princess ariana
JF-Expert Member
- Aug 19, 2016
- 7,553
- 14,381
Wananchi gani?? Sema wana Jf
Ila kumtetea kunakupa unafuu wa maisha yako?boya kumbe!Unaonekana una dhiki mpaka kwenye kope za macho.Pambana na maisha ujikomboe,kumtolea povu marehemu hakukupi unafuu wa maisha yako
MamakoUpo dhofuri khali hata kiafya,huo mori unampandishia njiwa au sisimizi?
Tangulia mirembeWaliopo madarakani kwa Sasa inapaswa watuombe Radhi.
Sawa mkurugenzi wa mirembe.Tangulia mirembe
Taja makosa yake ili tujue tunaanzia wapi. Achana na tuhuma maana zinaweza kuwa kweli au si za kweli.
Elezea MAKOSA YA DHAHIRI (ya kweli) aliyoyafanya
Vyeti feki utakuwa alikukomeshamagufuli alikuwa mpumbavu sana ikitokea akafufuka nitammaliza mimi nilivyo na hasira nae mjinga huyo.
Angeamua kumuua to hata sekunde isingeisha acheni kumdhalilisha Rais wetu WA awamu ya 5..kumshambulia kwa nia ya kumuua Tundu Lissu.
Angeamua kumuua to hata sekunde isingeisha acheni kumdhalilisha Rais wetu WA awamu ya 5
SI KWELI..alimpiga risasi zaidi ya 16.
..MUNGU ndiye aliyemuepusha Lissu na kifo.
..Magufuli alijidhalilisha mwenyewe kwa tabia zake za kifedhuli.
SI KWELI
Ina maana hao wengine wanaouwawa na serikali hawana Mungu?
Narudia tena serikali ingeamua kumuua angekufa hizo risasi 16 zisingepigwa miguuni kama maigizo Yale yalivyofanywa.
Endeleeni kuamini uongo..wacha mizaha.
..kuna watu wamenusurika shambulizi la bomu la nyuklia.
..kama mtu siku yake haijafika hakuna wa kulazimisha.
..Magufuli alituma magaidi wamuue Lissu lakini Sept 7 2017 haikuwa siku aliyopangiwa kufa.
Endeleeni kuamini uongo
ushetani msioweza kuudhibitisha😕..endeleeni kutetea ushetani.
ushetani msioweza kuudhibitisha😕