Kumbe ninaishi na mwizi

Kumbe ninaishi na mwizi

Nipo naandaa namna ya kumkamatisha i swear u guys mmenipa nguvu ya kuface hii ishu :llama:
 
then leave my stupid ass alone if u dont have a good word to tell me SONGOKA
 
Wanaume ni kawaida yenu kututumia na kutuweka kama bango sioni tofauti mmetofautiana maumbile na uraia zamiluni zamiluni:cool2:
 
sina kitu chochote cha thamani zaidi ya uhai wangu 1gb
 
u think its easy nimeshaongea na polisi kasema nieke mazingira ya kumkamatisha then nihame kwangu!!!polisi hawa hawa corrupt wakipewa laki tu wanamtoa then aje anidhuru aniue kwa kumchomea! AZUSA STREET
 
Au ndio yule mmoja aliyetoroka wakati wenzake waliposhikwa sinza na lundo la ma line ya cm.
Ndg. Achana naye c mume huyo mshukuru Mungu kama umelitambua hilo mapema maana na ww utakujwa kubebwa mzobemzobe halafu akugeuke ubaki mwenyewe huko magereza
 
Nachofikiria sasa ni kujifumanisha polisi nimeshindwa nataka nieke mazingira tugombane tuachane aondoke yeye mwenyewe na sio kumchomea sijajua bado mimi nliambiwa kuhusu hao watu wa sinza waliokutwa na line na ndo hao walionifungua macho kwamba huyu mtu ni mwizi neutral G
 
Nauza viatu vya shanga na na wallet za vitenge wajamen na sendoz za kiume karibuni mpendeze find me watsup 0712576020,
 
acha kumwonea wivu mwenzako kapata boyfriend anaongea kizungu tu hajui kiswahili, hajamtoa ifakara kamtoa naijeriaaaaa...heheheeeeeeee!

Ebu acha kutuzalilisha mkuu kwan umeskia ifa wanaojuwa kizungu hawapo?
 
Tatizo lako yawezekana wewe ni ki%che%che% haiwezekan ukutane na m2 hajulkan alikotoka na ukamvulia chu%pi%
 
sijazaa nae huyu mtu Shark

Mmmmh kumbe ndo michezo yao maana kuna dada mmoja namjua pia kapangishiwa nyumba kijitonyama kule na kazalishwa kabisa na hao hao akina igwe. pia nae smart ass kweli amejaaliwa rehema za mungu si mchezo. na ukiamua kujifumanisha hyo jamaa si ana bastola atakufa bure mtu hapo
 
hujui hata kinachoendelea we unawajua wanawake wote ulolala nao walikotoka ushamba tuu umekujaa unajifanya msafi wakati kutwa upo mtandanoni unatogoza videmu stay away from my shit ifa96
 
Back
Top Bottom