Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 37,626
- 46,272
Watu kuwekwa mahabusu muda mrefu bila kuhukumiwa ili waingie kwenye ple bargain na watoe pesa.
Taja makosa yake ili tujue tunaanzia wapi. Achana na tuhuma maana zinaweza kuwa kweli au si za kweli.
Elezea MAKOSA YA DHAHIRI (ya kweli) aliyoyafanya