Taarifa zake hazikuwekwa wazi. Wikipedia wameandika kafariki akiwa na miaka 66. Lakini kuna sehemu nimesoma kuwa alizaliwa 1946, naamini zaidi hii kwa sababu 1970 alikuwa tayari chuoni akisomea ualimu...Mzee Hafiz amefariki akiwa na umri gani?
So kafariki akiwa na miaka 80.