Kumea kwa vituo vingi vya mafuta ni kwa ajili ya kutakatisha fedha zinazotokana na dawa za kulevya na ufisadi wa fedha za umma

Mbona hivi vituo vimeanza kuota wakati wa Magufuli au wenzetu mmeamua kujitoa ufahamu? We need to think beyond.. ni vzr tungepata taarifa za ndani sio hizi blah blah mnazokuja nazo
Huu uzi wa kinafiki angetaja hivyo vituo na Wamiliki wake anaowajua kuwa ni watakatisha fedha

Mwandishi ni Loser mwenye wivu.
 
Hili litakuwa na ukweli, maana kila ukiamka asubuhi kuna site mpya inazungushwa mabati.......zama za kulamba asali hizi.
 
Mbona wametangaza juzi kati kuwa vibali vimezuia ujengaji wa vituo vya mafuta Nchini
 
Mbona hivi vituo vimeanza kuota wakati wa Magufuli au wenzetu mmeamua kujitoa ufahamu? We need to think beyond.. ni vzr tungepata taarifa za ndani sio hizi blah blah mnazokuja nazo
Kwani ungeandika na kumalizia kwa kiswahili ndio ungeonekana sio msomi-uchwara!
 
1. Dawa za Kulevya - Biashara imerudi kwa kasi sana. Mimi naishi Kinondoni, naona vijana ambao wameamua kwa dhati kabisa kujiendeleza kiuchumi kupitia biashara hii. Si kwa kificho, mkitaka niwape mbinu za kuwakamata nitawapa. Hawa wanasafirisha sehemu mbalimbali.

2. Ufisadi - Upo wazi, tunaona miradi bubu ya wazalendo na miradi bubu ya wawekezaji. Upigaji na sintofahamu ya mabehewa ya train ya SGR. Anuani za makazi na kuzunguka nchi kwa helcopter, matatizo ya umeme na uuzaji majenereta mengi yaliyoingizwa nchini, safari zisizo na tija n.k.

3. Imepelekea kuanzishwa vituo vingi vya mafuta ya gari ambavyo vinatumika kutakatisha pesa hizo haramu na pia kusababisha bei ya mafuta ya gari kupanda kwa kuongezewa kodi na tozo lukuki tofauti na soko la ukweli.

Tunakoelekea ni kubaya zaidi.
Tupe mbinu ya kuwadaka bwashee
 
juzi nimeenda chanika aisee

mpaka nikamuuliza mwenyeji wangu ebana mbona mpaka panapendeza!!inaonekana mna magari mengi sana fasi hii.
 
1. Dawa za Kulevya - Biashara imerudi kwa kasi sana. Mimi naishi Kinondoni, naona vijana ambao wameamua kwa dhati kabisa kujiendeleza kiuchumi kupitia biashara hii. Si kwa kificho, mkitaka niwape mbinu za kuwakamata nitawapa. Hawa wanasafirisha sehemu mbalimbali.

2. Ufisadi - Upo wazi, tunaona miradi bubu ya wazalendo na miradi bubu ya wawekezaji. Upigaji na sintofahamu ya mabehewa ya train ya SGR. Anuani za makazi na kuzunguka nchi kwa helcopter, matatizo ya umeme na uuzaji majenereta mengi yaliyoingizwa nchini, safari zisizo na tija n.k.

3. Imepelekea kuanzishwa vituo vingi vya mafuta ya gari ambavyo vinatumika kutakatisha pesa hizo haramu na pia kusababisha bei ya mafuta ya gari kupanda kwa kuongezewa kodi na tozo lukuki tofauti na soko la ukweli.

Tunakoelekea ni kubaya zaidi.
Ifike mahali tuanze kuweka threads zenye evidence na facts itafanya majadiliano yawe na nguvu.
 
1. Dawa za Kulevya - Biashara imerudi kwa kasi sana. Mimi naishi Kinondoni, naona vijana ambao wameamua kwa dhati kabisa kujiendeleza kiuchumi kupitia biashara hii. Si kwa kificho, mkitaka niwape mbinu za kuwakamata nitawapa. Hawa wanasafirisha sehemu mbalimbali.

2. Ufisadi - Upo wazi, tunaona miradi bubu ya wazalendo na miradi bubu ya wawekezaji. Upigaji na sintofahamu ya mabehewa ya train ya SGR. Anuani za makazi na kuzunguka nchi kwa helcopter, matatizo ya umeme na uuzaji majenereta mengi yaliyoingizwa nchini, safari zisizo na tija n.k.

3. Imepelekea kuanzishwa vituo vingi vya mafuta ya gari ambavyo vinatumika kutakatisha pesa hizo haramu na pia kusababisha bei ya mafuta ya gari kupanda kwa kuongezewa kodi na tozo lukuki tofauti na soko la ukweli.

Tunakoelekea ni kubaya zaidi.
Point namba 2 ni mhim ..upigaji ndo unaosababisha hicho kitu. Sio kweli uchumi umekuwa ndo wakaanza ujenzi la hasha .ukichunguza sana ni wanasiasa
 
Vingi vinamilikiwa na wanasiasa wa CCM wataafu na walioko madarakani
1. Dawa za Kulevya - Biashara imerudi kwa kasi sana. Mimi naishi Kinondoni, naona vijana ambao wameamua kwa dhati kabisa kujiendeleza kiuchumi kupitia biashara hii. Si kwa kificho, mkitaka niwape mbinu za kuwakamata nitawapa. Hawa wanasafirisha sehemu mbalimbali.

2. Ufisadi - Upo wazi, tunaona miradi bubu ya wazalendo na miradi bubu ya wawekezaji. Upigaji na sintofahamu ya mabehewa ya train ya SGR. Anuani za makazi na kuzunguka nchi kwa helcopter, matatizo ya umeme na uuzaji majenereta mengi yaliyoingizwa nchini, safari zisizo na tija n.k.

3. Imepelekea kuanzishwa vituo vingi vya mafuta ya gari ambavyo vinatumika kutakatisha pesa hizo haramu na pia kusababisha bei ya mafuta ya gari kupanda kwa kuongezewa kodi na tozo lukuki tofauti na soko la ukweli.

Tunakoelekea ni kubaya zaidi.
 
Vituo kama vyote haha wengine si wawekeze sehemu nyingine
 
Back
Top Bottom