Kumbe ninaishi na mwizi

Kumbe ninaishi na mwizi

its called love at first sight miezi mi3 unaiona midogo? watu wanakutana kwenye daladala n the next is marriage we hutumwagi na mkeo/dem?si ni mapenzi tu or bcoz ni mnaija?? sometimes its better to live with a foreign criminal than libongo libahili lisilokua romantic nitusi feel free VANMEDY

uuuwi, kama ni hivyo basi nakushauri uongee naye vizuri mwambie wewe hauna noma wala nini akuambie michongo yake utaweza kumsaidia kwa uzuri in a partnership, then mnaanza kula vichwa huku ukifaidi mgao kuliko senti za kurushiwa, au siyo dadaake na mimi!
 
hata vya kulipia navyo vinaua its not that ur immortal we all goin to die 1day STABLE WOMAN
 
how do i quote??i am new i know nothing about this forum kindly nielekeze STABLE WOMAN

chini yapost unayotaka kuiquote kuna kitufe kimeandikwa "reply with quote"
quote.png
 
Miezi Mitatu tu na ndo tayari hee hii ni shidaaa.nyie ndo mtatuletea na Ebola hapa nchini.
 
hahahaa, taratibu mkuu!

I really don't want to get caught up in this argument,but not having direct evidence that something doesn't exist is not a reason to believe in that something at all.She is a pro thief
 
Kupenda sio dhambi vip kuhusu usalama wako baadae bse sio unaangalia sahivi kuna kesho
 
Back
Top Bottom