Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,959
- 70,712
😀😀😀poaNimeishia kusoma hapo kwenye " jua kali kama lote".
Hapo tu imetosha kunijulisha wewe ni aina gani ya mtu.
😀😀😀poaNimeishia kusoma hapo kwenye " jua kali kama lote".
Hapo tu imetosha kunijulisha wewe ni aina gani ya mtu.
Nimekutumia PM chiefNot "including Tanzania", rather, "especially Tanzania"
unfortunately,camera has stoppedNimekutumia PM chief
Sio kweli, mimi nimeish ulaya, wamiliki wa magari hasa ya bei wanaheshimika na kushobokewa kama kibongo bong tu... Utamsikia mzungu anakuambia that guy is rich man.... So uzi huu uko sahihi kabisa.....Huficha umasikini kwa jamii masikini wa kifikra, kielimu na kipato..
Unatumia simu aina gani. Samahani lakini.unfortunately,camera has stopped
unalisolve vipi hili tatizo
LG G4Unatumia simu aina gani. Samahani lakini.
JaribuLG G4
NILIJARIBU HII KITU BADO IKAGOMAJaribu
Setting > Application manager > Camera > Clear cache, clear data. Then restart u'r divice.
Hiyo simu uliifanyia rooting?NILIJARIBU HII KITU BADO IKAGOMA
Hata mtu mzima aliekuzidi umri atakuita "baba" au "mama". Ila kama mfuko ni wakulenga kwa manati, kidumu cha lita 5 kwenye buti hakikosekani.Ukiwa na gari hadi vizee vya mtaani vinakuheshimu...
Hahahaha...hapo kwenye kidumu hapo..hahahahaHata mtu mzima aliekuzidi umri atakuita "baba" au "mama". Ila kama mfuko ni wakulenga kwa manati, kidumu cha lita 5 kwenye buti hakikosekani.
Muda wowote kuna kukimbilia mafuta kituoni.
HAPANAHiyo simu uliifanyia rooting?
Sawa ngoja nikalale nitafute kesho nikuelekeze nn cha kufanyaHAPANA
POASawa ngoja nikalale nitafute kesho nikuelekeze nn cha kufanya
Ukipakiwa kwenye gari, halafu ukacheki nyuma na ukaona kuna kidumu cha mafuta kipo standby. Nakushauri ushuke, bora uchukue bodaboda au uber.Hahahaha...hapo kwenye kidumu hapo..hahahaha
Ukipakiwa kwenye gari, halafu ukacheki nyuma na ukaona kuna kidumu cha mafuta kipo standby. Nakushauri ushuke, bora uchukue bodaboda au uber.
Au lasivyo kuna kusaidia kuisukuma muda wowote, [emoji18]
Fanya unachopenda mkuu maisha yenyewe mafupiAm nat
I just speak the reality mAn
For me having a car is my first priority rather than having a house.
Why should i have a house if i am not married ?