Kumiliki gari kunaficha umasikini

Kumiliki gari kunaficha umasikini

hyo ni kweli aisee ila ni mbaya jaman!lulitokea msiba sehem nnayoishi !tunajiandaa kwenda msiban hio saa 7 jua kali kama lote !dada wa kazi anakuja aniambia nje majiran wananisubiri mm wapo kama wa4! eti wanajua ntaenda na gari... nilichoka sana!gari haina mafuta kifupi isingeturudisha!akili ikaja niwaambie hko tuendako na waswas na parking!nikawaambia tutembee tu jaman!arghhh
Hee kumbe una garii
 
Gari bhana.

Wanaomiliki magari wanaaminika sana kwamba wana hela, hawana dhiki.

Mtu mwenye gari anaeleweka haraka sana na anaaminika mno kuliko wewe unayetembelea ngondi ama Toyo.

Gari ni kama shetani fulani.

Gari huficha umaskini kwa kiasi kikubwa sana.
Ukifanikiwa kumiliki GARI kweli ww umeuaga umasikini ila kama unamiliki gari kisha ukaonekana unazo aisee toka kwenye hilo kundi la watu ......kuna tofauti ya GARI na gari(if u know,u know,) NARUDIA kuna tofaut ya GARI na gari"" range rover /passo
 
Ambao hayajawakuta hawawez kuelewa..
Kabisa aisee, imagine mjamzito kashikwa na uchungu usiku wa manane na kituo cha afya kipo 15 kilomita away. Bila kuwa na usafiri wako unapata taabu sana.
 
Nna shost yangu ana gari tulikua tunasoma wote... Sasa siku moja kuna mwanafunz alibanwa na pumu kumfata kumuomba awapeleke akadai ela ya mafuta (wakati huo mgonjwa hana hata fahamu ) lkn alisubiri mpaka alipopewa 10000 ya mafuta ndo akaanza safari.... Yaan nlijikuta naona aibuu nka jiambia Mungu nsaidie nisiwe ivi
Huyo sio mnafiki.
 
Gari bhana.

Wanaomiliki magari wanaaminika sana kwamba wana hela, hawana dhiki.

Mtu mwenye gari anaeleweka haraka sana na anaaminika mno kuliko wewe unayetembelea ngondi ama Toyo.

Gari ni kama shetani fulani.

Gari huficha umaskini kwa kiasi kikubwa sana.
Kweli Ukiwa na Gari utampata hata NAHUJA
 
hyo ni kweli aisee ila ni mbaya jaman!lulitokea msiba sehem nnayoishi !tunajiandaa kwenda msiban hio saa 7 jua kali kama lote !dada wa kazi anakuja aniambia nje majiran wananisubiri mm wapo kama wa4! eti wanajua ntaenda na gari... nilichoka sana!gari haina mafuta kifupi isingeturudisha!akili ikaja niwaambie hko tuendako na waswas na parking!nikawaambia tutembee tu jaman!arghhh
Ajabu misibani magari yakiwa mengi ni sifa siju tumekaaje
 
hyo ni kweli aisee ila ni mbaya jaman!lulitokea msiba sehem nnayoishi !tunajiandaa kwenda msiban hio saa 7 jua kali kama lote !dada wa kazi anakuja aniambia nje majiran wananisubiri mm wapo kama wa4! eti wanajua ntaenda na gari... nilichoka sana!gari haina mafuta kifupi isingeturudisha!akili ikaja niwaambie hko tuendako na waswas na parking!nikawaambia tutembee tu jaman!arghhh
Nimeishia kusoma hapo kwenye " jua kali kama lote".

Hapo tu imetosha kunijulisha wewe ni aina gani ya mtu.
 
Back
Top Bottom