Samboko
JF-Expert Member
- Oct 30, 2011
- 5,421
- 7,877
Pamoja na kuwepo uwezekano wa kuwa mwizi, si ajabu anaishi nchini kiharamu. Katoe taarifa polisi haraka.
Ni kweli mkuu na awe na tahadhari kubwa sana maana cku huyo jamaa akidakwa yeye ndie atakua shahidi mamba 1 maana itaonekana yeye ndie anamsadia mhalifu kuishi hapa nchini kwa kua yeye ni mwenyeji