Mbowe; Ninakuomba Mh Rais chama chako kisituletee Rais mwingine aina ya mtangulizi wako aliyeumiza upinzani.
Kauli hii ni dhahiri kuwa Magu alisababisha tuvione vyama vya upinzani ni vyama vya usaliti Kwa wananchi.
CDM wawaombe radhi Watanzania Kwa kuwauza Kwa CCM kupitia lugha ya maridhiano.
Kauli hii ni dhahiri kuwa Magu alisababisha tuvione vyama vya upinzani ni vyama vya usaliti Kwa wananchi.
CDM wawaombe radhi Watanzania Kwa kuwauza Kwa CCM kupitia lugha ya maridhiano.