Kumbe ninaishi na mwizi

Kumbe ninaishi na mwizi

Rejea Identity yako hapo juu,
nadhani ingekuwa busara kama ungejiita Smart brain Any way,back to topic ni kwamba unaishi na mtu anayedhaniwa kuwa ni mwizi,
Je anavibali vyote vya kuishi hapa?
Je ana work permitt ya hapa?
Kama kuna kilichokosekana ni vyema ukamripoti polisi hata kwa siri waje wamhoji ili na wewe ujiridhishe,
Kinyume na hapo na wewe utahisiwa mwizi pia.

Nyani haoni kundule, umeona ID ya mwenzio tu, yako vipi?
 
naishi nae nyumbani kwangu:angry:

Unaanzaje kumkaribisha na kuishi na mtu ambae mmekutana mtandaoni tena mgeni nchi hii hata humjui vzr hujui shughuli yake, anashinda amelala tuu anatoka usiku kama jambazi, na kuna uwezekano humjui ndugu yake hata mmoja, mbona unahatarisha maisha yako hivyo dunia ilivyoharibika hv mwenzetu huogopi?
 
Mkuu unahatarisha maisha yako na ya wa-tz wenzio. Tafuta namna umkwepe kama ukoma
 
Habari wana jf
mimi ni mgeni humu najitokeza leo kuomba ushauri
nilipata mpenzi takriban miezi mitatu iliopita katika mtandao maarufu sana unaokutanisha wake kwa waume wanaohitaji marafiki na wapenzi.

mwanaume huyo ni mtu wa africa magharibi
1. kila nikimuuliza shughuli anazofanya hapa dar es salaam hataki kusema (ni msiri sana)
2.hulala kutwa nzima jioni ndio hutoka kuelekea kusikojulikana.(hata vocha ikiisha hatoki kununua dukani mpaka niwepo ndio nikamnunulie).
3.nimeskia tetesi kwamba ni mwizi wa njia ya mtandao na anatafutwa. Ni mstaarabu mpole huduma zote anatoa kama tumefunga ndoa vile. hizi habari nilizopata ndio nashindwa kuamini kipi niache kipi, sitaki kua negative.

akili yangu haipo sawa hizi habari zimenipa hofu kiasi ambacho nashindwa cha kufanya.
naomba ushauri bila kebehi /kashfa

Wwweee shoxtiiii embu niambie na mie jina la huooo mtandao!
 
Yaani kama ni Mnigeria,wee mdada hesabu maumivu,Atakujaondoka na kila kitu kilichomo humo ndani,labda vyoote viwe vyake,ni kitu ambacho hakiwezekani,wanigeria wengi wapo ki Maslahi zaidi yaani pesa mbele.Kama hutotuzingatia tarajia huo mwujiza.Chakufanya mripoti kwa Mentor Mmekutana kimtandaotandao mwacheni kimtandaotandao.
 
Last edited by a moderator:
Wa west wamejaa kibao bongo hasa kinondoni! Ni weZi sana sana! Angalia watakuingiza matatizoni! Mpaka polisi wakuelewe ushasota sana huko lupango
 
Habari wana jf
mimi ni mgeni humu najitokeza leo kuomba ushauri
nilipata mpenzi takriban miezi mitatu iliopita katika mtandao maarufu sana unaokutanisha wake kwa waume wanaohitaji marafiki na wapenzi.

mwanaume huyo ni mtu wa africa magharibi
1. kila nikimuuliza shughuli anazofanya hapa dar es salaam hataki kusema (ni msiri sana)
2.hulala kutwa nzima jioni ndio hutoka kuelekea kusikojulikana.(hata vocha ikiisha hatoki kununua dukani mpaka niwepo ndio nikamnunulie).
3.nimeskia tetesi kwamba ni mwizi wa njia ya mtandao na anatafutwa. Ni mstaarabu mpole huduma zote anatoa kama tumefunga ndoa vile. hizi habari nilizopata ndio nashindwa kuamini kipi niache kipi, sitaki kua negative.

akili yangu haipo sawa hizi habari zimenipa hofu kiasi ambacho nashindwa cha kufanya.
naomba ushauri bila kebehi /kashfa
kama kweli ni mwizi, kitakachotokea ni hiki, wewe unaweza kuwa na kazi yako na ukafanya kitu cha maana kama vile kujenga nyumba, kununua gari au kufanya maendeleo yeyote na yeye akawa amekuongezea hata hela kidogo tu. kuna siku huyo mtu akija kukamatwa ataeleza wapi pesa zake alikuwa anapeleka, atakutaja wewe kuwa alishawahi kukupatia kiasi fulani, wewe pia utakamatwa utaunganishwa naye kwa kosa lisilo la dhamana la money laundering kwasababu "you should have known" kwamba huyo jamaa anafanya kazi za kihalifu na hela yeyote toka kwake ni proceed of crime. knowledge hiyo unayo kwasababu wewe unaona mtu hana kazi na ana pesa, analala tu mchana anatoka usiku tu na anakuficha kazi yake, hapo huponi. hivyo nakushauri jiandae kwenda kusota lupango kwa kipindi kisichojulikana. kama hauamini mpigie simu kajala wa bongo muvi akupe story kuhusu mume wake ilivyokuwa, naona hata wewe unanukianukia kwenda jela.

toa taarifa za siri haraka polisi, kwanza mtu mwenyewe si mtz, unamwonea huruma ya nini? mtu kama huyo anaweza siku moja akakuua akatokomea nje ya nchi. unajiona upo salama? unajua yupo hapa bongo kuishi na wewe au kutafuta pesa ili akazitumie huko kwao na mke wake? na watoto wake aliowaacha huko?
 
Habari wana jf
mimi ni mgeni humu najitokeza leo kuomba ushauri
nilipata mpenzi takriban miezi mitatu iliopita katika mtandao maarufu sana unaokutanisha wake kwa waume wanaohitaji marafiki na wapenzi.

mwanaume huyo ni mtu wa africa magharibi
1. kila nikimuuliza shughuli anazofanya hapa dar es salaam hataki kusema (ni msiri sana)
2.hulala kutwa nzima jioni ndio hutoka kuelekea kusikojulikana.(hata vocha ikiisha hatoki kununua dukani mpaka niwepo ndio nikamnunulie).
3.nimeskia tetesi kwamba ni mwizi wa njia ya mtandao na anatafutwa. Ni mstaarabu mpole huduma zote anatoa kama tumefunga ndoa vile. hizi habari nilizopata ndio nashindwa kuamini kipi niache kipi, sitaki kua negative.

akili yangu haipo sawa hizi habari zimenipa hofu kiasi ambacho nashindwa cha kufanya.
naomba ushauri bila kebehi /kashfa

1:UMEKUTANA NAE MTANDAONI!!
2:NDANI YA MIEZI 3 USHAMKARIBISHA NA UNAKAA NAE NDANI!! tena nyumbani kwako!!
3:safari zake huanzia usiku
4.wewe ndiye mtumwa wa kwenda kumnunulia vocha dukani..
...ndani ya miezi mitatu ushampenda hoihoi!!

NKIENDELEA NTAKUTUSI BURE ..NAOMBA NIISHIE HAPA
 
Habari wana jf
mimi ni mgeni humu najitokeza leo kuomba ushauri
nilipata mpenzi takriban miezi mitatu iliopita katika mtandao maarufu sana unaokutanisha wake kwa waume wanaohitaji marafiki na wapenzi.

mwanaume huyo ni mtu wa africa magharibi
1. kila nikimuuliza shughuli anazofanya hapa dar es salaam hataki kusema (ni msiri sana)
2.hulala kutwa nzima jioni ndio hutoka kuelekea kusikojulikana.(hata vocha ikiisha hatoki kununua dukani mpaka niwepo ndio nikamnunulie).
3.nimeskia tetesi kwamba ni mwizi wa njia ya mtandao na anatafutwa. Ni mstaarabu mpole huduma zote anatoa kama tumefunga ndoa vile. hizi habari nilizopata ndio nashindwa kuamini kipi niache kipi, sitaki kua negative.

akili yangu haipo sawa hizi habari zimenipa hofu kiasi ambacho nashindwa cha kufanya.
naomba ushauri bila kebehi /kashfa
akili yako haikua sawa toka mwanzo ulipoamua kuwa nae na sio sasa uliposikia tetesi..........
 
Unampenda eeh!!!! Jee wewe unajipenda nafsi yako kabla huja mpenda huyo jamaa?
 
Kama ni MNAIGERIA mwogope kama ukoma utafungwa siku si nyingi ni wezi kawa jamaa kwa mitandao balaaa .Pia kama hata kibali cha kuishi nchin Tz yaani VISA utashtakia kwakumhifadhi mgeni kinyume na sherria za tanzania
 
Back
Top Bottom