Uchaguzi 2020 Kumbe sera ya Bima ya afya kwa watanzania wote Tundu Lissu ka copy kutoka Ilani ya CCM!

Dam55

JF-Expert Member
Oct 8, 2015
5,592
11,831
Rais Magufuli leo akiwa mkoani Mara amezungumzia kuhusu sera ya kutoa Bima ya afya kwa watanzania wote.

Ahadi hiyo ameitoa leo kwenye kampeni zake huko musoma mjini.

Kuthibitisha kuwa sera hiyo ni yake amesoma Ilani ya ccm ya uchaguzi 2020 katika ukurasa wa 139 kipengele "e".
Amesema ahadi hii lazima itekelezwe kwa utaratibu maalumu.

Amesema wapinzani wasiwe wanaongea tu bali kabla hawajaanza kukurupukia sera wawe wanasoma Ilani ya ccm kwanza ili wasiwe wanacopy sera.

Naamini mhe. Tundu Lissu atajibu hili kisomi kabisa.

====
ILANI ya CHADEMA [Ukurasa wa 43(n)]

25B10DC5-C448-4D2D-8F98-62DE0207AE70.jpeg


Uchaguzi 2020 - Kufanya Afya: Tundu Lissu ameudanganya Umma na kunakili ilani ya CCM kuhusu Afya
 
Rais Magufuli leo akiwa mkoani Mara amezungumzia kuhusu sera ya kutoa Bima ya afya kwa watanzania wote.
Ahadi hiyo ameitoa leo kwenye kampeni zake huko musoma mjini.

Kuthibitisha kuwa sera hiyo ni yake amesoma Ilani ya ccm ya uchaguzi 2020 katika ukurasa wa 139 kipengele "e".
Amesema ahadi hii lazima itekelezwe kwa utaratibu maalumu.

Amesema wapinzani wasiwe wanaongea tu bali kabla hawajaanza kukurupukia sera wawe wanasoma Ilani ya ccm kwanza ili wasiwe wanacopy sera.

Naamini mhe. Tundu Lissu atajibu hili kisomi kabisa.
Walimu wanasubiri laptop zao, na wanavijiji wanasubiri million 50 zao.
 
Rais Magufuli leo akiwa mkoani Mara amezungumzia kuhusu sera ya kutoa Bima ya afya kwa watanzania wote.
Ahadi hiyo ameitoa leo kwenye kampeni zake huko musoma mjini.

Kuthibitisha kuwa sera hiyo ni yake amesoma Ilani ya ccm ya uchaguzi 2020 katika ukurasa wa 139 kipengele "e".
Amesema ahadi hii lazima itekelezwe kwa utaratibu maalumu.

Amesema wapinzani wasiwe wanaongea tu bali kabla hawajaanza kukurupukia sera wawe wanasoma Ilani ya ccm kwanza ili wasiwe wanacopy sera.

Naamini mhe. Tundu Lissu atajibu hili kisomi kabisa.
Muda wooote hakuweza kujua kama ipo ktk ilani ya chama chake mpaka amekuja kukurupushwa na hoja za Lissu. Naona Mheshimiwa anatumia njia za kikosi cha zimamoto, amekaa "standby" tu ili apate kufundishwa nini hasa cha kuongea baada kumsikiliza Tundu Lissu.

Kila anachokifanya ama kukiongea Lissu naona kinampa kihumehume. Awe wazi tu pumzi za kujibu hoja zimekata.
 
Rais Magufuli leo akiwa mkoani Mara amezungumzia kuhusu sera ya kutoa Bima ya afya kwa watanzania wote. Ahadi hiyo ameitoa leo kwenye kampeni zake huko musoma mjini. Kuthibitisha kuwa sera hiyo ni yake amesoma Ilani ya ccm ya uchaguzi 2020 katika ukurasa wa 139 kipengele "e". Amesema ahadi hii lazima itekelezwe kwa utaratibu maalumu.
Inawezekana CCM ndio waliokopi leo, kama walivyokopi juzi kutoa ajira na kununua badala ya kuwakopa wakulima wa pamba
 
ebu ngoja kwanza...., kwahio hii universal healthcare imegunduliwa Tanzania na tena ni CCM ndio wameigundua mwaka 2020; sijui kwanini wasingefanya miaka mitano kabla..., tena kipindi hiki hata kumekuwa na hata mahospitali kukatalia maiti kwa watu kuwa na madeni...., jambo ambalo kwa CCM ya Nyeyere lilikuwa halipo....
 
Rais Magufuli leo akiwa mkoani Mara amezungumzia kuhusu sera ya kutoa Bima ya afya kwa watanzania wote.
Ahadi hiyo ameitoa leo kwenye kampeni zake huko musoma mjini.

Kuthibitisha kuwa sera hiyo ni yake amesoma Ilani ya ccm ya uchaguzi 2020 katika ukurasa wa 139 kipengele "e".
Amesema ahadi hii lazima itekelezwe kwa utaratibu maalumu.

Amesema wapinzani wasiwe wanaongea tu bali kabla hawajaanza kukurupukia sera wawe wanasoma Ilani ya ccm kwanza ili wasiwe wanacopy sera.

Naamini mhe. Tundu Lissu atajibu hili kisomi kabisa.
Mkuu, tl alikuwa hajajiandaa kwa level ya uraisi, ndo maana anaunga unga hoja, zingine ndo hizo kaiba ccm
 
ebu ngoja kwanza...., kwahio hii universal healthcare imegunduliwa Tanzania na tena ni CCM ndio wameigundua mwaka 2020; sijui kwanini wasingefanya miaka mitano kabla..., tena kipindi hiki hata kumekuwa na hata mahospitali kukatalia maiti kwa watu kuwa na madeni...., jambo ambalo kwa CCM ya Nyeyere lilikuwa halipo....
Wangewekaje bima ya afya miaka ya nyuma kama serikali haina hospital zake na vituo vya afya vya kutosha?? Ndo maana tunataka maendeleo ya vitu kwanza kisha ya watu baade.loe serikali ikiwa na miundo mbinu yake ya kutosha ni
Vyepesi kutoa huduma muhimu kwa wananchi wake kwa ghaama nafuu.
 
Wangewekaje bima ya afya miaka ya nyuma kama serikali haina hospital zake na vituo vya afya vya kutosha?? Ndo maana tunataka maendeleo ya vitu kwanza kisha ya watu baade.loe serikali ikiwa na miundo mbinu yake ya kutosha ni
Vyepesi kutoa huduma muhimu kwa wananchi wake kwa ghaama nafuu.
Kweli uelewa ni tatizo..., Bima ni nini ?, unadhani UK yenye National Health Service inamiliki hospitali zote ? Au unadhani OBAMA CARE ilikuwa ni serikali kujenga hospitali ?

Kuna kitu kinaitwa ruzuku, kwahio mapato au kodi zinaenda kutoa huduma, au unadhani tukijenga majengo ndio madaktari watakuwa wanafanya kazi bure au vidonge na dawa zitakuwa zinatoka kwenye hayo majengo kama chemichemi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom