Kumuelimsha mtoto wa kike ni kumuwekea msingi wa kuwa mkombozi katika familia yake

Equation x

JF-Expert Member
Sep 3, 2017
29,483
40,497
Tunajua kumuelimsha mtoto wa kike kwa elimu bora pamoja na malezi mazuri, atakuja kuwa mkombozi bora katika familia yake.

Bila kumpatia msingi mzuri wa elimu, pamoja na kumjengea hofu ya Mungu; ndio wanakuja kuwa, hawa wanao tanguliza pesa mbele kabla ya mahusiano.

Baba ukiwa mtu wa totoz bhana, unakuwa unaogopa ogopa, watoto wako wasikutane na mabaharia.

Sasa kuna kabinti kangu kamoja, kamechukua sura ya baba, anaingia kidato cha kwanza mwakani; ningependa aende shule za watoto wa kike tu.

Katika kuangalia angalia mtandaoni, nimeona kibosho Kilimanjaro ni kuzuri.

Kwa wale wanaoifahamu hiyo shule, kimalezi pamoja na ada zao naomba ufafanuzi.

Karibuni kwa abc.​
 
Tunajua kumuelimsha mtoto wa kike kwa elimu bora pamoja na malezi mazuri, atakuja kuwa mkombozi bora katika familia yake.

Bila kumpatia msingi mzuri wa elimu, pamoja na kumjengea hofu ya Mungu; ndio wanakuja kuwa, hawa wanao tanguliza pesa mbele kabla ya mahusiano.

Baba ukiwa mtu wa totoz bhana, unakuwa unaogopa ogopa, watoto wako wasikutane na mabaharia.

Sasa kuna kabinti kangu kamoja, kamechukua sura ya baba, anaingia kidato cha kwanza mwakani; ningependa aende shule za watoto wa kike tu.

Katika kuangalia angalia mtandaoni, nimeona kibosho Kilimanjaro ni kuzuri.

Kwa wale wanaoifahamu hiyo shule, kimalezi pamoja na ada zao naomba ufafanuzi.

Karibuni kwa abc.​
Mbona mkuu unaenda kasi........unachezea kulea mtoto wakike unafikiri ni mchezo.
 
Hapo umeongelea kwa familia yake aliyotoka ila haijatumbia kwenye jamii sasa inafaidika nini.

So far tumeongeza idadi ya single mother.
Familia yake ikiwa bora, na jamii pia itakuwa bora pia; kama atakuwa daktari atawatibu jamii yake.

Mabazazi kama nyie mnaomvizia ili awe singo maza; hamtopewa nafasi, utakutana na kibao kimeandikwa kuna mbwa mkali hapa :D
 
Familia yake ikiwa bora, na jamii pia itakuwa bora pia; kama atakuwa daktari atawatibu jamii yake.

Mabazazi kama nyie mnaomvizia ili awe singo maza; hamtopewa nafasi, utakutana na kibao kimeandikwa kuna mbwa mkali hapa :D
Ground mambo hayapo hivyo mbona. Nyumba za wanawake wasomi zinaongoza kwa mifarakano ya Ndoa jambo linaloathiri malezi ya watoto.

Lishe ya watoto ni mbovu wanalishwa sana vyakula vya kizungu wengi wao watoto hawana afya nzuri ukilinganisha na watoto wa kawaida.

Wengi wa hawa wanawake ni absentees kwenye malezi maana wanatumia muda mwingi sana kupambana na utafitaji na sio malezi ya watoto hivyo inachangia sana kuharibu maadili ya familia na watoto wanakuwa na tabia za kukopa kwenye mitandaoni au watu baki.

Hawa wanawake wengi huwa wanakuwa ni victims wa domestic abuse, psychological and mental issues na mwisho kabisa wanakuwa na changamoto za kiafya sababu ya diet mbovu za kula mavyakula huko mijini.

Bado haujanipa faida kwa ujumla kwamba mwanamke akielimishwa then taifa linapata 80% ya faida.

Kwasasa sijaona bado. Hapo umeongea kama mzazi anaeogopa kuachia binti yake mikononi mwa mwanaume mwingine so anataka aende akiwa financially independent asitegemee mwanaume kwa lolote.

So kama hatamtegemea mwanaume wake je, anakwenda kuishi na nani huko nje?
 
Ground mambo hayapo hivyo mbona. Nyumba za wanawake wasomi zinaongoza kwa mifarakano ya Ndoa jambo linaloathiri malezi ya watoto.

Lishe ya watoto ni mbovu wanalishwa sana vyakula vya kizungu wengi wao watoto hawana afya nzuri ukilinganisha na watoto wa kawaida.

Wengi wa hawa wanawake ni absentees kwenye malezi maana wanatumia muda mwingi sana kupambana na utafitaji na sio malezi ya watoto hivyo inachangia sana kuharibu maadili ya familia na watoto wanakuwa na tabia za kukopa kwenye mitandaoni au watu baki.

Hawa wanawake wengi huwa wanakuwa ni victims wa domestic abuse, psychological and mental issues na mwisho kabisa wanakuwa na changamoto za kiafya sababu ya diet mbovu za kula mavyakula huko mijini.

Bado haujanipa faida kwa ujumla kwamba mwanamke akielimishwa then taifa linapata 80% ya faida.

Kwasasa sijaona bado. Hapo umeongea kama mzazi anaeogopa kuachia binti yake mikononi mwa mwanaume mwingine so anataka aende akiwa financially independent asitegemee mwanaume kwa lolote.

So kama hatamtegemea mwanaume wake je, anakwenda kuishi na nani huko nje?
Kila kitu ni malezi, ingawa jamii inaathiriwa na utandawazi; kama tungeliweza kuishi kama watu wa Asia, kukaa kwenye boma moja, iwe umeolewa au umeoa itasaidia sana huko uzeeni pamoja na kusimamia maadili.

Mkwe aonekane ni sehemu ya familia, na wote muishi katika misingi ya kujaliana, na kuondoa misongo ya mawazo inayojitokeza katika harakati za kuishi hapa duniani.​
 
Back
Top Bottom