Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,468
- 23,744
- Thread starter
- #21
Hapana.... Usidhani kuhama ni jambo jepesi tu.Ushahama kwa shemeji?
Hhhhhhhhh
Hapana.... Usidhani kuhama ni jambo jepesi tu.Ushahama kwa shemeji?
Hhhhhhhhh
Omba Mungu aepushe watoto wako na umasikini
Hhhhhhhhhh nenda Tanga mkuu ukalime machungwa na Nazi na bahari ipo kule tangaHapana.... Usidhani kuhama ni jambo jepesi tu.
Huu uzi wa kinafiki angetaja hivyo vituo na Wamiliki wake anaowajua kuwa ni watakatisha fedhaMbona hivi vituo vimeanza kuota wakati wa Magufuli au wenzetu mmeamua kujitoa ufahamu? We need to think beyond.. ni vzr tungepata taarifa za ndani sio hizi blah blah mnazokuja nazo
Angalia vizuri utaona na Worldcup petrol station ⛽️ 😂😂Nipo Mikese na Mikumi nimeona Olympic petrol Station.
Tuambie kwanza familia yako ina uraia wa wapi? Kuna wengine wanatuambia tuingie road kukinukisha kumbe wao familia zao wameficha majuu!Tuingieni road tukinukishe
Kwani ungeandika na kumalizia kwa kiswahili ndio ungeonekana sio msomi-uchwara!Mbona hivi vituo vimeanza kuota wakati wa Magufuli au wenzetu mmeamua kujitoa ufahamu? We need to think beyond.. ni vzr tungepata taarifa za ndani sio hizi blah blah mnazokuja nazo
Tuanze na migomo kwanza.Tuingieni road tukinukishe
Tupe mbinu ya kuwadaka bwashee1. Dawa za Kulevya - Biashara imerudi kwa kasi sana. Mimi naishi Kinondoni, naona vijana ambao wameamua kwa dhati kabisa kujiendeleza kiuchumi kupitia biashara hii. Si kwa kificho, mkitaka niwape mbinu za kuwakamata nitawapa. Hawa wanasafirisha sehemu mbalimbali.
2. Ufisadi - Upo wazi, tunaona miradi bubu ya wazalendo na miradi bubu ya wawekezaji. Upigaji na sintofahamu ya mabehewa ya train ya SGR. Anuani za makazi na kuzunguka nchi kwa helcopter, matatizo ya umeme na uuzaji majenereta mengi yaliyoingizwa nchini, safari zisizo na tija n.k.
3. Imepelekea kuanzishwa vituo vingi vya mafuta ya gari ambavyo vinatumika kutakatisha pesa hizo haramu na pia kusababisha bei ya mafuta ya gari kupanda kwa kuongezewa kodi na tozo lukuki tofauti na soko la ukweli.
Tunakoelekea ni kubaya zaidi.
Ifike mahali tuanze kuweka threads zenye evidence na facts itafanya majadiliano yawe na nguvu.1. Dawa za Kulevya - Biashara imerudi kwa kasi sana. Mimi naishi Kinondoni, naona vijana ambao wameamua kwa dhati kabisa kujiendeleza kiuchumi kupitia biashara hii. Si kwa kificho, mkitaka niwape mbinu za kuwakamata nitawapa. Hawa wanasafirisha sehemu mbalimbali.
2. Ufisadi - Upo wazi, tunaona miradi bubu ya wazalendo na miradi bubu ya wawekezaji. Upigaji na sintofahamu ya mabehewa ya train ya SGR. Anuani za makazi na kuzunguka nchi kwa helcopter, matatizo ya umeme na uuzaji majenereta mengi yaliyoingizwa nchini, safari zisizo na tija n.k.
3. Imepelekea kuanzishwa vituo vingi vya mafuta ya gari ambavyo vinatumika kutakatisha pesa hizo haramu na pia kusababisha bei ya mafuta ya gari kupanda kwa kuongezewa kodi na tozo lukuki tofauti na soko la ukweli.
Tunakoelekea ni kubaya zaidi.
Point namba 2 ni mhim ..upigaji ndo unaosababisha hicho kitu. Sio kweli uchumi umekuwa ndo wakaanza ujenzi la hasha .ukichunguza sana ni wanasiasa1. Dawa za Kulevya - Biashara imerudi kwa kasi sana. Mimi naishi Kinondoni, naona vijana ambao wameamua kwa dhati kabisa kujiendeleza kiuchumi kupitia biashara hii. Si kwa kificho, mkitaka niwape mbinu za kuwakamata nitawapa. Hawa wanasafirisha sehemu mbalimbali.
2. Ufisadi - Upo wazi, tunaona miradi bubu ya wazalendo na miradi bubu ya wawekezaji. Upigaji na sintofahamu ya mabehewa ya train ya SGR. Anuani za makazi na kuzunguka nchi kwa helcopter, matatizo ya umeme na uuzaji majenereta mengi yaliyoingizwa nchini, safari zisizo na tija n.k.
3. Imepelekea kuanzishwa vituo vingi vya mafuta ya gari ambavyo vinatumika kutakatisha pesa hizo haramu na pia kusababisha bei ya mafuta ya gari kupanda kwa kuongezewa kodi na tozo lukuki tofauti na soko la ukweli.
Tunakoelekea ni kubaya zaidi.
1. Dawa za Kulevya - Biashara imerudi kwa kasi sana. Mimi naishi Kinondoni, naona vijana ambao wameamua kwa dhati kabisa kujiendeleza kiuchumi kupitia biashara hii. Si kwa kificho, mkitaka niwape mbinu za kuwakamata nitawapa. Hawa wanasafirisha sehemu mbalimbali.
2. Ufisadi - Upo wazi, tunaona miradi bubu ya wazalendo na miradi bubu ya wawekezaji. Upigaji na sintofahamu ya mabehewa ya train ya SGR. Anuani za makazi na kuzunguka nchi kwa helcopter, matatizo ya umeme na uuzaji majenereta mengi yaliyoingizwa nchini, safari zisizo na tija n.k.
3. Imepelekea kuanzishwa vituo vingi vya mafuta ya gari ambavyo vinatumika kutakatisha pesa hizo haramu na pia kusababisha bei ya mafuta ya gari kupanda kwa kuongezewa kodi na tozo lukuki tofauti na soko la ukweli.
Tunakoelekea ni kubaya zaidi.