Kumbe Uturuki hamna Christmas!..

Kumbe Uturuki hamna Christmas!..

nimesikitika kuona baadhi ya nchi wanaendekeza udini kupita maelezo. nipo uturuki kwa mda kama mwezi kikazi. nimeshangaa kuona leo dunia inaadhimisha sikuku ya kuzaliwa yesu lakini kwa hii nchi tofauti kidogo. watu wameenda kazini, vyuoni, shule na shughuli zote za maendeleo zinaendelea kama kawaida. nimemuuliza dogo mmoja ananiambia ndo ilivo kwa kawaida hakuna mapumziko ya chrismas wala pasaka. mapumziko ni siku za eid tu. nimesikitika kwa kweli nimekumbuka tanzania yangu. sikutegemea kama udini upo juu kiasi hiki kwa nchi kama uturuki!!!

We lofa kweli sasa uturuki wakipiga chini ckukuu ya kipagani unasema udini?
 
Wacha mrusi awaadabishe tu ndio maana nyerere alikataa udini katika nchi ila kueshimu sikukuu za watu ni muhimu sana ukawapa watu mapunziko kwa kua uislam uturuki ni asilimia 70 tu 30% sio waislam vipi Zanzibar hapo asilimia 90 ni waislam na 10 ni wakristo?

Uharo wako peleka machame kwa meku wenzako.. waislamu uturuki ni zaidi ya asilimia 90


https://en.m.wikipedia.org/wiki/Religion_in_Turkey
 
Unasikitika nini wakati huo Ni utamaduni wao????
 
Isa bin maryan na yesu au jesu ni watu tofauti tena sana Isa bin maryan alahsalam ni mtume wa Allah yesu ni mungu wa wakristo na Jesu ni mtoto wa kizungu kwahiyo ndio tofauti
 
Uturuki ni taifa la kiislamu,chepuka ujerumani ukale sikukuu yako

Kanisa kama colintho na wagalatia na maeneo mangine ambapo ukristo ule pure ulipoanzia ni Uturuki na Syria. Karibu robo tatu ya matendo ya mitume ilikuwa ni Turkey ndo kanisa kubwa ambapo Paul alihudhira ibada mara kadhaa lipo Istanbul.Paul mtume amekaa sana Turkey na na hapo na ndipo neno Wakristo lilipoanza kutumika. Inakuwa ngumu kidogo kuamini kwamba Uturuki ni nchi ya kiislam sema things change with time lakin Injili itasimama
 
Kanisa kama colintho na wagalatia na maeneo mangine ambapo ukristo ule pure ulipoanzia ni Uturuki na Syria. Karibu robo tatu ya matendo ya mitume ilikuwa ni Turkey ndo kanisa kubwa ambapo Paul alihudhira ibada mara kadhaa lipo Istanbul.Paul mtume amekaa sana Turkey na na hapo na ndipo neno Wakristo lilipoanza kutumika. Inakuwa ngumu kidogo kuamini kwamba Uturuki ni nchi ya kiislam sema things change with time lakin Injili itasimama
paul kama sikosei alizaliwa tartus,syria,pale warusi walipo na base yao kwasasa
 
Kuna nchi kadhaa sherehe hizo hazifanyiki kila nchi ina tamaduni zake.

Unashangaa ya Turkey nenda Russia ambako ni Orthodox church na hawana Xmas 25/12 bali huwa ni tarehe 07/01
 
Wanaosherehekea Christmas ni sikukuu ya mapagani,na siyo siku ya kuzaliwa kwa yesu
 
Ndio mahaana mkuu rahaana zinawatafuna plus majanga ni sawa kila nchi inataratibu zake lakin kumbuka waliopo wote c Islamic mfano huko turkey kuna ifesso wanahamin kuwa bikra maria alihishi pale na watalii wengi uwenda pale nakuchukuwa maji ya balaka wanawezaje kutoamin kuzaliwa kwa mfalme Wa wayaudi pumba kabisa

Pumba ni huu uandishi wako wakuandika "rahana badala ya laana,"balaka" badala ya baraka,uandishi huu tuliuzoea kwa mabekitatu wageni wa mji.
 
Mtoa mada ni boya, Urusi mbona hakuna Xmass, China wala Korea. Unataka Umagharibi uwe kila mahali?
 
Kwani siwanamwamini issa bin mariam, sasa kwanini wasisherekee kuzaliwa kwake, hebu wakumbushe quran

wapi kwenye bible au Quran kifungu hata kimoja kinachoonyesha Yesu/Issa bin Mariam alizaliwa tarehe 25. Dec
 
Niliwahi kuwa Cairo Misri siku ya Christmass, hakukuwa na shamra shamra yeyote. Nilifanya ibada yangu kwenye chumba changu cha hoteli, nikawapigia simu ndugu na jamaa kuwatakia kheri,baada ya hapo nikatoka kwenda kula. Moyoni nilijua nimesherehekea Christmas

Uingereza ndo kabisaa habari ya X -Mass hawataki kuisikia
 
nimesikitika kuona baadhi ya nchi wanaendekeza udini kupita maelezo. nipo uturuki kwa mda kama mwezi kikazi. nimeshangaa kuona leo dunia inaadhimisha sikuku ya kuzaliwa yesu lakini kwa hii nchi tofauti kidogo. watu wameenda kazini, vyuoni, shule na shughuli zote za maendeleo zinaendelea kama kawaida. nimemuuliza dogo mmoja ananiambia ndo ilivo kwa kawaida hakuna mapumziko ya chrismas wala pasaka. mapumziko ni siku za eid tu. nimesikitika kwa kweli nimekumbuka tanzania yangu. sikutegemea kama udini upo juu kiasi hiki kwa nchi kama uturuki!!!
Upo Sehemu gani Uturuki wewe Mkuu kijanamtanashati? Njoo Tusherehekee Sikukuu ya Krismasi Aleluya ,Bwana Awe Nasi.

1911614_726800500752910_9010556848098977276_n.jpg

Turki hapo Mkuu


11205576_726800490752911_6858901945817710494_n.jpg



10333768_726800497419577_15436457607622314_o.jpg
 
Last edited by a moderator:
Upo Sehemu gani Uturuki wewe Mkuu kijanamtanashati? Njoo Tusherehekee Sikukuu ya Krismasi Aleluya ,Bwana Awe Nasi.

1911614_726800500752910_9010556848098977276_n.jpg

Turki hapo Mkuu


11205576_726800490752911_6858901945817710494_n.jpg



10333768_726800497419577_15436457607622314_o.jpg
mkuu mzizi mkavu hizi christmas trees nahisi wanatumia kama mapambo tu!! hata hotel niliyofikia wameweka christmas trees nachojariibu kusema kwamba christmas haitambuliki maana leo ilikuwa ni siku ya kazi kama kawaida. wanafunzi walienda shule na vyuoni na shughuli za kimaendeleo zilikuwa kam kawaida!! ila nimewakubali zaid maana jana ilikuwa maulid day lakini ilikuwa ni siku ya kazi. nimefikia izmir mkuu. barikiwa sana
 
Back
Top Bottom