Kumiliki gari kunaficha umasikini

Kumiliki gari kunaficha umasikini

bora ungewaambia mbovu sababu zingine kuzielewa mpaka uwe mfuasi wa ccm.

mimi nkitaka kwenda kukopa gesi ama sukari dukani kwa mangi naendaga na gari yaani hachomoi kirahisi. gari sometimes inaongeza heshma ata bar husumbuliwi sumbuliwi kulipa Bill
hahahahahahahah its true my dear... inaongeza hadhi....tena sana aisee!ila umenichekeshaa
 
Na sasa hivi ukiwa na gari ujue umepinga udugu wa damu na Traffic wetu
Kweli kabisa maana Trafiki wamepewa mamlaka ya TRA
ila juzi hapa nilisoma habari humu waliambiwa na kiongozi mmoja walegeze
 
hyo ni kweli aisee ila ni mbaya jaman!lulitokea msiba sehem nnayoishi !tunajiandaa kwenda msiban hio saa 7 jua kali kama lote !dada wa kazi anakuja aniambia nje majiran wananisubiri mm wapo kama wa4! eti wanajua ntaenda na gari... nilichoka sana!gari haina mafuta kifupi isingeturudisha!akili ikaja niwaambie hko tuendako na waswas na parking!nikawaambia tutembee tu jaman!arghhh
Umejua kunchekesha bibiye😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom