vavene
Member
- Aug 9, 2014
- 52
- 13
wewe upo timamu.!?
Naugua,mnashadadia mtu anaishi na jambazi mnaacha tusapotiane na kushauriana vitu vya msingi
wewe upo timamu.!?
wewe upo timamu.
msamehe bana dada vavene mgeni maeneo haya taratibu ataelewa!
dada vavene kuna jukwaa linaitwa matangazo madogomadogo kule ukifungua thread ukaweka na picha za viatu designs mbalimbali na bei zako kwa hakika utapata wateja wengi tu, jf imegawanyika mafungumafungu kila fungu watu wanajadili mambo fulani,mfano kuna jukwaa la siasa mtu hawezi kwenda kutafuta mchumba, au jukwaa la uchumi mtu hawezi kupeleka habari za katiba mpya!!
Naugua,mnashadadia mtu anaishi na jambazi mnaacha tusapotiane na kushauriana vitu vya msingi
acha we.hu! hii ni forum na kuna nenda sehemu husika katangaze huo upuu..z wako unaouza
mgeni alafu analeta jeuri msome hapo chini.msamehe bana dada vavene mgeni maeneo haya taratibu ataelewa!
dada vavene kuna jukwaa linaitwa matangazo madogomadogo kule ukifungua thread ukaweka na picha za viatu designs mbalimbali na bei zako kwa hakika utapata wateja wengi tu, jf imegawanyika mafungumafungu kila fungu watu wanajadili mambo fulani,mfano kuna jukwaa la siasa mtu hawezi kwenda kutafuta mchumba, au jukwaa la uchumi mtu hawezi kupeleka habari za katiba mpya!!
Naugua,mnashadadia mtu anaishi na jambazi mnaacha tusapotiane na kushauriana vitu vya msingi
Habari wana jf
mimi ni mgeni humu najitokeza leo kuomba ushauri
nilipata mpenzi takriban miezi mitatu iliopita katika mtandao maarufu sana unaokutanisha wake kwa waume wanaohitaji marafiki na wapenzi.
mwanaume huyo ni mtu wa africa magharibi
1. kila nikimuuliza shughuli anazofanya hapa dar es salaam hataki kusema (ni msiri sana)
2.hulala kutwa nzima jioni ndio hutoka kuelekea kusikojulikana.(hata vocha ikiisha hatoki kununua dukani mpaka niwepo ndio nikamnunulie).
3.nimeskia tetesi kwamba ni mwizi wa njia ya mtandao na anatafutwa. Ni mstaarabu mpole huduma zote anatoa kama tumefunga ndoa vile. hizi habari nilizopata ndio nashindwa kuamini kipi niache kipi, sitaki kua negative.
akili yangu haipo sawa hizi habari zimenipa hofu kiasi ambacho nashindwa cha kufanya.
naomba ushauri bila kebehi /kashfa
wewe upo timamu.!?
zimeandikwa kilugha cha kwao na anafuta incoming na outgoing calls/msgs
its called love at first sight miezi mi3 unaiona midogo? watu wanakutana kwenye daladala n the next is marriage we hutumwagi na mkeo/dem?si ni mapenzi tu or bcoz ni mnaija?? sometimes its better to live with a foreign criminal than libongo libahili lisilokua romantic nitusi feel free VANMEDY
its called love at first sight miezi mi3 unaiona midogo? watu wanakutana kwenye daladala n the next is marriage we hutumwagi na mkeo/dem?si ni mapenzi tu or bcoz ni mnaija?? sometimes its better to live with a foreign criminal than libongo libahili lisilokua romantic nitusi feel free VANMEDY