TheChoji
JF-Expert Member
- Apr 14, 2009
- 6,710
- 20,713
Sio tu kwamba hatujakizoea mkuu.. huku kwetu bana tatizo usafiri wa umma ni mbovu sana kiasi kwamba mtu ukipata vijihela kitu cha kwanza unawaza ujikwamue kwenye hilo balaa..Ofcoz pia ni kwa sababu ni kifaa ambacho bado hatukukizoea.