Kumbe ninaishi na mwizi

Kumbe ninaishi na mwizi

Habari wana jf
mimi ni mgeni humu najitokeza leo kuomba ushauri
nilipata mpenzi takriban miezi mitatu iliopita katika mtandao maarufu sana unaokutanisha wake kwa waume wanaohitaji marafiki na wapenzi.

mwanaume huyo ni mtu wa africa magharibi
1. kila nikimuuliza shughuli anazofanya hapa dar es salaam hataki kusema (ni msiri sana)
2.hulala kutwa nzima jioni ndio hutoka kuelekea kusikojulikana.(hata vocha ikiisha hatoki kununua dukani mpaka niwepo ndio nikamnunulie).
3.nimeskia tetesi kwamba ni mwizi wa njia ya mtandao na anatafutwa. Ni mstaarabu mpole huduma zote anatoa kama tumefunga ndoa vile. hizi habari nilizopata ndio nashindwa kuamini kipi niache kipi, sitaki kua negative.

akili yangu haipo sawa hizi habari zimenipa hofu kiasi ambacho nashindwa cha kufanya.
naomba ushauri bila kebehi /kashfa

Jina lenyewe smartass asee sawa turud kwenye topic unatafuta boy mtandaoni kwan.kwenu wameisha??? Jitu hulijui unalileta nyumban.kwako subir ulale uamke ukute nyumba nyeupe utajua kilichomtoa kanga madoa CYBERTEQ hapa pitia ahhhha ujionee
 
Last edited by a moderator:
Rejea Identity yako hapo juu,
nadhani ingekuwa busara kama ungejiita Smart brain Any way,back to topic ni kwamba unaishi na mtu anayedhaniwa kuwa ni mwizi,
Je anavibali vyote vya kuishi hapa?
Je ana work permitt ya hapa?
Kama kuna kilichokosekana ni vyema ukamripoti polisi hata kwa siri waje wamhoji ili na wewe ujiridhishe,
Kinyume na hapo na wewe utahisiwa mwizi pia.
 
Fungua macho yako viizuri na akili yako itumie vilivyo, Umesha tundika kamba ya kukunyonga. any tym utakuwa mikononi.
 
Yani waniger hata nikiwa nao karibu tu kwenye public transport huwa sina amani sembuse wewe kuishi nao.Achana kabisa na wapopo dada yangu,nina mifano wa wadada ambao wamelizwa na watu hao na mmoja wao aliishia kufariki baada ya kumtumia kama punda wa madawa bila yeye kujijua.
 
naogopa akigundua anaeza niua nahofia usalama na uhai wangu
 
Habari wana jf
mimi ni mgeni humu najitokeza leo kuomba ushauri
nilipata mpenzi takriban miezi mitatu iliopita katika mtandao maarufu sana unaokutanisha wake kwa waume wanaohitaji marafiki na wapenzi.

mwanaume huyo ni mtu wa africa magharibi
1. kila nikimuuliza shughuli anazofanya hapa dar es salaam hataki kusema (ni msiri sana)
2.hulala kutwa nzima jioni ndio hutoka kuelekea kusikojulikana.(hata vocha ikiisha hatoki kununua dukani mpaka niwepo ndio nikamnunulie).
3.nimeskia tetesi kwamba ni mwizi wa njia ya mtandao na anatafutwa. Ni mstaarabu mpole huduma zote anatoa kama tumefunga ndoa vile. hizi habari nilizopata ndio nashindwa kuamini kipi niache kipi, sitaki kua negative.

akili yangu haipo sawa hizi habari zimenipa hofu kiasi ambacho nashindwa cha kufanya.
naomba ushauri bila kebehi /kashfa

Kuwa muangalifu kuna Ebola siku hizi
 
Habari wana jf
mimi ni mgeni humu najitokeza leo kuomba ushauri
nilipata mpenzi takriban miezi mitatu iliopita katika mtandao maarufu sana unaokutanisha wake kwa waume wanaohitaji marafiki na wapenzi.

mwanaume huyo ni mtu wa africa magharibi
1. kila nikimuuliza shughuli anazofanya hapa dar es salaam hataki kusema (ni msiri sana)
2.hulala kutwa nzima jioni ndio hutoka kuelekea kusikojulikana.(hata vocha ikiisha hatoki kununua dukani mpaka niwepo ndio nikamnunulie).
3.nimeskia tetesi kwamba ni mwizi wa njia ya mtandao na anatafutwa. Ni mstaarabu mpole huduma zote anatoa kama tumefunga ndoa vile. hizi habari nilizopata ndio nashindwa kuamini kipi niache kipi, sitaki kua negative.

akili yangu haipo sawa hizi habari zimenipa hofu kiasi ambacho nashindwa cha kufanya.
naomba ushauri bila kebehi /kashfa

Pole dada, fuatilia hii thread nakuwekea, usiruke comment hata moja unaweza kupata cha kujifunza:-

https://www.jamiiforums.com/mahusia...1807-kina-dada-muwe-makini-na-foreigners.html
 
Back
Top Bottom