kimsboy
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 8,992
- 17,892
Kwa kweli umasikini ni mbaya sana hutakiwi kukosa milioni 15 au milioni 20 ya gari.
Kwa mentality za kibongo tunaonaga mtu akiwa na gari basi kayapatia maisha au ni tajiri sana.
Lakini tunajidanganya sana, kumiliki gari ya milioni 15 au 20 haikufanyi kuwa tajiri, basi na traffic wanakamatia hapo hapo kwa kutoza faini wenye magari kwa kudhani ndo wenye pesa...."Traffick mna roho za umasikini sana hapa mjini"...
Mshahara wa mtumishi wa kawaida marekani mwenye degree unakua ni kati ya dola elfu 50 hadi dola laki 1 na 20 kwa mwaka kwa mshahara huo utashindwa kumiliki gari?
Hapa kwetu ccm wameidumaza hii nchi miaka 60 tumeshindwa kuwa nchi ya uchumi mkubwa!! Ni aibu hadi leo tunaona kuwa na gari ni utajiri, milioni 15 au 20 kwa mtanzania wa chini ilipaswa kuwa ni pesa ya kawaida tu hata kumiliki magari lilipaswa kuwa jambo la kawaida, lakini ccm hawana nia ya kuwatoa watz kwenye umasikini.Watu hawakupaswa kugombania daladala namna ile na kujazwa kama mifugo tazameni madaladala ya mbagala yanavyojaa, huku yakinuka uvundo wa kila aina, unakuta hadi gari inaenda kushuka abiria wakishuka wote unakuta inanuka mijasho,uchafu na kila harufu za binadam utadhani ni mifugo ilikua imepakizwa huko watanzania hawakustahili haya kabisa, tulipaswa kuwa na taifa angalau mtu ana kipato cha kati cha kumiliki usafiri wake angalau hata ungemkuta akigombea daladala unafaham fika kuwa ni hiari yake tu
Nchi inazidi kuwa maskini, hata wananchi wake wanashindwa kumiliki hata gari za milioni 20!! Halaf kuna wajinga wanasifia govt kuwa inaupiga mwingi!!Unaisifia govt na uchawa wakati hata gari namba A ya zamani huna?
Kumiliki gari ni kitu cha kawaida.sana na inawezekana kabisa kwa watz wengine tatizo ni watawala wenu wana wivu tu kuwa mtafaidi sana wakiboresha maisha yenu na kuondoa makodi ya hovyo hovyo.
Kwa mentality za kibongo tunaonaga mtu akiwa na gari basi kayapatia maisha au ni tajiri sana.
Lakini tunajidanganya sana, kumiliki gari ya milioni 15 au 20 haikufanyi kuwa tajiri, basi na traffic wanakamatia hapo hapo kwa kutoza faini wenye magari kwa kudhani ndo wenye pesa...."Traffick mna roho za umasikini sana hapa mjini"...
Mshahara wa mtumishi wa kawaida marekani mwenye degree unakua ni kati ya dola elfu 50 hadi dola laki 1 na 20 kwa mwaka kwa mshahara huo utashindwa kumiliki gari?
Hapa kwetu ccm wameidumaza hii nchi miaka 60 tumeshindwa kuwa nchi ya uchumi mkubwa!! Ni aibu hadi leo tunaona kuwa na gari ni utajiri, milioni 15 au 20 kwa mtanzania wa chini ilipaswa kuwa ni pesa ya kawaida tu hata kumiliki magari lilipaswa kuwa jambo la kawaida, lakini ccm hawana nia ya kuwatoa watz kwenye umasikini.Watu hawakupaswa kugombania daladala namna ile na kujazwa kama mifugo tazameni madaladala ya mbagala yanavyojaa, huku yakinuka uvundo wa kila aina, unakuta hadi gari inaenda kushuka abiria wakishuka wote unakuta inanuka mijasho,uchafu na kila harufu za binadam utadhani ni mifugo ilikua imepakizwa huko watanzania hawakustahili haya kabisa, tulipaswa kuwa na taifa angalau mtu ana kipato cha kati cha kumiliki usafiri wake angalau hata ungemkuta akigombea daladala unafaham fika kuwa ni hiari yake tu
Nchi inazidi kuwa maskini, hata wananchi wake wanashindwa kumiliki hata gari za milioni 20!! Halaf kuna wajinga wanasifia govt kuwa inaupiga mwingi!!Unaisifia govt na uchawa wakati hata gari namba A ya zamani huna?
Kumiliki gari ni kitu cha kawaida.sana na inawezekana kabisa kwa watz wengine tatizo ni watawala wenu wana wivu tu kuwa mtafaidi sana wakiboresha maisha yenu na kuondoa makodi ya hovyo hovyo.