RRONDO
Platinum Member
- Jan 3, 2010
- 59,388
- 134,948
Naomba niwe dereva wako.mm hua sitanglizi pua mbele..natanglizana na malori ..sichomoki main road kama road ipo nyeupe😎
Naomba niwe dereva wako.mm hua sitanglizi pua mbele..natanglizana na malori ..sichomoki main road kama road ipo nyeupe😎
Everyone has his/her own choice mkuu, kuna mtu amepanga apartment analipa lak5 lkn hana gari. Kuna mwingine amepanga chumba kimoja na godoro tu lkn anamiliki Probox.Walking just because u decided to leave ur car in your driveway or exercising diesnt mean poverty, but walking because you cant afford 400/- daladala fare is poverty!
Unaweza usiwe na gari but u can afford taxi,bus even car hire. Lakini kutembea kwa kukosa nauli ni poverty.Everyone has his/her own choice mkuu, kuna mtu amepanga apartment analipa lak5 lkn hana gari. Kuna mwingine amepanga chumba kimoja na godoro tu lkn anamiliki Probox.
km una umbo la kiume😀 (muscles) mm sina shida kbs😎!ila usiwe na mke..kuna kipindi ntakuwa natoka usiku!tusije mkwaza bure!Naomba niwe dereva wako.
Yote uliyosema nimekidhi vigezo. Nauliza tu muscle za nini kwani gari nalibeba mgongoni?km una umbo la kiume😀 (muscles) mm sina shida kbs😎!ila usiwe na mke..kuna kipindi ntakuwa natoka usiku!tusije mkwaza bure!
😀😀😀 kuna kupata pancha mkuu~~naona mbali mmYote uliyosema nimekidhi vigezo. Nauliza tu muscle za nini kwani gari nalibeba mgongoni?
Niko tayari😀😀😀 kuna kupata pancha mkuu~~naona mbali mm
nitanunua soon....nitakupa lift lakn sharti uvae kimini na miguu uweke kwenye dashboardFanya mpango tununue ni Mimi na wewe tu Ndo hatuna.
Mimi nitaanza kukupa lift kabla yakonitanunua soon....nitakupa lift lakn sharti uvae kimini na miguu uweke kwenye dashboard
Mwenye nyumba konokonoGari lina raha yake aisee hata kama huna nyumba
Cha muhimu kwenu unatuma matumizi baasi
Upendavyo mamii!!!....masharti ruksaMimi nitaanza kukupa lift kabla yako
Sijui na Mimi nikupe masharti....
Uwe huna gari alaf mkeo mjamzito..au uwe. A mgonjwa.. Yani Utapata tabu sana.
Nna shost yangu ana gari tulikua tunasoma wote... Sasa siku moja kuna mwanafunz alibanwa na pumu kumfata kumuomba awapeleke akadai ela ya mafuta (wakati huo mgonjwa hana hata fahamu ) lkn alisubiri mpaka alipopewa 10000 ya mafuta ndo akaanza safari.... Yaan nlijikuta naona aibuu nka jiambia Mungu nsaidie nisiwe iviYani kwenye issue ya mafuta ndio balaa na utaona aibu kuwaomba watakusema vibaya
Alaf sasa ni mtu mwenye watoto.... Mmama kabisa lakini amefanya kitu ambacho hata Mimi nisiejua uchungu nilijisikia vibayaDuh huyo alikua na roho mbaya aisee
Pengine hakuwa na roho mbaya isipokuwa hali ilisababisha aonekane hivyo, labda bajeti yake ya mafuta aliyoweka ilikuwa na hesabu za kwenda point moja na kurudi tu kwake, mwenye gari anajua siri yake ya mafuta mwenyewe, sidhani kama ni sahihi kutoa hukumu kwake kwa hilo.Duh huyo alikua na roho mbaya aisee