Kumsimamisha kazi mtumishi wa umma huku akiendelea kulipwa mshahara ni matumizi mabaya sana ya akili kwa Ma HR wengi nchini.

bongo dili

JF-Expert Member
Feb 13, 2015
12,371
24,589
Pana matakataka mengi yanafanyika Serikali hasa kwa watumishi wa umma inatakiwa mamlaka ilitazame hili.
Huu utaratibu wa kumsimamisha kazi mtumishi wa umma huku akiendelea kulipwa mshahara mwisho wa mwezi je ulizingatia afya ya akili ya aliyebuni utaratibu huu?.

Unakuta mtumishi kapata kesi ya upotevu wa hela hata nusu na robo ya mshahara wake haifiki zipo kesi upotevu wa dollar 50, wengine elf 20 mtu anasimamishwa kazi eti kupisha uchunguzi,kwann msifanye uchunguzi huku akiendelea na kazi ili autumikie mshahara wa bure anaopewa Kila mwezi,Pana watu wanasimamishwa kazi hata miaka minane kwa tuhuma tu za kipumbavu sijui akuomba ruhusa, sijui upotevu wa sh laki moja,sijui tuhuma ya kupokea rushwa ya sh elf tano, Pana mtu alikaa ndani kisa upotevu wa elf 10 akapewa kesi ya uhujumu uchumi,vikesi vingi vya ajabu ajabu tu,kesi zingine ni chuki tu za mabosi ofisin labda wanagombea mrembo nk.

Ambapo angewndelea na kazi au alipe hio amount kiduchu anayotuhumiwa nayo.

Mtu ana mshahara wa milion 2 unampa kesi ya upotevu wa dollar 50 unamsimamisha kazi miaka sita au nane hii ni akili au ni matope.

Matokeo yake Sasa watu wakisimamishwa kazi Wala hawasumbuki wanaenda private company wanaajirwa kisiri Yao so wanavuta mshahara wa Serikali na wa private company wanafanya maendeleo, wengine wanakaa kimya kabisa huku wakizidi kuomba mafaili Yaendelee kukaa kimya wanakua bize kusimamia biashara zao.
Wengine utumia mda huo kwenda shule.

Wakati huo huo wanalalamika upungufu wa staff wakati wanasimamisha watu pasipo sababu za msingi ukipima kosa na hasara ya kumsimamisha mtu kazi ale mshahara asioutumikia haviendani kabisa.

Wanakusimamisha kazi ili wakukomoe uchakae kabisa wakiona upo bize na project zako au umeajiriwa kwingine huku ukipokea bure mshahara wao na una maendeleo wanaanza kuona wivu Tena.
Wivu wa nini Sasa wakat nyie ndio mmempa mda wa kupumzika.

Halafu vikesi vyenyewe vya kijinga baada ya uchunguzi miaka hio sita au nane wanakurudisha kazini uendelee na kazi kwa sababu wamekosa ushahidi na unapewa haki zako zote ulizokaa nje ya kazi.
Inatakiwa HR yeyeto akimsimamisha mtu kazi awajibishwe kwa kufacilitate Serikali kuibiwa na akatwe mafao yake kufidia hasara hio ya serikali kumlipa mshahara mtu asiyekuwa kazini.

Mamlaka ilione hili watumishi wengi wanasomeka kwenye malipo hazina lakini usikute wengi hawapo makazini wanakula mshahara bure kwa upumbavu wa Watu wa utumishi kwa sheria zao za kusimamisha watumishi kazi bila kupima uzito
 
Wakati Pana majizi yanazamisha mabilioni na yanaendelea na Kazi.
Wewe kula hata dollar 50 hakuna rangi utoacha kuiona
 
Umeongea kwa uchungu sana, enewei naishukuru tanesco toka asubuhi hawajatukatia umeme Kigamboni
 
Pana matakataka mengi yanafanyika Serikali hasa kwa watumishi wa umma inatakiwa mamlaka ilitazame hili.
Huu utaratibu wa kumsimamisha kazi mtumishi wa umma huku akiendelea kulipwa mshahara mwisho wa mwezi je ulizingatia afya ya akili ya aliyebuni utaratibu huu?.
Unakuta mtumishi kapata kesi ya upotevu wa hela hata nusu na robo ya mshahara wake haifiki zipo kesi upotevu wa dollar 50, wengine elf 20 mtu anasimamishwa kazi eti kupisha uchunguzi,kwann msifanye uchunguzi huku akiendelea na kazi ili autumikie mshahara wa bure anaopewa Kila mwezi,Pana watu wanasimamishwa kazi hata miaka minane kwa tuhuma tu za kipumbavu sijui akuomba ruhusa, sijui upotevu wa sh laki moja,sijui tuhuma ya kupokea rushwa ya sh elf tano, Pana mtu alikaa ndani kisa upotevu wa elf 10 akapewa kesi ya uhujumu uchumi,vikesi vingi vya ajabu ajabu tu,kesi zingine ni chuki tu za mabosi ofisin labda wanagombea mrembo nk.
Ambapo angewndelea na kazi au alipe hio amount kiduchu anayotuhumiwa nayo.
Mtu ana mshahara wa milion 2 unampa kesi ya upotevu wa dollar 50 unamsimamisha kazi miaka sita au nane hii ni akili au ni matope.
Matokeo yake Sasa watu wakisimamishwa kazi Wala hawasumbuki wanaenda private company wanaajirwa kisiri Yao so wanavuta mshahara wa Serikali na wa private company wanafanya maendeleo, wengine wanakaa kimya kabisa huku wakizidi kuomba mafaili Yaendelee kukaa kimya wanakua bize kusimamia biashara zao.
Wengine utumia mda huo kwenda shule.
Wakati huo huo wanalalamika upungufu wa staff wakati wanasimamisha watu pasipo sababu za msingi ukipima kosa na hasara ya kumsimamisha mtu kazi ale mshahara asioutumikia haviendani kabisa.
Wanakusimamisha kazi ili wakukomoe uchakae kabisa wakiona upo bize na project zako au umeajiriwa kwingine huku ukipokea bure mshahara wao na una maendeleo wanaanza kuona wivu Tena.
Wivu wa nini Sasa wakat nyie ndio mmempa mda wa kupumzika.
Halafu vikesi vyenyewe vya kijinga baada ya uchunguzi miaka hio sita au nane wanakurudisha kazini uendelee na kazi kwa sababu wamekosa ushahidi na unapewa haki zako zote ulizokaa nje ya kazi.
Inatakiwa HR yeyeto akimsimamisha mtu kazi awajibishwe kwa kufacilitate Serikali kuibiwa na akatwe mafao yake kufidia hasara hio ya serikali kumlipa mshahara mtu asiyekuwa kazini.
Mamlaka ilione hili watumishi wengi wanasomeka kwenye malipo hazina lakini usikute wengi hawapo makazini wanakula mshahara bure kwa upumbavu wa Watu wa utumishi kwa sheria zao za kusimamisha watumishi kazi bila kupima uzito
Roho mbaya na choyo haijengi
 
Pana matakataka mengi yanafanyika Serikali hasa kwa watumishi wa umma inatakiwa mamlaka ilitazame hili.
Huu utaratibu wa kumsimamisha kazi mtumishi wa umma huku akiendelea kulipwa mshahara mwisho wa mwezi je ulizingatia afya ya akili ya aliyebuni utaratibu huu?.
Unakuta mtumishi kapata kesi ya upotevu wa hela hata nusu na robo ya mshahara wake haifiki zipo kesi upotevu wa dollar 50, wengine elf 20 mtu anasimamishwa kazi eti kupisha uchunguzi,kwann msifanye uchunguzi huku akiendelea na kazi ili autumikie mshahara wa bure anaopewa Kila mwezi,Pana watu wanasimamishwa kazi hata miaka minane kwa tuhuma tu za kipumbavu sijui akuomba ruhusa, sijui upotevu wa sh laki moja,sijui tuhuma ya kupokea rushwa ya sh elf tano, Pana mtu alikaa ndani kisa upotevu wa elf 10 akapewa kesi ya uhujumu uchumi,vikesi vingi vya ajabu ajabu tu,kesi zingine ni chuki tu za mabosi ofisin labda wanagombea mrembo nk.
Ambapo angewndelea na kazi au alipe hio amount kiduchu anayotuhumiwa nayo.
Mtu ana mshahara wa milion 2 unampa kesi ya upotevu wa dollar 50 unamsimamisha kazi miaka sita au nane hii ni akili au ni matope.
Matokeo yake Sasa watu wakisimamishwa kazi Wala hawasumbuki wanaenda private company wanaajirwa kisiri Yao so wanavuta mshahara wa Serikali na wa private company wanafanya maendeleo, wengine wanakaa kimya kabisa huku wakizidi kuomba mafaili Yaendelee kukaa kimya wanakua bize kusimamia biashara zao.
Wengine utumia mda huo kwenda shule.
Wakati huo huo wanalalamika upungufu wa staff wakati wanasimamisha watu pasipo sababu za msingi ukipima kosa na hasara ya kumsimamisha mtu kazi ale mshahara asioutumikia haviendani kabisa.
Wanakusimamisha kazi ili wakukomoe uchakae kabisa wakiona upo bize na project zako au umeajiriwa kwingine huku ukipokea bure mshahara wao na una maendeleo wanaanza kuona wivu Tena.
Wivu wa nini Sasa wakat nyie ndio mmempa mda wa kupumzika.
Halafu vikesi vyenyewe vya kijinga baada ya uchunguzi miaka hio sita au nane wanakurudisha kazini uendelee na kazi kwa sababu wamekosa ushahidi na unapewa haki zako zote ulizokaa nje ya kazi.
Inatakiwa HR yeyeto akimsimamisha mtu kazi awajibishwe kwa kufacilitate Serikali kuibiwa na akatwe mafao yake kufidia hasara hio ya serikali kumlipa mshahara mtu asiyekuwa kazini.
Mamlaka ilione hili watumishi wengi wanasomeka kwenye malipo hazina lakini usikute wengi hawapo makazini wanakula mshahara bure kwa upumbavu wa Watu wa utumishi kwa sheria zao za kusimamisha watumishi kazi bila kupima uzito
Kiongozi sheria za utumishi wa umma na utawala bora zinamlinda sana mtumishi. Mwendazake alikua halembi anatumbua jumla anasema tutakutana mahakamani.
 
  • Thanks
Reactions: BRN
Pana matakataka mengi yanafanyika Serikali hasa kwa watumishi wa umma inatakiwa mamlaka ilitazame hili.
Huu utaratibu wa kumsimamisha kazi mtumishi wa umma huku akiendelea kulipwa mshahara mwisho wa mwezi je ulizingatia afya ya akili ya aliyebuni utaratibu huu?.
Unakuta mtumishi kapata kesi ya upotevu wa hela hata nusu na robo ya mshahara wake haifiki zipo kesi upotevu wa dollar 50, wengine elf 20 mtu anasimamishwa kazi eti kupisha uchunguzi,kwann msifanye uchunguzi huku akiendelea na kazi ili autumikie mshahara wa bure anaopewa Kila mwezi,Pana watu wanasimamishwa kazi hata miaka minane kwa tuhuma tu za kipumbavu sijui akuomba ruhusa, sijui upotevu wa sh laki moja,sijui tuhuma ya kupokea rushwa ya sh elf tano, Pana mtu alikaa ndani kisa upotevu wa elf 10 akapewa kesi ya uhujumu uchumi,vikesi vingi vya ajabu ajabu tu,kesi zingine ni chuki tu za mabosi ofisin labda wanagombea mrembo nk.
Ambapo angewndelea na kazi au alipe hio amount kiduchu anayotuhumiwa nayo.
Mtu ana mshahara wa milion 2 unampa kesi ya upotevu wa dollar 50 unamsimamisha kazi miaka sita au nane hii ni akili au ni matope.
Matokeo yake Sasa watu wakisimamishwa kazi Wala hawasumbuki wanaenda private company wanaajirwa kisiri Yao so wanavuta mshahara wa Serikali na wa private company wanafanya maendeleo, wengine wanakaa kimya kabisa huku wakizidi kuomba mafaili Yaendelee kukaa kimya wanakua bize kusimamia biashara zao.
Wengine utumia mda huo kwenda shule.
Wakati huo huo wanalalamika upungufu wa staff wakati wanasimamisha watu pasipo sababu za msingi ukipima kosa na hasara ya kumsimamisha mtu kazi ale mshahara asioutumikia haviendani kabisa.
Wanakusimamisha kazi ili wakukomoe uchakae kabisa wakiona upo bize na project zako au umeajiriwa kwingine huku ukipokea bure mshahara wao na una maendeleo wanaanza kuona wivu Tena.
Wivu wa nini Sasa wakat nyie ndio mmempa mda wa kupumzika.
Halafu vikesi vyenyewe vya kijinga baada ya uchunguzi miaka hio sita au nane wanakurudisha kazini uendelee na kazi kwa sababu wamekosa ushahidi na unapewa haki zako zote ulizokaa nje ya kazi.
Inatakiwa HR yeyeto akimsimamisha mtu kazi awajibishwe kwa kufacilitate Serikali kuibiwa na akatwe mafao yake kufidia hasara hio ya serikali kumlipa mshahara mtu asiyekuwa kazini.
Mamlaka ilione hili watumishi wengi wanasomeka kwenye malipo hazina lakini usikute wengi hawapo makazini wanakula mshahara bure kwa upumbavu wa Watu wa utumishi kwa sheria zao za kusimamisha watumishi kazi bila kupima uzito
Mkuu hata ulaya ipo inaitwa paid administrative leave ili kupisha uchunguzi kwanza kabla hatua nyingine hazijachukuliwa.

Hii ni kwa ajili ya kulinda haki za mtu isiwe tu ni majungu ama fitna ama chuki ukafukuza mtu kazi. Lazima uchunguzi ufanyike kwanza.

Ni common sense tu mkuu.
 
Mimi nazan ni sahihi mtu akiwa na hatia (mashataka ) anaposimamishwa kaz ili uchunguz uendelee alipwe mshahara wake kama kawaida ili kulinda utu wake na hali yake ya kichumi

Sasa kwenye mchakato WA kesi ndio uwe na kikomo cha muda kama ndan ya miez 3 had Maximum 6 kama utumishe umeshindw kupata ushahid wa kumtia hatian kesi hiyo isiendelee ifutwe mtu arud katk Majukum yake

89% ya kesi za kiutumishi watu hushinda
7% huisha kwakosa ushahid
3% ndio kesi zinakuta watumish na hatia


Umnyime mtu mshahara miez 2 tuu kwa wengi lazm aanze kuw chizi

Alafu aje kushinda kesi after 6months asee atakuw na hali gani

Kasome standard order mkuu
 
Mkuu hata ulaya ipo inaitwa paid administrative leave ili kupisha uchunguzi kwanza kabla hatua nyingine hazijachukuliwa.

Hii ni kwa ajili ya kulinda haki za mtu isiwe tu ni majungu ama fitna ama chuki ukafukuza mtu kazi. Lazima uchunguzi ufanyike kwanza.

Ni common sense tu mkuu.
Kwa bongo wanaitumia kukomoana
 
Msingi wa hoja iwekwe deadline ya uchunguzi watu wasikae mda mrefu nje ya kazi
U
Mfano upotevu wa dollar 50 je unahitaji miaka nane kuchunguza nini.
Matokeo yake watu wanafurahia kupata mda mrefu wa kufanya mambo yao mfano kusoma, kuajiriwa kwingine, kufanya biashara nk.
Kisha wanakuja kushinda kesi Sasa who the looser
 
Bongo dili mhhh naona bado una hoja za kiskuli. Logic..etc.

Kumtuhumu mfanyakazi kwa kosa halafu ukamsimamishia mshahara unataka kumsababishia matatizo ya kisaikolojia. Unaosema wanapata muda wa kusoma, kufanya biashara etc sio wengi. Kesi ya kukupotezea kazi, kufungwa miaka 20 lupango, kila mwezi unaripoti mahakamani unadhaji utakuwa umekaa sawasawa kufanya unayoyasema.

Uwe na upendo na binadamu wenzako. Hicho wanachopata kinawasaidia angalau kumudu maisha na kulipa mikopo waliochukua jabla ya kesi.

Kumbuka kuwa pia kesi zina mengi
 
Pana matakataka mengi yanafanyika Serikali hasa kwa watumishi wa umma inatakiwa mamlaka ilitazame hili.
Huu utaratibu wa kumsimamisha kazi mtumishi wa umma huku akiendelea kulipwa mshahara mwisho wa mwezi je ulizingatia afya ya akili ya aliyebuni utaratibu huu?.
Unakuta mtumishi kapata kesi ya upotevu wa hela hata nusu na robo ya mshahara wake haifiki zipo kesi upotevu wa dollar 50, wengine elf 20 mtu anasimamishwa kazi eti kupisha uchunguzi,kwann msifanye uchunguzi huku akiendelea na kazi ili autumikie mshahara wa bure anaopewa Kila mwezi,Pana watu wanasimamishwa kazi hata miaka minane kwa tuhuma tu za kipumbavu sijui akuomba ruhusa, sijui upotevu wa sh laki moja,sijui tuhuma ya kupokea rushwa ya sh elf tano, Pana mtu alikaa ndani kisa upotevu wa elf 10 akapewa kesi ya uhujumu uchumi,vikesi vingi vya ajabu ajabu tu,kesi zingine ni chuki tu za mabosi ofisin labda wanagombea mrembo nk.
Ambapo angewndelea na kazi au alipe hio amount kiduchu anayotuhumiwa nayo.
Mtu ana mshahara wa milion 2 unampa kesi ya upotevu wa dollar 50 unamsimamisha kazi miaka sita au nane hii ni akili au ni matope.
Matokeo yake Sasa watu wakisimamishwa kazi Wala hawasumbuki wanaenda private company wanaajirwa kisiri Yao so wanavuta mshahara wa Serikali na wa private company wanafanya maendeleo, wengine wanakaa kimya kabisa huku wakizidi kuomba mafaili Yaendelee kukaa kimya wanakua bize kusimamia biashara zao.
Wengine utumia mda huo kwenda shule.
Wakati huo huo wanalalamika upungufu wa staff wakati wanasimamisha watu pasipo sababu za msingi ukipima kosa na hasara ya kumsimamisha mtu kazi ale mshahara asioutumikia haviendani kabisa.
Wanakusimamisha kazi ili wakukomoe uchakae kabisa wakiona upo bize na project zako au umeajiriwa kwingine huku ukipokea bure mshahara wao na una maendeleo wanaanza kuona wivu Tena.
Wivu wa nini Sasa wakat nyie ndio mmempa mda wa kupumzika.
Halafu vikesi vyenyewe vya kijinga baada ya uchunguzi miaka hio sita au nane wanakurudisha kazini uendelee na kazi kwa sababu wamekosa ushahidi na unapewa haki zako zote ulizokaa nje ya kazi.
Inatakiwa HR yeyeto akimsimamisha mtu kazi awajibishwe kwa kufacilitate Serikali kuibiwa na akatwe mafao yake kufidia hasara hio ya serikali kumlipa mshahara mtu asiyekuwa kazini.
Mamlaka ilione hili watumishi wengi wanasomeka kwenye malipo hazina lakini usikute wengi hawapo makazini wanakula mshahara bure kwa upumbavu wa Watu wa utumishi kwa sheria zao za kusimamisha watumishi kazi bila kupima uzito
bongo nyoso
 
Back
Top Bottom