Monetary doctor
JF-Expert Member
- Oct 20, 2022
- 13,317
- 25,139
Kwani
Kipindi cha nyuma akiwa vice ashawahi kusema alikuwa mtu wa kazi za umma so muda wa kukaa chini na watoto plus family ni changamoto kidg sasa hapa watu wanajikuta wanamkosoa as if kakosea dini yke ipo sahihiUna maana gani? Nimejikuta natafakari sana.
ni huzuniKwahiyo Madame President alikua kwenye mitala?
Utamaduni upi ?Utamaduni
Dully amefanana mashavu na RizmokoWalumendago wsnasema huyu sio mshua wake. Mzee wake bado yuko hai. Hapo ndio nikachoka kabisa
Ndio hivyoduh, hii dunia bhana, kwa hiyo hata kwa mume wake siyo 1st choice, lkn kwetu ndiyo yuko responsible na nchi nzima na maisha ya watu zaidi milioni 50? crazy world …
tamaduni na mila za jamii za KiafrikaUtamaduni upi ?
Yeah ni mke wa piliKwahiyo Madame President alikua kwenye mitala?
Bi Mkubwa ni Kizimkazi na hapa ipo.Huyo Mwingine ni yupi na huyu alikuwa mke wa ngapi?
Yaani Bi mkubwa ni yupi na Bi Mdogo ni nanii?
Ndio maana nikasema, itoshe tu kusema Mzee apumzike kwa amani...Hii DUNIA Ina mengi SANA SANAAAAAA TENA SANA sio kidogo Kuna taarifa jamaa Ali share hazina afya kabisa kuziweka humu
Kwamba uislam unaruhusu hadi wake wanne....bado nna watoto wadogo sana wananihitaji.We mzee Mjaa wa kaya....unataka kusema nini?
Kupatwa kwa Tanganyikaduh, hii dunia bhana, kwa hiyo hata kwa mume wake siyo 1st choice, lkn kwetu ndiyo yuko responsible na nchi nzima na maisha ya watu zaidi milioni 50? crazy world …
😂😂😂😂 Nakuja hapo na Millard ayo utupe habariWalumendago wsnasema huyu sio mshua wake. Mzee wake bado yuko hai. Hapo ndio nikachoka kabisa
Bro Bro...Brooo😂😂😂😂 Nakuja hapo na Millard ayo utupe habari