Kumbe Marehemu ameacha wajane wawili!

Kumbe Marehemu ameacha wajane wawili!

Mgawanyo wa mali vipi nasikia ndugu wapigana ngumi
Familia ya raisi haiwezi kugombea Mali..

Wakati akitaka Leo anaenda kuchukua contena la makontena ya dhahabu bureeeee kabisa na kuya fukia kwenye ground yake kwa manufaa ya vizazi vyake vijavyo

Au kukwapua pesa benk kuu na kuzi hifadhi ughaibuni

Raisi Hana njaa njaa kwa Katiba yetu pia ingebidi KAFARA LA WATU 1000 MZEE HAFIDH APONE MBONA WANGEPATIKANA ILA NDIO IVYO KIFO HAKINAGA MJANJA KIKIKUITA HAUKATAI
 
Nilisikia mzee alistaafu 2005

..halafu inaelekea Mzee Hafiz alikuwa mtu poa sana, asiye na makuu, tofauti kabisa na Mama Abduli na genge lake.

..nimeguswa na historia ya Mzee Hafiz kwamba alikuwa akiswalisha ktk mmoja wa misikiti, pia alikuwa muadhana wa msikiti huo.

..Nalazimika kuamini kwamba Mzee Hafiz hakuunga mkono matendo ya kikatili ya utawala wa Mama Abduli.
 
..halafu inaelekea Mzee Hafiz alikuwa mtu poa sana, asiye na makuu, tofauti kabisa na Mama Abduli na genge lake.

..nimeguswa na historia ya Mzee Hafiz kwamba alikuwa akiswalisha ktk mmoja wa misikiti, pia alikuwa muadhana wa msikiti huo.

..Nalazimika kuamini kwamba Mzee Hafiz hakuunga mkono matendo ya kikatili ya utawala wa Mama Abduli.
Sahihi kabisa.
 
..Mzee Hafiz amefariki akiwa na umri gani?

hakuna mtu anajua, hawa watu ni wa kuachana nao na waishi wenyewe huko zanzibar anayewataka awafwate huko lkn wasituletee mambo yao huku vinginevyo hatutatoka hapa kama nchi.
wewe uliona wapi dunia hii commander in chief of armed forces ni mke wa 2/3 wa mtu? come on man …
 
Familia ya raisi haiwezi kugombea Mali..

Wakati akitaka Leo anaenda kuchukua contena la makontena ya dhahabu bureeeee kabisa na kuya fukia kwenye ground yake kwa manufaa ya vizazi vyake vijavyo

Au kukwapua pesa benk kuu na kuzi hifadhi ughaibuni

Raisi Hana njaa njaa kwa Katiba yetu pia ingebidi KAFARA LA WATU 1000 MZEE HAFIDH APONE MBONA WANGEPATIKANA ILA NDIO IVYO KIFO HAKINAGA MJANJA KIKIKUITA HAUKATAI
Sip rahisi kama.unavyo fikiria
 
Nilisikia jana BBC mtangazaji alisema hvyo na baada ya apo mchambuzi wa history ya marehemu hicho kipengere aliruka..... Akabezi upande mmoja

Anyway kwa imani yetu kiislamu hilo jambo ni sunnah kubwa....halipaswi kuonewa aibu ata.
Huyo mke mwenza kaipata au anaipata fresh kutoka kwa mwenye roho mbaya kama huyu.
 
Back
Top Bottom