mtu maarufu hapa town na kuhamishiwa kwingine!!!

2: Rais kupewa uenyekiti wa CCM na kuwaambia waziwazi wanafiki wajiondoe ndani ya CCM!!

3: Kuanza kujitokeza kwa wabunge wengine wa upinzani wanaomsapoti Rais waziwazi kama alivyofanya Joshua Nasari na Peter Musigwa!!

Rais yupo makini sana kwenye swala la utendaji kama aliweza kumtumbua waziwazi bwana Kitwanga ije iwe kwa hawa vidagaa?

Time will tell!!!
Utabiri wa kitoto kutoka kwa mtu mwenye hangover ya mataputapu. [emoji12] [emoji12]
 
Unapo amka uwe unafanya mazoezi kuweka akili yako sawa, vingnevyo hautaacha kupost utumbo kama huu uliyopost
 
Wana bodi kama ilivyo kawaida yangu kufanya udakuzi wa hali ya juu na kutabiri yajayo kuna mambo matatu yatatokea within next 3-12 month ndani ya selikali ya Rais Magufuli!!

1: Kuondolewa kwa mtu maarufu hapa town na kuhamishiwa kwingine!!!

2: Rais kupewa uenyekiti wa CCM na kuwaambia waziwazi wanafiki wajiondoe ndani ya CCM!!

3: Kuanza kujitokeza kwa wabunge wengine wa upinzani wanaomsapoti Rais waziwazi kama alivyofanya Joshua Nasari na Peter Musigwa!!

Rais yupo makini sana kwenye swala la utendaji kama aliweza kumtumbua waziwazi bwana Kitwanga ije iwe kwa hawa vidagaa?

Time will tell!!!
Item No 1 & No 2 ziko wazi kabisa.
Huyo Dully Sykes wa Dar atachomolewa kwa fedheha sana
 
Walembwa mwitu NA panyaroad wa Sinza waliokula helazetu miakayote kurudisha pesa zetu
 
Wana bodi kama ilivyo kawaida yangu kufanya udakuzi wa hali ya juu na kutabiri yajayo kuna mambo matatu yatatokea within next 3-12 month ndani ya selikali ya Rais Magufuli!!

1: Kuondolewa kwa mtu maarufu hapa town na kuhamishiwa kwingine!!!

2: Rais kupewa uenyekiti wa CCM na kuwaambia waziwazi wanafiki wajiondoe ndani ya CCM!!

3: Kuanza kujitokeza kwa wabunge wengine wa upinzani wanaomsapoti Rais waziwazi kama alivyofanya Joshua Nasari na Peter Musigwa!!

Rais yupo makini sana kwenye swala la utendaji kama aliweza kumtumbua waziwazi bwana Kitwanga ije iwe kwa hawa vidagaa?

Time will tell!!!
Nilijua 'WANZUKI' zilipigwa marufuku kumbe bado
 
Back
Top Bottom