Cynic
JF-Expert Member
- Jan 5, 2009
- 5,144
- 1,650
Wiki chache zilizopita nilitakiwa nitoe taarifa wazazi wangu walizaliwa lini na wapi. Nikataja mwaka na kwamba walizaliwa Tanzania. Jamaa akaniuliza nina uhakika mara tatu na mimi kwa kujiamini nikamwambia ndiyo. Baada ya muda akaniambia haiwezekani! Nikamwambia labda kwenye database yake itakuwa imeandikwa United Republik of Tanzania,
Akaniambia pia haiwezekani. Ndipo akaniuliza nchi yenu haijawahi kubadili jina? Ndipo akili zikanijia na kumwambia kwamba ilikuwa inaitwa Tanganyika. Ndipo system yake ikakubali, na copy ya printout kuonyesha walizaliwa Tanganyika.
Nilichojifunza hapa ni kwamba kumbe Tanganyika ipo na kumbe wengine bado wanaitambua. Na waTZ mliozaliwa kabla ya muungano msijisahau - hamkuzaliwa Tanzania
Akaniambia pia haiwezekani. Ndipo akaniuliza nchi yenu haijawahi kubadili jina? Ndipo akili zikanijia na kumwambia kwamba ilikuwa inaitwa Tanganyika. Ndipo system yake ikakubali, na copy ya printout kuonyesha walizaliwa Tanganyika.
Nilichojifunza hapa ni kwamba kumbe Tanganyika ipo na kumbe wengine bado wanaitambua. Na waTZ mliozaliwa kabla ya muungano msijisahau - hamkuzaliwa Tanzania