witnessj
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 28,839
- 47,769
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Yaani umenikumbusha jana nilikwenda kwenye Pub flani na hawanijui nikanywa hela ikakata..nikanywa tena...mwisho nikamwambia mwenye Pub nitakucheki kesho...na gari nilikuwa nimepaki mlangoni kabisa..hakunibishia